Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

Naombeni msaada kwenye hili swala hasa kwako kaka Deception, nina ndugu yangu ambaye alipata ajali akaumia akawa hi hosp kabla ya 48hrs akapimwa alikuwa hiv-negative na hivo kupewa dose ya pep kwa mwezi mzima! Alipomaliza dose akapimwa tena mara tatu akaonekana ni negative ila hivi majuzi kapima akaonekana positive na mumewe ni negative na kwa sex lifestyle yao ingelikuwa kweli hiv ni kwa njia ya ngono na wao ni watu wa sex ya katerero na kusuguana sana nadhani eliser test ingeonyesha kwa hiyo nakubaliana na ww kabisa kuwa ngono si njia ya maambukizi ya hiv na pia huyu dada ameshauriwa asitumie ARV maana immunity yake bado iko juu na hapo alimconsult rafiki yake ambaye ni Dr wa hayo magonjwa alichomshauri ni kula balanced diet, atumie septrin everyday na pia alikuwa na fungus ambazo alimpa dawa ya kupaka na ya kwenye vaginas na ya kunywa for 28 days zaidi akamwambia play with your immunity hakikisha unakunywa maji ya kutosha sasa swali langu linakuwa hivi what could have been the possible cause ya hiv na je km anataka kuacha hizo septrin atadhurika au nayo ina namna yake ya kuacha?Na je inawezekana zile dawa alikunywa km pep zikamdhuru now?
 
Kaka Deception nikupongeze uko vizuri hii ni elimu ambayo watanzania wengi hawaipati! Ni vyema kila mtu kwa wakati wake akasema si kwamba kuna mtu analazimishwa kuamini la hasha ila changanya akili zako na za kupewa lifanyie kazi ujue unakaa upande gani kwa maamuzi yako Duniani ya sasa inatisha
 
Nimetafakari sana kuhusu upungufu wa kinga mwilini

MTU akiwa na kansa kinga ya mwili inashuka
MTU akiwa na tb pia kinga ya mwili inashuka maana yake anakuwa na upungufu wa kinga mwilini lakini hana HIV

Naamini upungufu wa kinga mwilini unasababishwa na magonjwa au malnutrition hivyo kama MTU akitibiwa hayo magonjwa na akapata lishe bora basi kinga ya mwili itapanda na mwili utakuwa na afya bora

My take;ni bora kutibia magonjwa husika na kupata lishe bora kuliko kuhangaika na ARV ambazo zinadaiwa kufubaza hicho wanachoita HIV badala ya kutibu magonjwa nyemelezi..

Ni mtazamo tu,wakuu msijenge chuki haya mawazo tu!!

Bila kusahau kisukari mkuu...!
 
Kama kulala tu hamna shida! Shida ukifanya uzinzi naye wakati mumelala.
 
Mm na wasiwasi na magonjwa ya zinaa kama gono,kisonono na kaswende lakini sidhani kama kuna kitu kinaitwa HIV. Huwa najitahidi kujiepusha na wanawake wasiojisafisha vizuri na wanaobadili ovyo
 
Naombeni msaada kwenye hili swala hasa kwako kaka Deception, nina ndugu yangu ambaye alipata ajali akaumia akawa hi hosp kabla ya 48hrs akapimwa alikuwa hiv-negative na hivo kupewa dose ya pep kwa mwezi mzima! Alipomaliza dose akapimwa tena mara tatu akaonekana ni negative ila hivi majuzi kapima akaonekana positive na mumewe ni negative na kwa sex lifestyle yao ingelikuwa kweli hiv ni kwa njia ya ngono na wao ni watu wa sex ya katerero na kusuguana sana nadhani eliser test ingeonyesha kwa hiyo nakubaliana na ww kabisa kuwa ngono si njia ya maambukizi ya hiv na pia huyu dada ameshauriwa asitumie ARV maana immunity yake bado iko juu na hapo alimconsult rafiki yake ambaye ni Dr wa hayo magonjwa alichomshauri ni kula balanced diet, atumie septrin everyday na pia alikuwa na fungus ambazo alimpa dawa ya kupaka na ya kwenye vaginas na ya kunywa for 28 days zaidi akamwambia play with your immunity hakikisha unakunywa maji ya kutosha sasa swali langu linakuwa hivi what could have been the possible cause ya hiv na je km anataka kuacha hizo septrin atadhurika au nayo ina namna yake ya kuacha?Na je inawezekana zile dawa alikunywa km pep zikamdhuru now?

Kuna kila dalili PEP imehusika hapa...ni hisia zangu tu wadau msinifikirie vibaya...
 
Huwezi pata Kama Una genetic defect (CCR5 gene defect) kawaida HIV virus hutumia two receptors kuingia katka mwili wa mwanadam (CD4 receptor na CCR5 co-receptor)
izo receptors zinapatikana katika immune cells

Defect to one of em ' husababisha HIV virus asi penetrate human cells.

those defects zinapatkana xana kwa wa2 anaotokea northern Europe .. But kibongo bongo ts very rare,,,, xo 2mia pira weyeeeeeeeeeee 2cje 2kakuokota
 
Naombeni msaada kwenye hili swala hasa kwako kaka Deception, nina ndugu yangu ambaye alipata ajali akaumia akawa hi hosp kabla ya 48hrs akapimwa alikuwa hiv-negative na hivo kupewa dose ya pep kwa mwezi mzima! Alipomaliza dose akapimwa tena mara tatu akaonekana ni negative ila hivi majuzi kapima akaonekana positive na mumewe ni negative na kwa sex lifestyle yao ingelikuwa kweli hiv ni kwa njia ya ngono na wao ni watu wa sex ya katerero na kusuguana sana nadhani eliser test ingeonyesha kwa hiyo nakubaliana na ww kabisa kuwa ngono si njia ya maambukizi ya hiv na pia huyu dada ameshauriwa asitumie ARV maana immunity yake bado iko juu na hapo alimconsult rafiki yake ambaye ni Dr wa hayo magonjwa alichomshauri ni kula balanced diet, atumie septrin everyday na pia alikuwa na fungus ambazo alimpa dawa ya kupaka na ya kwenye vaginas na ya kunywa for 28 days zaidi akamwambia play with your immunity hakikisha unakunywa maji ya kutosha sasa swali langu linakuwa hivi what could have been the possible cause ya hiv na je km anataka kuacha hizo septrin atadhurika au nayo ina namna yake ya kuacha?Na je inawezekana zile dawa alikunywa km pep zikamdhuru now?

Duuuuh kumbe kesi ni Nyingi halafu zote zinasupport Claim nyingi za Deception.. PEP(arv) Ni chanzo kingine cha matatizo na kuwapa Watu HIV fake
 
Duuuuh kumbe kesi ni Nyingi halafu zote zinasupport Claim nyingi za Deception.. PEP(arv) Ni chanzo kingine cha matatizo na kuwapa Watu HIV fake
Mkuu hata wewe hapo mtaani ukiamua kukagua utaona nyingi tu .....

Pamoja na hayo huyo jamaa sio kweli kuwa ana HIV bali hayo madawa yameiharibu sana kinga ya mwili ya jamaa hivyo anapaswa tu afuate maelekezo namna ya kuacha haya madawa na kula vizuri na siku sio nyingi atarudi barabarani akiwa bomba kabisa

Haya majamaa bana ni hatari,yanatuua kwa namna nyingi tu!
 
Huwezi pata Kama Una genetic defect (CCR5 gene defect) kawaida HIV virus hutumia two receptors kuingia katka mwili wa mwanadam (CD4 receptor na CCR5 co-receptor)
izo receptors zinapatikana katika immune cells

Defect to one of em ' husababisha HIV virus asi penetrate human cells.

those defects zinapatkana xana kwa wa2 anaotokea northern Europe .. But kibongo bongo ts very rare,,,, xo 2mia pira weyeeeeeeeeeee 2cje 2kakuokota
Tupe ushahidi mkuu .....!!
 
Mkuu kunasehemu umenichanganya, umesema kwa wanaotumia hizo ARV's ndio hupata Ukimwi, je wakishaupata hawawezi kuuambukiza?
Ukimwi sio ugonjwa bali ni upungufu wa kinga mwilini,kinga yako inapokuwa ya hovyo ndipo unapata maradhi mbali mbali,kwa maana hiyo huwezi kuambukizwa upungufu wa kinga mwilini

Hata hawa watu ambao ni waongo wakubwa nao hawasemi kuwa kinachoambukizwa ni ukimwi bali ni virus anaesababisha huo ukimwi kirusi anaesababisha upungufu wa kinga mwilini
Kama hawawezi kwakuwa wameshapa ugonjwa je ugonjwa huo (ukimwi) utakuwa unaambukizwa kwa njia gani?
Jibu langu hapo juu nadhani linajibu hata hili swali lako mkuu....
Je baada ya mgonjwa wa ukimwi kuupata kutokana na maelezo yako akipimwa ili uonekane atapimwa sampuli gani? damu, mate, choo, mkojo, au nini?
Sijui kama ukimwi unapimwa bali unaweza kuona matokeo ya mtu kuwa na ukimwi,kwanza usisahau kuwa ukimwi hauambukizwi na wala hausababishwi na HIV hivyo kupima ili ujue kama una ukimwi ni kupoteza muda tu

Unapokuwa na upungufu wa kinga utajua kwasababu utakuwa unashambuliwa sana na maradhi na hiyo ndio maana ya kuwa na upungufu wa kinga,unachotakiwa wewe ni kutibu maradhi yanayokupata na kuongeza au kupandisha kinga yako kwa kula vyakula bora na kufanya mazoezi na utakuwa salama hadi miaka 1000 ijayo....
 
Mtafute m2 yeyote anaesoma medicine kuanzia mwaka wa pili na kuendelea akuelezee or Google relationship btn CCR5 gene defect and HIV ... utapata a lot of knowledge abt it
Umelielewa swali nililokuuliza lakini?
 
Mkuu Deception!

Tangu hii thread lilipokuwa na page mbili za mwanzo nilianza kuifuatilia hata pale ilipofutwa (nilisikitika kwa kweli wakati huo) mpaka hapa, kwa kweli umenifanya nizunguke kweli kwenye sources tofauti tofauti ulizotoa na zile nilizozikuta njiani wakati nazifuatilia hizo taarifa...

Kuna sehemu mmoja ambapo pamenistua ni juu ya Dr Robert Willner kujidunga sindano damu yenye "HIV" (ambapo wewe unaiita fake) kutoka kwa mtu mwenye HIV kuonesha ushahidi wake mbele ya waandishi wa habari na TV...
Dr Robert Willner anasema HIV is myth

Kwa wale ambao hawajabahatika kuiona link hii hapa mjionee: https://www.youtube.com/watch?v=tQCKb1JV-4A

Aliulizwa kwanini alijidunga HIV kwenye mwili wake?

Jibu lake: "I do this to put a stop to the greatest murderous fraud in medical history. By injecting myself with HIV positive blood, I am proving the point as Dr. Walter Reed did to prove the truth about yellow fever. In this way it is my hope to expose the truth about HIV in the interest of all mankind."
 
Back
Top Bottom