Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?


Kwa case ya huyu jamaa ya PEP sijui madocta watasemaje...kwakweli hii kitu inawalakini sanaaa....
 
mm naomba niulize je vipmo vya ukimwi vinapima uwepo wa virus katka damu au vinapima aids
 
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa.

Source: My Holy Bible
 
Ushahidi ni kile kinachothibitisha ukisemacho kuwa ni kweli ....

Haya wasaa wako huu,nipe huo ushahidi!

Oukay bwoi... Tembelea hii site...( www.sciencedirect.com/science/article/pii/S014067369709185X) or ukiona haitoshi tafuta a book called LANGE REVIEW OF MEDICAL MICROBIOLOGY AND IMMUNOLOGY page number 357.... Usipoelewa hapo ...
Nimesoma profile ako inaonesha unakaa Mwanza even mie naxoma hapa mwanza ka ucpoelewa hapo nambie 2onane nkupige lecture
 
Wenzako wamekimbia humu ndan na hvyo wewe bado mwanafunz muda si mrefu utakimbia...

Coni ajabu wao kukimbia coz most of JF memberz ni wabishi ile mbhayaaa... u tranna make a sense but wa2 watatafuta maneno mpaka ugiv up
 
Mtafute m2 yeyote anaesoma medicine kuanzia mwaka wa pili na kuendelea akuelezee or Google relationship btn CCR5 gene defect and HIV ... utapata a lot of knowledge abt it

Unasemaje kuhusu wale ambao hawana hizo defects na wamepimwa HIV+ lakini hawatumii ARVs na wanaishi mpaka sasa zaidi ya miaka 15?
 

Huyu Dr. huu ndio ulikuwa utaratibu wake,kila akitoa lecture ya namna hiyo lazima ajidunge damu yenye huyu HIV feki,lakini kila akipima kuwathibitishia watu huwa ni HIV-.

But I am sad,haukupita muda mrefu huyu Dr. alikufa kifo cha kutatanisha baada ya hiyo lecture.
 

PEP ni ARV lakini utaratibu wake wa kutumika ni tofauti na zile ARVs zinazotumika kila siku.Niliwahi kusema hapo mwanzoni kwamba dawa hizi zina sumu ambazo zina challenge kinga ya mwili kiasi kwamba kwa watu wanaozitumia ni rahisi sana kuonekana HIV+ pale wanapopimwa na vipimo vyao feki.Ndio maana nilisema kwa mtu anayetumia ARVs kumpima HIV+ ni jambo la kawaida sana hata kama tunajua kwamba hana huyo HIV.Hivyo kuna uwezekano mkubwa sana PEP zimechallenge kinga yake na kusababisha vipimo vitoe majibu ya HIV+.

...pia huyu dada ameshauriwa asitumie ARV maana immunity yake bado iko juu...

Pamoja na kwamba,suala zima la HIV/AIDS ni feki,lakini angalau kidogo kwamba aliyemshauri asitumie ARVs ametumia common sense,wengi hawawezi kutoa ushauri huo,wanatoa vifurushi vya dawa bila kujali kinga iko juu au la,eti wanakwambia "early treatment is better".


Huyu Dr alimshauri vizuri sana,ila ameharibu hapo alipomwambia atumie septrin.Lakini kutokana na protocols za kazi yake yeye anaona ni sawa.Madaktari wanajua vitu vingi sana muhimu kwa afya zetu,lakini kwenye masuala kama haya kwa kweli wamedanganywa,kiba zaidi ni kwamba hawajui kama wamedanganywa na si rahisi kujua,na hata wakijua hawawezi kufanya tofauti na jinsi walivyofundishwa kwa sababu wanataka kutetea ajira zao.

...sasa swali langu linakuwa hivi what could have been the possible cause ya hiv ..
Hakuna HIV hapo,ni immunity yake imekuwa challenged na jambo fulani,na jambo hilo very possibly litakuwa hizo PEP alizokuwa anatumia.

...na je km anataka kuacha hizo septrin atadhurika au nayo ina namna yake ya kuacha?Na je inawezekana zile dawa alikunywa km pep zikamdhuru now?

Dawa nyingi za hospitali zikitumiwa muda mrefu huwa mwili unazoea hali hiyo.Lakini septrin hazina sumu hatari kuliko ARVs,ila zina sumu kwa kuwa ziko designed kuua vijidudu kama bacteria.

Ushauri:
Wala asitumie nguvu nyingi saaaana.We mwambie afuate ushauri wa doctor wa kula sana vyakula,tena si vyakula tu bali vyakula bora na apende sana kunywa maji.Baada ya muda kupita mwambie akapime tena kituo tofauti na cha mwanzo.Arudie kupima mara kadhaa hadi atakapopata majibu HIV-.
Ataacha kutumia septrin yeye mwenyewe bila kushauriwa.Halafu rudi hapa hata kwenye uzi mwingine utoe ushuhuda kwa wengine.Huu sio uchawi,hii ni sayansi.Kama bado hali itaendelea hivyo nitamshauri hapahapa specific type of food ambacho anatakiwa ale.
 
asee hili somo limenigusa sana,hasa kwnye hivyo vipimo maana kuna rafiki yangu alinihadithia kuna siku alienda kupima HIV akakutwa iko positive yeye kwakwl kwa mshituko akakataa akadema wampime tena kipimwa tena kipimo kikasoma HIV negative,wakarudia tena kikasoma negative, sasa hapo ulivyosema ndo nimekumbuka lakini pia hapo hapo kwnye kipimo vipo vya aina mbili ambavyo ni bioline na determine nnavyojua mimi ukipimwa na bioline ukikutwa ni positive wanakupima kwny dertemine sasa je inamaana vipimo vyote hvyo ni fake?? na pia kama HIV haiambukizwi kwa sex inamaana nkienda kupima nkaambiwa niko positive japo nisitumie Arvs je naweza kumuambukiza mtu mwngne??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…