Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

Kwa uelewa wangu mm wa kizungu pori Makrefa neno has been linked but! Mpaka hapo tu anamaanisha hiv anasingiziwa kama nakosea mnisahihishe
 
Last edited by a moderator:
Nimegundua hii thread ni very helpful madoctor wana all technological words za kutuelezea kitu but this is REAL upungufu wa kinga mwilini dawa yake ni kukaa kwenye mazingira masafi, kula chakula chenye virutubisho vyote yaani lishe bora, maji safi na salama na mambo yanayofanana na hayo madoctor hata hawa semi kama hizo dawa ni deadly case
 
Deception nina swali kaka yangu hivi hawa madaktari mbona hawajiulizi kwa nn the same people funding the supporters of hiv causes aids hawataki ku sponsor hiv does not cause aids? Unajua ni swala la ajabu coz scientifically ndio inavotakiwa kupatikana kwa dawa. Wabishane mpaka mwenye strong evidence ashinde lakini wao wanajitoa kwenye ku finance research zinazopinga ama kweli wazungu wametuweza elimu ya mkolonikila kitu from mkoloni tusipoamka nchi ni yao hii ni umelo tu umetawala
 
Deception nina swali kaka yangu hivi hawa madaktari mbona hawajiulizi kwa nn the same people funding the supporters of hiv causes aids hawataki ku sponsor hiv does not cause aids? Unajua ni swala la ajabu coz scientifically ndio inavotakiwa kupatikana kwa dawa. Wabishane mpaka mwenye strong evidence ashinde lakini wao wanajitoa kwenye ku finance research zinazopinga ama kweli wazungu wametuweza elimu ya mkolonikila kitu from mkoloni tusipoamka nchi ni yao hii ni umelo tu umetawala

Unaona eenh!
wewe huwa unajiuliza maswali ya msingi sana.Maswali kama haya ndio huwa yanakujengea hoja ili kuugundua ukweli,hata mimi nilitumia maswali kama hayo mpaka kufikia tamati hii.

Kama dawa haipatikani kwa muda wote huu wa miaka 30 tangu HIV/AIDS ilipotangazwa,kwa nini wasiruhusu watu wenye hoja tofauti wajaribu kutumia fikra zao za kisayansi ili waone kama watafanikiwa kupata dawa?Kwa nini wasiwape muda ili waone kitakachotokea?

Wanajua hawa wanaopinga wako sahihi hivyo watafanikiwa katika kil nyanja ya ugonjwa huu wa AIDS na matokeo yatakuwa very fantastic na watu watapona AIDS bila kula dawa ya aina yoyote ile.Hivyo watakuwa wamepoteza soko lao la dawa ambazo huwaingizia trillions of dollars kwa mwaka.
 
nashukuru kwa majibu mazuri,kama hutojali unaweza kuelezea kivipi kinga ya mwili inaweza kumaliza hiv kwenye mwili(mechanism).kwa sababu kwa maelezo ya madaktari jinsi wanavyokielezea kirusi na hizo cells za mwili ni next to impossible kwa cells hizo kuvimaliza virusi.
Kuhusu ya kwamba nitamsikiliza mgunduzi au daktari wa bongo,naamini nitamsikiliza mwenye scientific facts zaidi kwa sabaabu ugunduzi huendelezwa kwa utafiti na mgunduzi hana hatimiliki ya knowledge,wengine huwa wanaendeleza alipoishia.

##fact##
 
Afya ni biashara inawalipa vizuri sana ,na walianza kuwekeza miaka mingi sana.Sasa matokeo yake yanaonekana,inflenza,mafua ya nguruwe,ndege,cancer za kila aina,magonjwa ya moyo kwa umri mdogo.Yote haya matokeo ya yale machanjo(vaccinations) ya polio,ndui,kifaduro,homa za manjano.Ndugu zanguni chunguzeni hizi chanjo.Wakubwa wa Dunia Mpango wa siri.
 
Ila tusilikatie tamaa hili japo linakwaza na watu wanaangamia! Tunapaswa kuishi tukiwa tu najiuliza kila kitu tu nacho consume! Bila fikra za kujiuliza maswali na kudadisi na ku stick to elimu yao wanayotutisha nayo tutaangamia
 
Afya ni biashara inawalipa vizuri sana ,na walianza kuwekeza miaka mingi sana.Sasa matokeo yake yanaonekana,inflenza,mafua ya nguruwe,ndege,cancer za kila aina,magonjwa ya moyo kwa umri mdogo.Yote haya matokeo ya yale machanjo(vaccinations) ya polio,ndui,kifaduro,homa za manjano.Ndugu zanguni chunguzeni hizi chanjo.Wakubwa wa Dunia Mpango wa siri.

I knw kwamba even we ulipewa chanjo enzi izo japokua unazipinga ryt naw..

Xo tha QN is """ ushawai pata hata moja ya ugonjwa ulio mention hapo juu?
 
Afya ni biashara inawalipa vizuri sana ,na walianza kuwekeza miaka mingi sana.Sasa matokeo yake yanaonekana,inflenza,mafua ya nguruwe,ndege,cancer za kila aina,magonjwa ya moyo kwa umri mdogo.Yote haya matokeo ya yale machanjo(vaccinations) ya polio,ndui,kifaduro,homa za manjano.Ndugu zanguni chunguzeni hizi chanjo.Wakubwa wa Dunia Mpango wa siri.

Very very long time indeed.It is from 1910 when The Rockefeller,The Morgans,Ford,Carnegie and their associates took over the medical schools and skewed them to the pharmaceutical industries.Very long time ago.....

Nenda google na usome Flexner Report iliyoandikwa na Abraham Flexner kuelezea mtiririko huo,Abraham Flexner alikuwa hired na hao watu wazito kufanya kazi hiyo,hivyo basi utakachokisoma ni purely kinatoka kwa hao watu wazito.Andika tu Flexner report na zitajaa link nyingi tu utachagua mwenyewe.

Karibuni kujielimisha.
 
Heshima kwako mkuu deception mimi nafikiri hata hawa mods wenyew wameamua kuurudisha huu uzi upya nafkiri baada ya kuona una fact na kuna kitu unique hapa.

My intake:
Mods nawaomba huu uzi muuweke sticky maana ni uzi ambao umegusa watu wengi na jamii kwa ujumla.
 
Xo research gani ulioifanya, ulioiona inayoonesha dat chanjo izo husababisha magojwa ya moyo,, na kwann wengine 2cpate upate wewe???

And co mbaya ka utanipa pathogenesis ya izo chanjo unazozisema

Ndugu yangu bado kuna vitu vingi unatakiwa kuvijua,usijali huu ni mwanzo tu.Ukitaka kutafuta maswali ya kupinga hoja hizi obviously utayapata mengi tu lakini je,unaelewa undani wa hii biashara na historia yake?Chanjo peke yake ina historia kubwa.Kuna wakati walitoa chanjo kwa maana ya kuuza chanjo tu bila kuweka conspiracy nyingine ndani yake,na pia kuna wakati wanatoa chanjo kwa nia ya kuuza chanjo na kuweka conspiracy nyingine ndani yake(ndio sasa hivi).Kwanza unaaminishwa halafu wanatumia imani yako kuendeleza conspiracy nyingine ndani yake.

Kama mkemia mkuu wa serikali angekuwa smart enough na very decent kufanya utafiti wa chanjo zote za sasa na angekuwa honest kusema alichokiona kwenye hizo chanjo,sasa hivi kusingekuwa na mtu ambaye angekubali chanjo kiurahisi.
 
Kile kitabu umekisoma cha Dr Horowitz?

Bado cjakixoma ,,
utakua umerahisisha kaz ka utaquote io sehem anayosema izo chanjo husababisha hayo magonjwa uliosema hapo juu...

& bado najiuliza kwann most of u mnaweka Dr Horowitz as ya only source??

Do u remember Disneyland smallpox outbreak?,,, ivi unajua ki2 gan kilisababisha uo ugonjwa uspread xo fast?
 
Deception katika maelezo yako unakubali kwamba AIDS ilikuwepo muda mrefu tu kabla haijageuzwa biashara,je watu walitambuaje kuwa mtu anao?(dalili), na walithibitishaje ndio wenyewe?(vipimo), na matibabu yalikuwaje?(dawa), na kama ulikuwa unatambulikana uliitwaje kwa huku kwetu(Africa).Nimeuliza hivi ili tujue kama ulikuwa common hivyo kuwezesha watu kurudi nyuma kabla ya ARV's na kupata maarifa stahiki.

Na pia kwa kuwa kwa maelezo yako ni kuwa hao HIV hawawezi kushusha CD4's kwenye mwili,je hao HIV wana madhara gani katika mwili wa mtu au ni friendly kwenye mwili kama baadhi ya bacteria.
 
Wale wale akina nani? Watu tunatofautiana sasa kama bado kwangu haijakaa vizuri nisiulize,kama vipi nijibu wewe.Mbona mwenyewe anajibu hana shida au wewe ndio msemaji wake?

Jenga utamaduni wakupenda kusoma..kila unacho uliza kimeshangumziwa humu ndani...
 
Back
Top Bottom