Deception nina swali kaka yangu hivi hawa madaktari mbona hawajiulizi kwa nn the same people funding the supporters of hiv causes aids hawataki ku sponsor hiv does not cause aids? Unajua ni swala la ajabu coz scientifically ndio inavotakiwa kupatikana kwa dawa. Wabishane mpaka mwenye strong evidence ashinde lakini wao wanajitoa kwenye ku finance research zinazopinga ama kweli wazungu wametuweza elimu ya mkolonikila kitu from mkoloni tusipoamka nchi ni yao hii ni umelo tu umetawala
nashukuru kwa majibu mazuri,kama hutojali unaweza kuelezea kivipi kinga ya mwili inaweza kumaliza hiv kwenye mwili(mechanism).kwa sababu kwa maelezo ya madaktari jinsi wanavyokielezea kirusi na hizo cells za mwili ni next to impossible kwa cells hizo kuvimaliza virusi.
Kuhusu ya kwamba nitamsikiliza mgunduzi au daktari wa bongo,naamini nitamsikiliza mwenye scientific facts zaidi kwa sabaabu ugunduzi huendelezwa kwa utafiti na mgunduzi hana hatimiliki ya knowledge,wengine huwa wanaendeleza alipoishia.
Afya ni biashara inawalipa vizuri sana ,na walianza kuwekeza miaka mingi sana.Sasa matokeo yake yanaonekana,inflenza,mafua ya nguruwe,ndege,cancer za kila aina,magonjwa ya moyo kwa umri mdogo.Yote haya matokeo ya yale machanjo(vaccinations) ya polio,ndui,kifaduro,homa za manjano.Ndugu zanguni chunguzeni hizi chanjo.Wakubwa wa Dunia Mpango wa siri.
I knw kwamba even we ulipewa chanjo enzi izo japokua unazipinga ryt naw..
Xo tha QN is """ ushawai pata hata moja ya ugonjwa ulio mention hapo juu?
Afya ni biashara inawalipa vizuri sana ,na walianza kuwekeza miaka mingi sana.Sasa matokeo yake yanaonekana,inflenza,mafua ya nguruwe,ndege,cancer za kila aina,magonjwa ya moyo kwa umri mdogo.Yote haya matokeo ya yale machanjo(vaccinations) ya polio,ndui,kifaduro,homa za manjano.Ndugu zanguni chunguzeni hizi chanjo.Wakubwa wa Dunia Mpango wa siri.
Yes,nina Matatizo ya moyo.
Xo research gani ulioifanya, ulioiona inayoonesha dat chanjo izo husababisha magojwa ya moyo,, na kwann wengine 2cpate upate wewe???
And co mbaya ka utanipa pathogenesis ya izo chanjo unazozisema
Xo research gani ulioifanya, ulioiona inayoonesha dat chanjo izo husababisha magojwa ya moyo,, na kwann wengine 2cpate upate wewe???
And co mbaya ka utanipa pathogenesis ya izo chanjo unazozisema
Kile kitabu umekisoma cha Dr Horowitz?
Kile kitabu umekisoma cha Dr Horowitz?
Wale wale akina nani? Watu tunatofautiana sasa kama bado kwangu haijakaa vizuri nisiulize,kama vipi nijibu wewe.Mbona mwenyewe anajibu hana shida au wewe ndio msemaji wake?