Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?


Thanks ..ntabadilisha huo mwandiko .. Nilkua naandika kama ivo ili niokoe mda
 

kumbuka'kukaa karibu na mahakama sio kujua sheria"
 
hii habari ya HV inataka kufanana na ile habari iliyoaminishwa kwa walimwengu kuwa Iraq wanazo silaha za mangamizi kumbe ni uwongo.

HIV ni makubaliano ya wanasayansi wawili kuwa iitwe hivyo baada ya kila mmoja kudai kumuibia mwezake chanzo cha kisababishi cha Ukimwi.

kuna mahakama ujerumani iliamua kuwa HIV haipo kwa sababu taasisi ya afya ya hukowalishidwa kupeleka ushahidi mahakamani dhidi ya ule ulioonyesha kuwa haupo.

nashukuru Deception kwa hoja yako japo bado nina mashaka ila hoja zako zinamashiko na zimenifanya kutafuta ukweli
 
sasa UTI c dozi ya siku tatu au week jaman.dk kweli kweli hukumuelewa jamaa.kasema matumizi ya MUDA MREFU ya ant biotics.sasa ARV dozi yake unaweza ifananisha na dozi ya UTI!!!u cnt b serious dk!!!!

Huwa ndo madokta kanjanja kazi yao kutoa mimba baasii...
 
Ivi udocta ni kama msaafu au biblia? Manake hawa madokta ni kama hawataki kujifunza kitu kipya...

Kitu cha muhimu sasa ni kwa mkuu deception kutupatia summary ya haya mambo kama alivyotuahidi maana hiyo ni idea mpya ambayo naamini wengi hatukuwa nayo lakini hiyo ya madaktari si mpya vichwani mwetu kwani tumefundishwa hivyo kama wao wanavyosema.hapo madaktari wanajitahidi kuelewesha kama vitabu vyao vinavyoeleza ambavyo msingi wake ni yule aliyesema amegundua hiv ya kuwa anasababisha aids na hoja za deception msingi wake ni kutoka kwa wale wanasayansi waliopinga hiv anasababisha aids.kwahiyo hapa mada haitakuwa inaenda mbele.mkuu deception tupe summary then twende kwenye magonjwa mengine kama cancer na kisukari na usiache kutuelekeza namna ya kuandaa aina mbalimbali za vyakula ili viweze kutupatia virutubisho muhimu kwa miili yetu na tuimarishe kinga za miili yetu.
 

1.mkuu unavyo sema vipimo feki vya HIV antbodies(protn) una maanisha nini...???

2.nme soma hapo juu nkaona una amini juu ya magonjwa halisia kama kaswende(syphilis)& typhoid fever....jee haya yana pimwa na nnn..!!!???

3.umesema watu hawapimwi kwaku tumia electron microscope...labda nikulize iyo machine hapa tanzania ipo wap..!!??
 
Hujanielewa Dr.nimesema niliwahi kuwa na TB muda mrefu huko nyuma lakini waliponipima HIV nilikuwa HIV-.Nazungumzia hoja ya Dr mmoja aliyesema ili uwe na ukimwi lazima uwe na HIV,umenielewa maana yangu?

nimekuekewa...lakini je unafikiri sentence yake hapo juu amekosea...!???
 
AHahaha unanichekesha mkuu, yani hawa madaktari wetu sijawahi kuona aisehh, yani wanazidi kujidharirisha apa walivyo na upeo mdogo ambao ata mimi ambaye sio daktari sina mawazo mpauko kama yao

Nasikia ni mabwana shamba siyo madokta...by Warumi
 

Mi najiuliza ni kwann huyu virus wa hiv hawatafuti namna yakuona kama virus wengine? Badala yake wanatupa assumption tu za huyu mdudu...
 
Last edited by a moderator:

Safi hii hoja nzuri sana...maana yake kinga ya mwili inaweza kushuka hata bila huyo HIV..
 
Last edited by a moderator:

Nimekukubali mkuu...
 

Hapa lazima watafute sababu mkuu...
 
Mkuu ma doctor wote wameapa kutotoa siri, sio za wagonjwa tu, hata za ugonjwa na dawa zake. Hivyo usitegemee jibu hapo. Utakesha, bora tumsikilize deception.

Si bora wangekuwa wanazijua izo siri sasa, hawajui lolote kama sie tu, wabongo walivyokuwa wambea tena hao madaktari ndio usiseme, sidhan kama wangekaa kimya labda madokta wa usalama wa taifa, labda lakini
 
Nilichogundua Wengi wanaoshabikia huyu dokta FAKE wengi wao ni wale walipimwa na kukutwa na HIV+ sasa either wabishi hawataki kukubali au wanatafuta relief yaani wanajifariji au wanatamani itangazwe hata redioni kesho kuwa ukimwi hausababishwi na ngono ili wapate sababu. Au ni wale watu ambao starehe yao ni ngono na hawataki kutumia condom.........anachokifanya dokta FAKE ni kitu kidogo sana . Yeye ananukuu paper za wale waliopinga ukimwi basiii yaani ni sawa na ushabiki wa simba na yanga. Maswali ya msingi anayakwepa anakadhania TB sijui mafua ......mtu alikuwa hoi hoi kaisha kabakia mifupa hata kula hali anaanzishiwa dozi ya ARV ana recover anarudi safi kabisa . Dokta FAKE anasema dawa ya upungufu wa kinga mwilini ni chakula mlo kamili . Sasa mtu alifikia hatua hata ya kula hawezi atawezaje kula hizo juice . Dokta FAKE na nyie waathirika taratibu jamani mtapotosha watu . Kuna watu walienda kwa babu wa loliondo wakaacha kula ARV walifariki fasta .
 
Huyu dokta FAKE yeye anangangania kuwa dawa ya ukimwi ni chakula yaani mlo kamili. Mimi nimemuuliza je USA, UK, Russia , Thailand .....watu wanaokufa na ukimwi nao hawali mlo kamili........na je wanapoambiwa watumie condom au protected sex kujikinga na ukimwi wanadanganywa....maana dokta FAKE anasema ukimwi hauambukizwi na sex wala damu.........NAFIKIRI HATA UZI HUU KAUANZISHA makusudi kwa different I'd ili kuwachota watu........dokta FAKE anasema eti vipimo ni fake kisa sometimes vinakosea kwanza ikumbuke anayekupima ni binadamu anasema pia akakosea . Pia hata hivyo inashauriwa upime mara 3 tena ikibidi sehemu tofauti 3 na kwa miezi 3 wakiwa na maana kwamba inawezekana kipimo kilikosewa au mfano mtu aliyeambukizwa leo ukimpima kesho huwezi kuona kitu .......so DOKTA FAKE acha kutaka kuua watu makusudi . Wabongo wanapenda ngono kavu tutawazika wengi .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…