Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

Kwanini Arvs zisitengenezwe watu watumie waishi wasiugue tena kama zina mantiki ya kuzuia uzalianaji wa virus .Dr.

Wakitengeneza za watu kupona biashara watapata wapi? Maana ukishapona dawa za nn ? Wao wanajua namna hiyo watakuwa wana wateja permanently. Na good enough serikali ndo inalipa wala si mgonjwa na serikali ikiacha ku nunua hizo dawa huo uongozi utaondolewa madaraka ni maana ni uongozi wa wauaji
 
Nini basi kinasababisha usambazaji au maambukizi ya Ukimwi? Mbona watu hufa kwa siries kwa maana ya Baba , Mama na hata Watoto? Zingatia wana uwezo wa mlo bora, maji safi na vinginevyo.
 
Nini basi kinasababisha usambazaji au maambukizi ya Ukimwi? Mbona watu hufa kwa siries kwa maana ya Baba , Mama na hata Watoto? Zingatia wana uwezo wa mlo bora, maji safi na vinginevyo.

Una mfano hai au unatumia hisia?
Kama una mfano hai lete data zote za huo mfano tuudadavue.

Halafu kama kweli unapenda kujua ukweli hebu fuatilia vizuri utajua tu,kuna vithibitisho vingi vya kisayansi kuonesha kwamba ukimwi haumbukizwi kutoka host mmoja kwenda kwa mwingine na si tu hauambukizwi,bali hauambukizwi kwa njia ya ngono kama tulivyoambiwa.Hawa jamaa wana sababu kubwa sana ya kusema ukimwi kuambukizwa kwa njia ya ngono,watu hawajui tu.

Ukimwi unatokana na lifestyle:Ulaji mbovu wa chakula,ukosefu wa maji safi na salama,utumiaji wa mara kwa mara wa madawa ya hospitali kama vile diclofenac,antibiotics,ARVs,chemotherapy,radiations kwa wagonjwa wa cancer nk,recreational drugs/madawa ya kulevya,unywaji wa kupindukia wa pombe,magonjwa ya kujirudia,ukosefu wa antioxidants.

Mtu anaweza kuwa na ukimwi hata kama hana HIV huyu anayesingiziwa.Mtu kupimwa HIV+ is not a big deal,kupimwa HIV+ hakuna maana yoyote kiafya,ni ulimbukeni tuliomezeshwa kwa muda mrefu kwa kuwa HIV hana madhara tunayoyaogopa.Ni sawa na kupima uwepo wa bifidus bacteria tumboni,ukiwa nao so what?Kupimwa HIV+ ni suala la tricks za vipimo tu na haimaanishi kwamba una huyo HIV,na hata kama unaye kweli so what?HIV hasababishi ukimwi.Ni ulimbukeni tu ndio unaotusumbua.

Vyote nilivyosema hapo juu vina mifano hai ya kuthibitisha,lakini kwa kuwa tayari watu wana kasumba,bado hawaamini.Tena kuna uthibitisho kutoka kwa wagunduzi wenyewe,achilia mbali wale wanaopinga kwa maana unaweza kusema wanapendelea upande wao.Luc Montagnier alisema mara nyingi tu kwamba kinga ya mwili inatosha kumdhibiti huyo HIV kama utakuwa na kinga nzuri,sasa kipi cha muhimu hapa,kula ARVs zenye sumu au kula chakula bora na kubadili lifestyle?

Tu stretch uwezo wetu wa kufikiri,ninaamini watu wote humu wakiamua kushughulisha bongo zao watauona ukweli tu hasa kwa wale ambao bado hawajauona.

Ukijua ukweli huu utaona kwamba kupima HIV ni ulimbukeni wa kifikra tu.
 
Sipimi ng'o
Hapa ni mwendo wa menu ya maana, maji ya uhakika, matunda kwa sana, gambe kiasi matizi kidogo and the likes
Totoz siachi kuchapa
Condom kwa ajili ya ku prevent STDs tu basii hakuna HIV tushadanganywa sana duuh.
 

Deceptipn..sja elewa vizuri hapo juu umesema ukimwi hau ambukizwi kwa sexual intercorse...ninge penda unfundishe kidogo kuwa virus huyo ana ambkizwa vip...??

kama kukutwa HIV+ syo deal kwann baada ya miaka.kadhaa hao walio kutwa +ve huanza ku dhofika na mwishoe hufa na kilo 2..!?
 
Sipimi ng'o
Hapa ni mwendo wa menu ya maana, maji ya uhakika, matunda kwa sana, gambe kiasi matizi kidogo and the likes
Totoz siachi kuchapa
Condom kwa ajili ya ku prevent STDs tu basii hakuna HIV tushadanganywa sana duuh.

Hahaaaaa
Umetisha mkuu

Wataalam wanasema ukifanya ngono Mara kwa Mara na watu tofauti unapunguza kinga ya mwili kwasababu unatumia nguvu nyingi mpendwa

Na maandiko yanasema USIZINI
 
Bado naendelea kusoma, ila Deception kuna hoja moja umeitoa imenifikirisha, Umesema "ARVs hazina faida mwilini kwa kuwa hazina target".

Huwa tunaambiwa kazi za ARVs ni kufubaza makali ya VVU/UKIMWI, nimejiuliza, "kufubaza" ni kufanya nini?
:Je ni kuua HIV?
:Je ni kuongeza kinga mwilini, au labda
:Ni kuwafanya HIV wasizaliane? (kama huwa wanazaliana)n.k

Mwenye uelewa hapa ninaomba ufafanuzi tafadhali..
 
Last edited by a moderator:

Kwa mujibu wa madakitari ARVs zinafanya virus wa HIV wasizaliane hivyo kuzikinga cell za mwili zisishambuliwe zaidi...huwa najiuliza mbona baada ya muda mtu aliyetumia arv hupata magonjwa sugu kama cancer,magonjwa ya ini,upungufu wa damu n.k....!
 
Last edited by a moderator:
Hahaha eti ukimwi unatokana na ulaji mbaya wa chakula. Kutokunywa maji safi..........swali linarudi pale pale hivi UK. USA. ASIA ..........nao hawali vizuri? Hawanywi maji safi? ..........hili swali huwa sijibiwi
 
Hahaha eti ukimwi unatokana na ulaji mbaya wa chakula. Kutokunywa maji safi..........swali linarudi pale pale hivi UK. USA. ASIA ..........nao hawali vizuri? Hawanywi maji safi? ..........hili swali huwa sijibiwi

Ujinga nao ni tatizo kweli kweli we kupe wale watu wa ulaya wanaoshinda kwenye burger na fries unaweza ita ni kula vizuri? Wale watu wanene mpaka hawawezi kuamka walipokaa wanakula vizuri! Umeshaona drug addict a kila vizur? au hata mlevi? Inaelekea ww bado sana hii mada ni shida kidogo kwako hivi hujui watu hawawezi ku afford nyumba huko ulaya wanaishi kwenye trailers? Hiyo lishe bora inatoka wapi? Usisikie habari ya ulaya ukadhani ni pepo ingine unajifubaza akili, huko Asia unakozungumzia hivi unaangaliaga hata news ww? Ushaona maisha ya most Indians yalivo? Ushaona huko Asia wanavokumbwa na ma katrina na mafuriko ya kila namna ww ulaya wamekupumbaza sana angalia hata taarifa za habari za international kidogo utaona hali halisia ya maisha! Huko ulaya kuna watu wana lala street na kuna omba omba km bongo! Pole
 
Ndio unavyowadanganya watu kijiweni eeh.......umewahi kutoka hata nje ya nchi? Ukisikia asia unajua india...... na ukisikia india unapata picha ya wale masikini wa mitaani......hujui asia ni pamoja singapore . China. Thailand. Malasia...... ndugu yangu danganya hao hao wa jf. Ila nakusifu mnawapata. Nyie ndio mnaowadanganyaga watu vijiweni
 
Kweli huu ukimwi umefika patamu hadi anajiita napoteza sijui kapotea anafananisha tanzania na europe. Swali rahisi umeulizwa huo ukimwi unaopona kwa chakula ni huu wa bongo au wa dunia nzima?......swali la pili je ukimwi usioambikizwa na sexual intercourse wala damu ni huu wa bongo peke yake au dunia nzima. Swali la mwisho ukimwi unaopona kwa chakula na maji safi ni huu wa bongo au dunia nzima
 
Mtu mwenye akili timamu unakaa kwenye keyboard na kusema eti viongozi wakikataa deal la dawa za ARV watatolewa madarakani. Mbona dunia iko wazi sana soma ndugu yangu na fuatilia vitu . Jiulize katika africa nchi ngapi zinawapa wananchi wake ARV. Na why zinawapa na je zile zisizowapa inakuwaje . Just simple fuatilia nchi jirani kama kenya , uganda , mozambique ......kumbuka ukimwi upo dunia nzima . So na dunia nzima watu wanapimwa . Wewe unasema vipimo FAKE sasa hivyo vipimo fake ni bongo peke yake au dunia nzima ? Kama una ukimwi na unatumia ARV acha kwa mpango wako . Kama huna imani na afya yako na unaogopa kupima acha kwa binafsi yako usidanganye watu......kama hutaki kutumia condom kwa sababu zako binafsi pia acha wewe mwenyewe usipotoshe watu.
 

Nimekuwa msomaji tangu Uzi huu uanze, nimeshindwa kuvumilia hoja zako Mkuu kupe;
1.kwako wewe mtu mwenye akili timamu yukoje? Je ni Yule anaendika au kusema kile masikio yako/macho yako yanakubaliana nacho, na kwamba akiandika kinyume na hivyo Basi akili zake zinakuwa sio timamu.

2. Unadai dunia iko wazi na unashauri asome na kufuatilia vitu,, nashawishika kuamini kuwa wewe uko na spirit hiyo ya kusoma na kufuatilia vitu, sasa hata hili la VVU hukulifuatilia kung'amua ukweli wake??

3. Nchi kuwapa au kutokuwapa wananchi wake ARV unamaanisha nn? Hivi kuna nchi isiyotoa ARV kwa hao wanaodaiwa kuwa na HIV v+, nijuze Mkuu.

4. Kuwepo kwa UKIMWI dunia nzima sio issue since UKIMWI upo karne na karne haukuanza Jana wala juz, unapouliza U_feki wa vipimo vya bongo nazid kukushangaa,, ni sawa na kusema hewa (Oksijeni) anayovuta mchina sio sawa na Ile anayovuta m_south Africa. Kipimo Feki Cha HIV kilichopo bongo na kwingineko ni kilekile provided kiko programmed kusoma kirus anaeitwa HIV na kirus hana nchi au hachagui wa kumuingia awe mmatumbi, mkongoman au mjapan.

5. Unaandika "Imani ya afya",,,, ni kitu gani hicho? kuna tofauti Kati ya kuamini na kujua,,angalia usije kuamini kisichokuwepo!!!

6. Wapi ilipoandikwa hataki kutumia condom? Soma taratibu akili ikiwa imetulia utaelewa tu Mkuu.
 
Last edited by a moderator:
Ndugu kaburungu kuna maswali kama matatu a manne nimeuliza je kuna tatizo yanashindwa kujibiwa? Soma maswali yangu vizuri kabla hujaanza kulaumu
 
Hahaha eti ukimwi unatokana na ulaji mbaya wa chakula. Kutokunywa maji safi..........swali linarudi pale pale hivi UK. USA. ASIA ..........nao hawali vizuri? Hawanywi maji safi? ..........hili swali huwa sijibiwi

Tembea nchi za watu uone acha ushamba wewe, we unadhan uko kila mtu ana maisha mazuri? Hoja zako za kitoto sana ,acha uvivu wa kufikir, eti ulaya hawal vzur, unachekesha sana, ushamba mzigo
 

Huyo Mshamba achana nae, kama yeye mwenyewe hajielewi unadhani ataelewa kitu humu? Yani kaona USA ni mbinguni kila kitu kipo, huyu sio mzima yani nacheka sana apa, maandishi yake yalivyomuumbua na upumbavu wake. Ushamba kazi ila ujinga nao ni kazi zaidi
 
Hahahaha warumi ulidhani nipo bongo eeh pole sana ndugu yangu.
 

Hiyo historia ya ukimwi usijisumbue kutuadithia, kila mtu anaijua vizur, hakuna mpya ndugu, kama izo ARV unaziona ni mkombozi, kwa nini bado watu wanazidi kufa? Umewahi kujiuliza kwa nini? Na ndio maana tupo apa kuujadili huu ugonjwa kwa jicho la tatu pamoja na ARV, hatuwezi kushabikia kitu ambacho tunaona kinamaliza watu kila siku eti kwa kuwa wazungu wamesema, kwa hyo wazungu kwenu mungu?

Hao hao wazungu walikuja apa TZ na kutaka kuhararisha USHOGA, mbona mliwapinga? Si kila kitu kwao mnakiona ni sawa? Mzungu akisema basi iko iko ni sawa, tuache mawazo mpauko na tujaribu kuwa wadadisi kwa faida zetu wenyewe. Walivyotaka kuhamasisha ushoga tu, apo apo nikawaona sio watu wazuri, na hawatupendi, kama mtu anakwambia utembee na mwanaume mwenzio kama mke /mume wako we unadhani huyo mtu ana mapenzi na wewe? Deception namuelewa sana kupitia mifano dhahir na matukio kama haya, nyie endeleeni kuwaamini ngozi nyeupe tu.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…