Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

Kaburungu jitahidini mjibu nilichouliza sio story nyingi.......kapoteza pole tena kama umechukia wewe kutowepo bongo.
 
Nyie ambao mnawaona wazungu ni Miungu watu, ambao kila kitu wakisema wao basi mnawaona wapo sahihi, kwa kuwa tu ni weupe
OBAMA alikuja apa na kutaka kuhararisha ndoa ya jinsia moja, ili waendelee kutupa misaada, na inavyosemekana kufanya ngono kinyume na maumbile (USHOGA ) ni njia moja wapo rahisi sana kuambukizana virusi vya UKIMWI, na wenyewe wanajua vizuri, iweje wao waje na kuhamasisha ngono ambayo ni hatarishi kwa maambukizi ya UKIMWI? Huoni kama wanataka watumalize zaidi ili tuendelee kuwa wateja wao wa ARV? , mmeshawahi kujiuliza kwa nini wahamasishe mapenzi ya jinsia moja? Ni kwamba wanatupenda sana kuliko Mungu? Mmeshawahi kulifikiria hili kwa jicho pevu? Hamuoni kwamba wapo kibiashara zaidi kama Deception anavyosema?
Eiyer RGforever Napotezea definition amaizing Ruttashobolwa Habari ya Mujini Deception gorgeousmimi @retroviride Hornet Troojan Diva Beyonce renyo tinya kupe nahitaji mawazo yenu kuhusu hili suala.

Idadi kubwa ya waathirika wa UKIMWI ni MASHOGA ( wanaofanya mapenzi ya jinsia moja ), takwimu inasema hvyo,je? KWa nini waje kuhamasisha mchezo ambao ni hatari kwa maambuzi ya UKIMWI? Hawa watu wanatupenda kweli? Hamuoni kuwa wapo kibiashara zaidi ili waendelee kuuza ARV?
 
Last edited by a moderator:

Nchi zote ulizotaja hapo juu zina masikini wakutupwa..fuatilia vizuri...
 
Hahahaha warumi ulidhani nipo bongo eeh pole sana ndugu yangu.

Yani wewe ni chizi
Hivi kwanini hutaki kuufikirisha ubongo wako japo uruhusu uone upande wa pili ukoje

Haya wewe unajua UKIMWI wa HIV+
VIP kuhusu UKIMWI wa HIV-???
Nipe tofauti hapa twende sawa .
Njoo na hoja iliyoshiba ili twende sawa kilaza wewe
 
Yani wewe ni chizi
Hivi kwanini hutaki kuufikirisha ubongo wako japo uruhusu uone upande wa pili ukoje

Haya wewe unajua UKIMWI wa HIV+
VIP kuhusu UKIMWI wa HIV-???
Nipe tofauti hapa twende sawa .
Njoo na hoja iliyoshiba ili twende sawa kilaza wewe

Kama kufikiria kwake tu ni shida, unadhani ataweza kufikiria mengine? Kilaza huyo achana nae
 
@ warumi usemayo hapo juu ni ukweli kabisa
Kama unakumbuka huko nyuma ilishawah kuelezwa kinachosababisha UKIMWI ni pamoja na mapenzi ya kinyume na maumbile na utumiaji wa madawa ya kulevya

Hivyo hawa wazungu wanamkakati maalum wa kuendeleza biashara yao ya ARV..hawana mapenzi mema nasi.

We need to open our minds na tuache uoga.
Ndio maana wenzetu wanaendelea kwasababu hawana uoga wa kijinga.
Humu ndan watu wamesikia ARV zinamadhara kwasabu ya uoga wa either wao kuacha kutumia au ndugu zao kuacha kutumia basi wanakuwa wakali

Uoga ni kifo wapenzi
 

Hili nalo ni lakujiuliza..mashirika yanayopambana na ukimwi wanasema ngona ya jinsia moja inachangia maambukiz zaid,,afu hawajamaa wanahamasisha ushoga!!!! Akili kumkichwa....
 
Last edited by a moderator:

Deception endelea kutupa msaada tunaokuelewa, binafsi umenipa uhuru sana wa maisha. Muda mrefu sina imani na mataifa ya magharibi.
 

Ndo maana nilikwambia wewe baki na ulijualo mwathirika mwenzetu kunywa ARV mimi cozi ya ualimua kwa watu km nyinyi mnaobisha alimradi mnabisha ni aibu sina muda na mtu a naye argue for the sake of arguing maana hutaki ku fikiri umejiandaa na objections
 

Buhaahahahahaha Unakurupuka sana ndo tatizo aliyekuwa android kakupatia, uliza kilichomkuta Thabo Mbeki baada ya mdahalo km huu! Wala kumbe hujasoma previous notes ndo maana unarukaruka alimradi kubisha this message was intended for Kupe
 
Last edited by a moderator:

Rudi nyuzi za nyuma majibu yapo usiturudisherudishe coz u know how to type ukimwi wa ...... na wa..... yote ni ukimwi
 

Kiongozi binafsi nina elimu kubwa sana ya hiv na nimeshapima sana na mara nyingi najikuta negative na nikiangalia mademu niliotembea nao wengine washakufa, but unajua nilichogundua kwanini niko fit ni lifestyle, kwa siku maji litre tano saafi, mazoezi ya kumwaga, chakula cha kutosha. Malaria siijui naisikia kwa watu tu, ki ufupi huu ukimwi ni simulizi tu
 

Na kuanzia sasa sipime tena, niko free.
 

Doh unasikitisha, Marekani amezipiga nchi ngapi hapa duniani na what happens mpaka anazipiga? Kwa nn anahangaikaga kuondoa kiongozi wa nchi fulani wakati haishi huko eg. Sad am Hussein mi hata sielewi umekula maharage ya wapi ww km unaona umechoka humu si unasepa? We mwenyewe unajiita kupe kwani si maana yake ni mbishi hata bila sababu! Mimi siwezi kuanza kuchambuana majina hizo ni dalili za failures
 

Kaka kwanza kabisa naomba ufahamu kuwa marekani ndo anaongoza kuua watu wengi kuliko taifa lolote tokea vita ya pili umalizike na vilevile ndo nchi ambayo imezalisha sumu nyingi duniani tokea vita ya pili imalizike. Huyo marekani anakupenda wewe ki namna gani, wakati sasa hivi hata ukinunua friji ya kisasa CIA wanaangalia unachokifanya. Elimika kiongozi jamaa ndo wanahatarisha amani ya ulimwengu, libya iko wapi now
 
Deceptipn..sja elewa vizuri hapo juu umesema ukimwi hau ambukizwi kwa sexual intercorse...ninge penda unfundishe kidogo kuwa virus huyo ana ambkizwa vip...??

Ndio,ukimwi hauambukizwi kwa sexual intercourse.We umeona/umesikia wapi kwamba upungufu wa kinga huambukizwa?Unawezaje kumwambukiza upungufu wako wa kinga mtu mwingine?

Je,wewe unashindwa kutofautisha kati ya ukimwi na HIV?Je,ni kweli mtu akiwa na ukimwi basi ndio ana HIV?
Hata huyo HIV mwenyewe haambukizwi kwa njia ya ngono.Na hata ukipimwa HIV+ huwezi kupata ukimwi kwa kuwa HIV hana uwezo wa kusababisha ukimwi.

..kama kukutwa HIV+ syo deal kwann baada ya miaka.kadhaa hao walio kutwa +ve huanza ku dhofika na mwishoe hufa na kilo 2..!?

Je,hujui kwamba TB ni mojawapo ya ugonjwa unaweza kukufanya udhoofike na ufe na kilo chache sana?Umeona wapi mtu kafa kwa ukimwi?Kama wewe kweli ni Dr.hebu fanya utafiti wako mwenyewe kwa watu wanaosadikika kuwa HIV+ waliodhoofika halafu wachunguze uone wanakufa kwa magonjwa gani.Ukimwi hauui bali magonjwa yanayoingia mwilini kutokana na upungufu wa kinga wa mtu ndio yanayoua,swali la msingi la kujiuliza hapa ni je,magonjwa gani hayo yanayoua?

Ukifuatilia ni magonjwa gani yanayoua ndio utaelewa nina maana gani.Vinginevyo ulete uthibitisho maalum unaoonesha kwamba AIDS peke yake bila mchango wa ugonjwa unaofahamika ndio inayoua,lete huo uthibitisho kama unao.Mimi nakwambia kwamba AIDS haina uwezo wa kuua bali ugonjwa unaoingia mwilini baada ya kuwa na AIDS ndio unaoua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…