Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio unavyowadanganya watu kijiweni eeh.......umewahi kutoka hata nje ya nchi? Ukisikia asia unajua india...... na ukisikia india unapata picha ya wale masikini wa mitaani......hujui asia ni pamoja singapore . China. Thailand. Malasia...... ndugu yangu danganya hao hao wa jf. Ila nakusifu mnawapata. Nyie ndio mnaowadanganyaga watu vijiweni
Nchi zote ulizotaja hapo juu zina masikini wakutupwa..fuatilia vizuri...
Hahahaha warumi ulidhani nipo bongo eeh pole sana ndugu yangu.
Yani wewe ni chizi
Hivi kwanini hutaki kuufikirisha ubongo wako japo uruhusu uone upande wa pili ukoje
Haya wewe unajua UKIMWI wa HIV+
VIP kuhusu UKIMWI wa HIV-???
Nipe tofauti hapa twende sawa .
Njoo na hoja iliyoshiba ili twende sawa kilaza wewe
Nyie ambao mnawaona wazungu ni Miungu watu, ambao kila kitu wakisema wao basi mnawaona wapo sahihi, kwa kuwa tu ni weupe
OBAMA alikuja apa na kutaka kuhararisha ndoa ya jinsia moja, ili waendelee kutupa misaada, na inavyosemekana kufanya ngono kinyume na maumbile (USHOGA ) ni njia moja wapo rahisi sana kuambukizana virusi vya UKIMWI, na wenyewe wanajua vizuri, iweje wao waje na kuhamasisha ngono ambayo ni hatarishi kwa maambukizi ya UKIMWI? Huoni kama wanataka watumalize zaidi ili tuendelee kuwa wateja wao wa ARV? , mmeshawahi kujiuliza kwa nini wahamasishe mapenzi ya jinsia moja? Ni kwamba wanatupenda sana kuliko Mungu? Mmeshawahi kulifikiria hili kwa jicho pevu? Hamuoni kwamba wapo kibiashara zaidi kama Deception anavyosema?
Eiyer RGforever Napotezea definition amaizing Ruttashobolwa Habari ya Mujini Deception gorgeousmimi @retroviride Hornet Troojan Diva Beyonce renyo tinya kupe nahitaji mawazo yenu kuhusu hili suala.
Idadi kubwa ya waathirika wa UKIMWI ni MASHOGA ( wanaofanya mapenzi ya jinsia moja ), takwimu inasema hvyo,je? KWa nini waje kuhamasisha mchezo ambao ni hatari kwa maambuzi ya UKIMWI? Hawa watu wanatupenda kweli? Hamuoni kuwa wapo kibiashara zaidi ili waendelee kuuza ARV?
Una mfano hai au unatumia hisia?
Kama una mfano hai lete data zote za huo mfano tuudadavue.
Halafu kama kweli unapenda kujua ukweli hebu fuatilia vizuri utajua tu,kuna vithibitisho vingi vya kisayansi kuonesha kwamba ukimwi haumbukizwi kutoka host mmoja kwenda kwa mwingine na si tu hauambukizwi,bali hauambukizwi kwa njia ya ngono kama tulivyoambiwa.Hawa jamaa wana sababu kubwa sana ya kusema ukimwi kuambukizwa kwa njia ya ngono,watu hawajui tu.
Ukimwi unatokana na lifestyle:Ulaji mbovu wa chakula,ukosefu wa maji safi na salama,utumiaji wa mara kwa mara wa madawa ya hospitali kama vile diclofenac,antibiotics,ARVs,chemotherapy,radiations kwa wagonjwa wa cancer nk,recreational drugs/madawa ya kulevya,unywaji wa kupindukia wa pombe,magonjwa ya kujirudia,ukosefu wa antioxidants.
Mtu anaweza kuwa na ukimwi hata kama hana HIV huyu anayesingiziwa.Mtu kupimwa HIV+ is not a big deal,kupimwa HIV+ hakuna maana yoyote kiafya,ni ulimbukeni tuliomezeshwa kwa muda mrefu kwa kuwa HIV hana madhara tunayoyaogopa.Ni sawa na kupima uwepo wa bifidus bacteria tumboni,ukiwa nao so what?Kupimwa HIV+ ni suala la tricks za vipimo tu na haimaanishi kwamba una huyo HIV,na hata kama unaye kweli so what?HIV hasababishi ukimwi.Ni ulimbukeni tu ndio unaotusumbua.
Vyote nilivyosema hapo juu vina mifano hai ya kuthibitisha,lakini kwa kuwa tayari watu wana kasumba,bado hawaamini.Tena kuna uthibitisho kutoka kwa wagunduzi wenyewe,achilia mbali wale wanaopinga kwa maana unaweza kusema wanapendelea upande wao.Luc Montagnier alisema mara nyingi tu kwamba kinga ya mwili inatosha kumdhibiti huyo HIV kama utakuwa na kinga nzuri,sasa kipi cha muhimu hapa,kula ARVs zenye sumu au kula chakula bora na kubadili lifestyle?
Tu stretch uwezo wetu wa kufikiri,ninaamini watu wote humu wakiamua kushughulisha bongo zao watauona ukweli tu hasa kwa wale ambao bado hawajauona.
Ukijua ukweli huu utaona kwamba kupima HIV ni ulimbukeni wa kifikra tu.
Kweli huu ukimwi umefika patamu hadi anajiita napoteza sijui kapotea anafananisha tanzania na europe. Swali rahisi umeulizwa huo ukimwi unaopona kwa chakula ni huu wa bongo au wa dunia nzima?......swali la pili je ukimwi usioambikizwa na sexual intercourse wala damu ni huu wa bongo peke yake au dunia nzima. Swali la mwisho ukimwi unaopona kwa chakula na maji safi ni huu wa bongo au dunia nzima
Nimekuwa msomaji tangu Uzi huu uanze, nimeshindwa kuvumilia hoja zako Mkuu kupe;
1.kwako wewe mtu mwenye akili timamu yukoje? Je ni Yule anaendika au kusema kile masikio yako/macho yako yanakubaliana nacho, na kwamba akiandika kinyume na hivyo Basi akili zake zinakuwa sio timamu.
2. Unadai dunia iko wazi na unashauri asome na kufuatilia vitu,, nashawishika kuamini kuwa wewe uko na spirit hiyo ya kusoma na kufuatilia vitu, sasa hata hili la VVU hukulifuatilia kung'amua ukweli wake??
3. Nchi kuwapa au kutokuwapa wananchi wake ARV unamaanisha nn? Hivi kuna nchi isiyotoa ARV kwa hao wanaodaiwa kuwa na HIV v+, nijuze Mkuu.
4. Kuwepo kwa UKIMWI dunia nzima sio issue since UKIMWI upo karne na karne haukuanza Jana wala juz, unapouliza U_feki wa vipimo vya bongo nazid kukushangaa,, ni sawa na kusema hewa (Oksijeni) anayovuta mchina sio sawa na Ile anayovuta m_south Africa. Kipimo Feki Cha HIV kilichopo bongo na kwingineko ni kilekile provided kiko programmed kusoma kirus anaeitwa HIV na kirus hana nchi au hachagui wa kumuingia awe mmatumbi, mkongoman au mjapan.
5. Unaandika "Imani ya afya",,,, ni kitu gani hicho? kuna tofauti Kati ya kuamini na kujua,,angalia usije kuamini kisichokuwepo!!!
6. Wapi ilipoandikwa hataki kutumia condom? Soma taratibu akili ikiwa imetulia utaelewa tu Mkuu.
Kweli huu ukimwi umefika patamu hadi anajiita napoteza sijui kapotea anafananisha tanzania na europe. Swali rahisi umeulizwa huo ukimwi unaopona kwa chakula ni huu wa bongo au wa dunia nzima?......swali la pili je ukimwi usioambikizwa na sexual intercourse wala damu ni huu wa bongo peke yake au dunia nzima. Swali la mwisho ukimwi unaopona kwa chakula na maji safi ni huu wa bongo au dunia nzima
Ndo maana nilikwambia wewe baki na ulijualo mwathirika mwenzetu kunywa ARV mimi cozi ya ualimua kwa watu km nyinyi mnaobisha alimradi mnabisha ni aibu sina muda na mtu a naye argue for the sake of arguing maana hutaki ku fikiri umejiandaa na objections
Ndo maana nilikwambia wewe baki na ulijualo mwathirika mwenzetu kunywa ARV mimi cozi ya ualimua kwa watu km nyinyi mnaobisha alimradi mnabisha ni aibu sina muda na mtu a naye argue for the sake of arguing maana hutaki ku fikiri umejiandaa na objections
Mtu mwenye akili timamu unakaa kwenye keyboard na kusema eti viongozi wakikataa deal la dawa za ARV watatolewa madarakani. Mbona dunia iko wazi sana soma ndugu yangu na fuatilia vitu . Jiulize katika africa nchi ngapi zinawapa wananchi wake ARV. Na why zinawapa na je zile zisizowapa inakuwaje . Just simple fuatilia nchi jirani kama kenya , uganda , mozambique ......kumbuka ukimwi upo dunia nzima . So na dunia nzima watu wanapimwa . Wewe unasema vipimo FAKE sasa hivyo vipimo fake ni bongo peke yake au dunia nzima ? Kama una ukimwi na unatumia ARV acha kwa mpango wako . Kama huna imani na afya yako na unaogopa kupima acha kwa binafsi yako usidanganye watu......kama hutaki kutumia condom kwa sababu zako binafsi pia acha wewe mwenyewe usipotoshe watu.
Hili nalo ni lakujiuliza..mashirika yanayopambana na ukimwi wanasema ngona ya jinsia moja inachangia maambukiz zaid,,afu hawajamaa wanahamasisha ushoga!!!! Akili kumkichwa....
Doh unasikitisha, Marekani amezipiga nchi ngapi hapa duniani na what happens mpaka anazipiga? Kwa nn anahangaikaga kuondoa kiongozi wa nchi fulani wakati haishi huko eg. Sad am Hussein mi hata sielewi umekula maharage ya wapi ww km unaona umechoka humu si unasepa? We mwenyewe unajiita kupe kwani si maana yake ni mbishi hata bila sababu! Mimi siwezi kuanza kuchambuana majina hizo ni dalili za failures
Kama kufikiria kwake tu ni shida, unadhani ataweza kufikiria mengine? Kilaza huyo achana nae
Ndio tujaribu kufikiria, hawa wanatupenda kweli?
Deceptipn..sja elewa vizuri hapo juu umesema ukimwi hau ambukizwi kwa sexual intercorse...ninge penda unfundishe kidogo kuwa virus huyo ana ambkizwa vip...??
..kama kukutwa HIV+ syo deal kwann baada ya miaka.kadhaa hao walio kutwa +ve huanza ku dhofika na mwishoe hufa na kilo 2..!?