Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

watu wanakufa kila siku nyie mnautafuta! yes go on! unacheza kamali ya mwili wako mwenyewe!
 
Sijui, Labda haukuwa tayari kujifunza na badala yake ulikuwa Tayari kubishana.

Binafsi nakubaliana nae sana na mimemwelewa kuliko alivyo tarajia.
#Deception

Mungu akubariki sana na Naamini Utafanikiwa pakubwa sana

Nimesema ivyo kwakuwa hakuna upande uliokuja na hoja ya kupimika na kuaminika kuliko upende mwingine nia sawa na mjadala wa kuwepo au kutokuwepo kwa Mungu..!
 
Amazing ,,, you are so correct.
 
Kuna mtu mmoja anaitwa Charles ROBERTH Gallo huyu ndio mpumbavu mkubwa aliebobea katk mambo ya microbiology husasan Virology ...yan ndie alieunganisha fragment za H5N1 na fragment za Species wa Rx notanius virus ndo akapata single fragment za Virus ambae ana uwezo wa kuundergo dormant with strong and maximum drug resistance ambae reprication yake inakadiliwa kuwa ni X100,000 per minute...alimtengeneza virus huyo under one mission given by illuminant conspirancy kwa ajili ya kumaintain world population hususan black pipo....bada ya kurelesiwa mtaani ilisemakana kwamba aliua watu wengi kwa haraka sana ndo ikabid wamfanyie second genetic engenering kwa kumpunguzia makali ili awe na uwezo qa kuinvade watu under slow replication rate ndo mana leo mtu akipata HIV anaweza kaaa kwa muda mrefu bila dalili zozote but cio kwa kipindi kile miaka ya 80 ulikuwa ukijamiana leo na mtu mwenye nao yan haipiti week moja dalili unanza kuzipata lakin nowadayz itz quit differenc from dat one...hiv sasa wana virologist wanasimamia hayo mambo wanaplan namna nyingine wakae maabara wajarib kufanya.third viral refragmentation under one mission kwa ajili kwa kuengener new HIV virus ambae atakuwa na slow replication at least X 1000 per min ili ainvade large number ya watu kwa muda mrefu bila kuonesha dalili....
 

Hizi zote ni habari za kusadikika mkuu.,!
 
Acha umalaya ndio dawa ya Ukimwi....ule ugonjwa hauna guarantee!
kama ukimwi unatokana na mjamiiano mmoja kat ya mwathirika na asiyeathirika bas umalaya sio kigezo bali tuimizane kinga. kwanini wanandoa ndo walithibitika kuambukizana zaidi? ukimwi unabagua mno cjui kwanini. kuna watu hatupaswi kuwa nao tarehe hii.
 
jaman msaada please imepita miezi sita toka niachane kimapenz na mdada mmoja ambaye alikua mtu wang sabab aliniomba tuachane ili apate wa kumuoa kweli nilifanya hivo Mung si athuman yule bint akapata mchumba baada ya mwez tu kuachana na alikua ananiambia hawajawah sex na mtu wake mpaka ndoa mara kwa mara tulipoachana alikuwa anaenda kupima peke yake analeta majibu . negative cha ajabu mwez huu wameenda kupima na mmewe mtarajiwa kajikuta ni positve mme wake negative na bado hawajasex aliponiambia nilistuka nikambana akasema mara ya 'm wisho kusex amesex na mimi / mwaka ja na October ilibid nikapime haraka mda huo nikakutwa negative nikamletea vipimo vyang NIMESHINDWA NIMSAIDIAJE ila mchumba wake anaimani nae sana wadau nipen hatua za kumsaidia inauma sana
 
jaman msaada please imepita miezi sita toka niachane kimapenz na mdada mmoja ambaye alikua mtu wang sabab aliniomba tuachane ili apate wa kumuoa kweli nilifanya hivo Mung si athuman yule bint akapata mchumba baada ya mwez tu kuachana na alikua ananiambia hawajawah sex na mtu wake mpaka ndoa mara kwa mara tulipoachana alikuwa anaenda kupima peke yake analeta majibu . negative cha ajabu mwez huu wameenda kupima na mmewe mtarajiwa kajikuta ni positve mme wake negative na bado hawajasex aliponiambia nilistuka nikambana akasema mara ya 'm wisho kusex amesex na mimi / mwaka ja na October ilibid nikapime haraka mda huo nikakutwa negative nikamletea vipimo vyang NIMESHINDWA NIMSAIDIAJE ila mchumba wake anaimani nae sana wadau nipen hatua za kumsaidia inauma sana
 

Hii ni moja ya vitu vinavyo ongeza utata wa huu ugonjwa..!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…