Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

Deception kweli binafsi namwombea Mungu amjalie maisha marefu. Nilikua naugua malaria kila baada ya miezi mitatu natumia dawa za Kizungu eg- Cortexin nk. Baada ya kuanza kutumia limao nina mwaka na miezi minne sijaugua malaria. Nina kg 115 lakini nimekua mwepesi sana. Waungwana tusimpuuze Deception ila jaribu kufuata asemacho utaona faida nyingi kiafya. Malimao, Swaumu,Tangawizi, Mlonge, Asali, ni vitu rahisi kupatikana kwanini usijaribu kuvitumia uone faida zake kiafya.? Acha uvivu na kudharau bila kuchukua hatua vinginevyo Wazungu watatumaliza.
 
Deception kweli binafsi namwombea Mungu amjalie maisha marefu. Nilikua naugua malaria kila baada ya miezi mitatu natumia dawa za Kizungu eg- Cortexin nk. Baada ya kuanza kutumia limao nina mwaka na miezi minne sijaugua malaria. Nina kg 115 lakini nimekua mwepesi sana. Waungwana tusimpuuze Deception ila jaribu kufuata asemacho utaona faida nyingi kiafya. Malimao, Swaumu,Tangawizi, Mlonge, Asali, ni vitu rahisi kupatikana kwanini usijaribu kuvitumia uone faida zake kiafya.? Acha uvivu na kudharau bila kuchukua hatua vinginevyo Wazungu watatumaliza.
Una kilo 115 uko mwepesi mbona unasema maneno ya uongo Mkuu.@bushman10 Kiafya uzito wa kilo 115 sio mzuri kabisa wewe utakuwa hukosi kuwa na maradhi ya Presha.
 
ARVs zimetengenezwa kwa makusudi kabisa ziwe addictive,kama yalivyo madawa ya kulevya.Hivyo ukiacha ghafla unakufa,na hii ndio point wanayoitegemea sana kuwaaminisha watu kwamba ARVs zinasaidia na ndio maana ukiacha unakufa.Lakini ukweli ni kwamba hazina msaada wowote ule zaidi kukufanya uwe teja kama watumiaji wengine wa madawa ya kulevya na hivyo ukiacha ghafla unakufa.Kuna utaratibu wake wa kuacha.Wametumia sayansi kubwa sana hapa kurubuni akili zetu.
Mimi nimemuachisha kutumia ARVs ndugu yangu na yuko safi mpaka sasa.Mtu akipinga nitacheka tu kumhurumia kwa maana kupinga kunamkosesha elimu ya karne.



Sikusema ukimwi haupo,nilisema VVU/Ukimwi haupo,yaani ukimwi hausababishwi na VVU na ukimwi ulikuwapo karne nyingi zilizopita na si ugonjwa wa ajabu kihivyo na si hatari kihivyo na unapona kirahisi sana kama utarekebisha kitu kinachosababisha kinga yako kushuka.
Kama ungenifuatilia vizuri,ungeshapata jibu la swali hili.Ni hivi,kuna magonjwa mengi yana dalili kama hizi tulizoambiwa za VVU/Ukimwi feki,mojawapo ya ugonjwa huo ni TB.Baadhi ya dalili za TB ni;
1.Kukohoa sana
2.Kukonda
3.Kupungua uzito
4.Kukosa hamu ya kula
5.Homa za mara kwa mara
6.Kuishiwa nguvu nk.

Kama hizi dalili zinafana na zile za VVU/ukimwi feki tulizoaminishwa,Je,VVU/Ukimwi ni ugonjwa wa aina gani sasa?Akili kichwani.Ukweli huu watu wanajifanya hawaujui.



Wanaosema hivyo ni madaktari au manesi.Hao wameshakaririshwa kwamba bila kutumia hizo dawa lazima ufe na pia wana uzoefu wa kuona watu waliotumia muda mrefu dawa hizo wakaacha wakafa.Hivyo wanaamini kwamba dawa zinasaidia na ndio maana mtu akiacha anakufa,kumbe hawajui mtu anakkufa kwa addiction.

Nilishasema kwamba hutakiwi kuacha ARVs ghafla kwa kuwa watu wengi hawana elimu hii,hivyo wanaweza kuacha ghalfa halafu wakafa.Wakishakufa baada ya kuacha maksi zinakwenda kwa wale waliotuletea ARVs kwamba wako sahihi.Inabidi mtu awe na ujuzi jinsi ya kuacha ndio aache,ARVs zinaachwa kwa utaratibu sio ghafla.Nadhani unajua kwamba hata wale wanaotumia madawa ya kulevya huwa wana vituo vyao wanahudhuria ili kuacha,wakienda huko huwa wanapewa dozi fulani tofauti na madawa hayo mpaka wanakuwa safi kabisa.ARVs nazo zina utaratibu wake.

Kuwa makini hapa:
Wagonjwa wanaopewa dawa za ARVs na zile za Cancer(chemotherapy) mahospitalini huwa wanakufa kwa dawa.Yaani dawa ndizo zinawauwa kabla ya ugonjwa halisi kuwaua.
Mtu ana TB wanampa dawa za TB na ARVs baada ya kumpima.Anapona TB lakini ARVs zinamwua.Mtu ana cancer anapewa dawa za cancer.Dawa zinaua cancer ya zamani na kusababisha cancer mpya ambayo ni hatari kuliko ile ya zamani.Je,ulikuwa unajua hili?Ndio maana pia mara nyingi husema cancer haiponi.

Nikikuchukua wewe mzima kabisa huumwi chochote.Nikikupa dozi wanayopewa wagonjwa wa cancer kwa muda wa miaka mitatu tu,tunaenda kukuzika.Pia nikikuchukua wewe mzima wa afya,huumwi chochote nikakupa ARVs halafu nikakunyima vyakula vya asili,baada ya miaka 5 hadi 10 tunaenda kukuzika.
Nimekuelewa kiasi huyo hiv nn haswa na ametokana nn?? Na watu ambao wanaishi nae huyo virus wafanye nn ili kua best host n lve longer??.,........thanx in advance 4 your advice
 
Nimekuelewa kiasi huyo hiv nn haswa na ametokana nn?? Na watu ambao wanaishi nae huyo virus wafanye nn ili kua best host n lve longer??.,........thanx in advance 4 your advice

Thread hii ina kurasa 68,wewe umeni quote kurasa ya 4....sasa soma post zangu zote zilizobaki,tena usome kwa makini sana,ukimaliza utapata majibu yote.Karibu.
 
Una kilo 115 uko mwepesi mbona unasema maneno ya uongo Mkuu.@bushman10 Kiafya uzito wa kilo 115 sio mzuri kabisa wewe utakuwa hukosi kuwa na maradhi ya Presha.
Sio kila kilo 115 ni obesity mkuu yategemea na urefu wake

Nilitegemea umuulize kwanza urefu wake kabla hujahitimisha
 
Deception kweli binafsi namwombea Mungu amjalie maisha marefu. Nilikua naugua malaria kila baada ya miezi mitatu natumia dawa za Kizungu eg- Cortexin nk. Baada ya kuanza kutumia limao nina mwaka na miezi minne sijaugua malaria. Nina kg 115 lakini nimekua mwepesi sana. Waungwana tusimpuuze Deception ila jaribu kufuata asemacho utaona faida nyingi kiafya. Malimao, Swaumu,Tangawizi, Mlonge, Asali, ni vitu rahisi kupatikana kwanini usijaribu kuvitumia uone faida zake kiafya.? Acha uvivu na kudharau bila kuchukua hatua vinginevyo Wazungu watatumaliza.
Sijamuona siku nyingi sana Deception humu JF
 
Sio kila kilo 115 ni obesity mkuu yategemea na urefu wake

Nilitegemea umuulize kwanza urefu wake kabla hujahitimisha
Kiafya Uzito wa binadamu haswa kwa mwanamme usizidi xaidi ya kilo 80 au awe chini ya hizo kilo ukizidi hapo ni matatizo utakuwa na tumbo, maradhi ya Presha yatakuandama na kila maradhi utaweza kuyapata . Je mtu mwenye kilo 115 na hafanyi mazoezi ya aina yoyote yale Je kweli atakuwa anayo afya nzuri huyo?
 
Kiafya Uzito wa binadamu haswa kwa mwanamme usizidi xaidi ya kilo 80 au awe chini ya hizo kilo ukizidi hapo ni matatizo utakuwa na tumbo, maradhi ya Presha yatakuandama na kila maradhi utaweza kuyapata . Je mtu mwenye kilo 115 na hafanyi mazoezi ya aina yoyote yale Je kweli atakuwa anayo afya nzuri huyo?

Kajifunze maana ya Body Mass Index kwanza halafu ndio uje tuendelee ndugu Mzizi
 
Sipendi kushindana mimi shauri yako. Afya si ya kwako kwani ukiwa na maradhi mimi ndio nitadhurika? Utajibeba shauri yako

Ha ha ha mkuu kubali kuelimika next time wagonjwa wako wafanyie assesment ya uzito kwa kutumia BMI ni kitu kizuri kujifunza kutoka kwa wengine individual weight is not a reliable measure of obesity
 
Wadau,

Nimeisoma kwa umakini mkubwa sana thread ya mdau mmoja aliyekata shauri na kuamua kwenda kupima HIV!

Kiukweli kabisa toka katika uvungu wa moyo wangu nampongeza sana na Mwenyezi Mungu amuokoe huyu ndugu! Lakini kati ya wachangiaji waliosimama kidedea kuchangia thread hii, mchangiaji mmoja nimemnukuu akisema, "hukujua kuwa kupata UKIMWI ni kazi ngumu sana.."

Na kwa bahati mbaya alipoombwa kutoa elimu na uzoefu wake na baadhi ya wadau, hakuonekana tena! Usemi huu umeibua tafakari na tafakuri nyingi katika halmashauri yangu ya kichwa, nikirejea na siku za mgongoni nikiwa darasani mwalimu pia aliwahi kusema maneno sawia na ya mchangiaji wa leo na toka ya hapo, swali hili limetoka katika tawala za kichwa changu kwamba, "Je, inawezekana mtu akalala (siyo kulala huku kwa kawaida, tafsida imezingatiwa) na mtu mwenye UKIMWI tena bila condom na asipate UKIMWI?".

Nisaidieni wadau.

Nawasilisha.

======



!
!
inawezekana kabisa tena bila shida.
 
Nina hizo kilo 115 na pressure na sukari zote ziko normal. Siwezi kudanganya.
 
Ndio mkuu,yaani sikubakisha kitu,documentary zote zinazohusu mambo haya nimezifuatila kwa undani kabisa tena karibu mara sita sita kila moja.Hakuna documentary nilibakisha.Pia scientific papers mbalimbali nimefuatilia na nimefanya tafiti mbalimbali clinic za watu wanaotumia ARVs na nimefuatilia pia watu wanaotumia ARVs walio kwenye hatua za mwisho/yaani wenye hali mbaya zaidi kiafya.
Nikaja kuhitimisha kwamba,sisi tunauawa kwa kukosa maarifa na uelewa,kwa kweli inaniuma sana hadi leo hii baada ya kujua ukweli huu na ninadhani ipo siku walioshikiria biashara hii ya ARVs wataniua kwa kuwaelimisha watu ukweli kwa maana sina hata chembe ya uvumilivu ya kuhifadhi ukweli huu ndani ya ubongo wangu.
Tumedanganywa kuhusu ugonjwa huu kuanzia;
1.Historia yake(ni feki)
2.Hypothesis yake(ni uongo uliopindukia)
3.Vipimo vya HIV(ni feki na very misleading)
4.na Dawa zake za ARVs(hazina faida yoyote na ndio hizi hasa zinazosababisha matatizo halafu tunamsingizia HIV).

Nitembelee Arusha kwenye mahabara ya Molecular nitafute kwenye Email yangu jimjamtz@icloud.com . Wewe utakuwa shuhuda na utaelimisha wengi sana. Ni somo complicated lkn utatafuniwa hadi uelewe, Fanya appointment a week before tukupige orientation mkuu
 
Hivi na michirizi iliyoko kwenye uti wa mgongo na vipelepele vilivyoko kwenye chini ya kichwa cha uume wa mwanaume je nazo ni daliki za muathilika!??
 
Back
Top Bottom