Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

Ndio,ukimwi hauambukizwi kwa sexual intercourse.We umeona/umesikia wapi kwamba upungufu wa kinga huambukizwa?Unawezaje kumwambukiza upungufu wako wa kinga mtu mwingine?

Je,wewe unashindwa kutofautisha kati ya ukimwi na HIV?Je,ni kweli mtu akiwa na ukimwi basi ndio ana HIV?
Hata huyo HIV mwenyewe haambukizwi kwa njia ya ngono.Na hata ukipimwa HIV+ huwezi kupata ukimwi kwa kuwa HIV hana uwezo wa kusababisha ukimwi.



Je,hujui kwamba TB ni mojawapo ya ugonjwa unaweza kukufanya udhoofike na ufe na kilo chache sana?Umeona wapi mtu kafa kwa ukimwi?Kama wewe kweli ni Dr.hebu fanya utafiti wako mwenyewe kwa watu wanaosadikika kuwa HIV+ waliodhoofika halafu wachunguze uone wanakufa kwa magonjwa gani.Ukimwi hauui bali magonjwa yanayoingia mwilini kutokana na upungufu wa kinga wa mtu ndio yanayoua,swali la msingi la kujiuliza hapa ni je,magonjwa gani hayo yanayoua?

Ukifuatilia ni magonjwa gani yanayoua ndio utaelewa nina maana gani.Vinginevyo ulete uthibitisho maalum unaoonesha kwamba AIDS peke yake bila mchango wa ugonjwa unaofahamika ndio inayoua,lete huo uthibitisho kama unao.Mimi nakwambia kwamba AIDS haina uwezo wa kuua bali ugonjwa unaoingia mwilini baada ya kuwa na AIDS ndio unaoua.

Pombe imeandikwa ukinywa nyingi inahatarisha afya yako, inamaanisha kuna sumu. Sasa najiuliza na ule mzigo wa madawa watu wanaopewa inakuwaje?aisee hii taaluma ya utabibu watu hawana huruma kabisa, baada ya kumwambia mtu piga matunda ya kutosha, maji ya kutosha, mboga za majani za kutosha na mformat brain kwamba ukimwi haupo, hivi nani angekufa. Aisee hatari sana
 
Nyie ambao mnawaona wazungu ni Miungu watu, ambao kila kitu wakisema wao basi mnawaona wapo sahihi, kwa kuwa tu ni weupe
OBAMA alikuja apa na kutaka kuhararisha ndoa ya jinsia moja, ili waendelee kutupa misaada, na inavyosemekana kufanya ngono kinyume na maumbile (USHOGA ) ni njia moja wapo rahisi sana kuambukizana virusi vya UKIMWI, na wenyewe wanajua vizuri, iweje wao waje na kuhamasisha ngono ambayo ni hatarishi kwa maambukizi ya UKIMWI? Huoni kama wanataka watumalize zaidi ili tuendelee kuwa wateja wao wa ARV? , mmeshawahi kujiuliza kwa nini wahamasishe mapenzi ya jinsia moja? Ni kwamba wanatupenda sana kuliko Mungu? Mmeshawahi kulifikiria hili kwa jicho pevu? Hamuoni kwamba wapo kibiashara zaidi kama Deception anavyosema?
Eiyer RGforever Napotezea definition amaizing Ruttashobolwa Habari ya Mujini Deception gorgeousmimi @retroviride Hornet Troojan Diva Beyonce renyo tinya kupe nahitaji mawazo yenu kuhusu hili suala.

Idadi kubwa ya waathirika wa UKIMWI ni MASHOGA ( wanaofanya mapenzi ya jinsia moja ), takwimu inasema hvyo,je? KWa nini waje kuhamasisha mchezo ambao ni hatari kwa maambuzi ya UKIMWI? Hawa watu wanatupenda kweli? Hamuoni kuwa wapo kibiashara zaidi ili waendelee kuuza ARV?

Warumi unaonekana una information nyingi lakini bado hazijakaa sawasawa kwako.Sasa nataka nikuwekee sawasawa.Kwanza kabisa wewe unafuatilia sana huu mjadala,lakini una miss baadhi ya vitu vya msingi kwa kuwa unatumia muda mwingi kubishana na watu wasio na nia ya kuelewa na hivyo unatoka nje ya njia.Kwanza ningekushauri kama utagundua mtu fulani amekuja kupinga bila hoja,uachane naye,hii itakusaidia ku focus kwenye mada,vinginevyo hao watu watakupotezea muda na uta miss points za msingi.

Sasa twende kwenye mada;
Kwanza ni vizuri sana kwamba unajua kwamba AIDS ina link sana na ushoga,na hili ndilo lengo lao kubwa sana kusambaza ushoga ulimwenguni.Na ndio maana hata kama ushoga hauwaingii watu akilini lakini watu wanaofahamika kuwa na heshima duniani wanaendelea kuhamasisha jambo hili la kipumbavu,WHY?

Jibu lake hili hapa chini:
Mashoga wana tabia moja tofauti sana na jamii nyingine ya watu.Huwa wanatumia kwa wingi sana recreational drugs kama vile poppers,pia wanatumia antibiotics kwa sehemu kubwa ya maisha yao.Na wanatumia haya madawa si kwa kupenda bali inawalazimu kutokana na hughuli yenyewe wanayoifanya.
Poppers zinawafanya wajiandae kufanya tendo lenyewe bila shida kutokana na nature ya tendo lilivyo,kila siku wanatumia poppers.Pia wanatumia sana antibiotics kwa kuwa hupata magonjwa ya STDs(sio HIV) mara kwa mara.Sasa matumizi ya madawa haya kwa muda mrefu hushusha kwa kiwango kikubwa sana kinga zao za mwili na hivyo kuwafanya kuwa prone na maambukizi ya magonjwa mengine ambayo yapo kiuhalisia.Kama umenifuatilia utagundua kwamba tayari karibu sababu zote zinazoleta upungufu wa kinga zimewagusa kundi hili la mashoga.

Na ndio maana first AIDS cases marekani zilitokea kwa mashoga 5 Los Angeles mwaka 1981.Sasa mashoga wengi sana wana AIDS,kinga zao haziko sawa,lakini ukiwapima utapata wengi sana ambao ni HIV-.Kumbuka hata ukiwapata ambao ni HIV+ bado ni tricks za vipimo tu,kwa kuwa AIDS ya mashoga inaletwa na sababu nilizotaja hapo juu.Pia kumpima shoga HIV+ ni rahisi sana kutokana na chemicals ambazo zina challenge kinga zao hivyo huweza ku trigger vipimo vitoe majibu ya HIV+ kutokana na sayansi ya vipimo.

Hivyo basi,hata hapa kwetu ukifanya utafiti utagundua mashoga wote kuna madawa fulani wanayatumia ili kurahisisha tendo wanalolifanya.Siwezi kusema kwa namna gani hapa hayo madawa huwasaidia kwa kuwa maneno yenyewe hayavutii kuyasikia.

Huo ndio uhalisia kwa kifupi, ni kwa vipi mashoga wanahusishwa na HIV/AIDS.
 
Nyie ambao mnawaona wazungu ni Miungu watu, ambao kila kitu wakisema wao basi mnawaona wapo sahihi, kwa kuwa tu ni weupe
OBAMA alikuja apa na kutaka kuhararisha ndoa ya jinsia moja, ili waendelee kutupa misaada, na inavyosemekana kufanya ngono kinyume na maumbile (USHOGA ) ni njia moja wapo rahisi sana kuambukizana virusi vya UKIMWI, na wenyewe wanajua vizuri, iweje wao waje na kuhamasisha ngono ambayo ni hatarishi kwa maambukizi ya UKIMWI? Huoni kama wanataka watumalize zaidi ili tuendelee kuwa wateja wao wa ARV? , mmeshawahi kujiuliza kwa nini wahamasishe mapenzi ya jinsia moja? Ni kwamba wanatupenda sana kuliko Mungu? Mmeshawahi kulifikiria hili kwa jicho pevu? Hamuoni kwamba wapo kibiashara zaidi kama Deception anavyosema?
Eiyer RGforever Napotezea definition amaizing Ruttashobolwa Habari ya Mujini Deception gorgeousmimi @retroviride Hornet Troojan Diva Beyonce renyo tinya kupe nahitaji mawazo yenu kuhusu hili suala.

Idadi kubwa ya waathirika wa UKIMWI ni MASHOGA ( wanaofanya mapenzi ya jinsia moja ), takwimu inasema hvyo,je? KWa nini waje kuhamasisha mchezo ambao ni hatari kwa maambuzi ya UKIMWI? Hawa watu wanatupenda kweli? Hamuoni kuwa wapo kibiashara zaidi ili waendelee kuuza ARV?
Inafahamika kuwa mashoga ndio watumiaji wa madawa haya ya kulevya kwa wingi sanana kule Marekani walikuwa wanatumia mambo mengi sana ambayo ndio yaliyofanya kuonekana HIV+ na hili ni fact kabisa

Mashoga wa hapa kwetu nao ni hivyo kwa sehemu,wengi ni waathirika wa stress na mdongo wa mawazo na mengine ya kufanana na hayo kitu ambacho kinashusha kinga zao na kusababisha kuonekana wana maradhi hayo wakati fulani tena kwa idadi kubwa sana

Hawa wanaofanya hii biashara ya ARVs ndio hao hao wanaopigia promo ukimwi,ni binadami wa hovyo sana hawa ....!!
 
Pombe imeandikwa ukinywa nyingi inahatarisha afya yako, inamaanisha kuna sumu. Sasa najiuliza na ule mzigo wa madawa watu wanaopewa inakuwaje?aisee hii taaluma ya utabibu watu hawana huruma kabisa, baada ya kumwambia mtu piga matunda ya kutosha, maji ya kutosha, mboga za majani za kutosha na mformat brain kwamba ukimwi haupo, hivi nani angekufa. Aisee hatari sana

Unajua mkuu,si kwamba madaktari kwa mfano hawa wa kwetu hawana huruma,sababu ni kwamba hawajui ukweli.Ila ninachowalaumu mimi ni kwamba,hata wale wanaosikia mambo haya hawataki na hawana nia ya kuhoji kabisa,hili ndilo tatizo.

Pia madaktari hawawezi kutoa ushauri kama huo uliosema wewe kwa kuwa hawajafundishwa hivyo darasani.Madaktari ni zao la pharmaceutical Industries hivyo hufuata protocols za pharmaceutical industries,hawawezi kwenda nje ya hapo kwa kuwa aidha watafungiwa leseni zao au watafunguliwa mashtaka au yote mawili kwa pamoja kama watafanya kinyume na kiapo chao.

Kwa kweli hili ni tatizo kubwa sana na njia pekee rahisi kulitatua ni kujikwamua wewe mwenyewe kiuelewa.Ukishajua ukweli wewe mwenyewe utakuwa responsible na afya yako na watu wako wa karibu,basi.
 
Buhaahahahahaha Unakurupuka sana ndo tatizo aliyekuwa android kakupatia, uliza kilichomkuta Thabo Mbeki baada ya mdahalo km huu! Wala kumbe hujasoma previous notes ndo maana unarukaruka alimradi kubisha this message was intended for Kupe

Mkuu sijaruka mahali, huyo kupe simuelewi ndo maana nimemuhoji baadhi ya vitu, ni hayo tu. Deception niko nae sambamba toka mwanzo wa Uzi huu., vinginevyo tuko pamoja.
 
Last edited by a moderator:
Ndio,ukimwi hauambukizwi kwa sexual intercourse.We umeona/umesikia wapi kwamba upungufu wa kinga huambukizwa?Unawezaje kumwambukiza upungufu wako wa kinga mtu mwingine?

Je,wewe unashindwa kutofautisha kati ya ukimwi na HIV?Je,ni kweli mtu akiwa na ukimwi basi ndio ana HIV?
Hata huyo HIV mwenyewe haambukizwi kwa njia ya ngono.Na hata ukipimwa HIV+ huwezi kupata ukimwi kwa kuwa HIV hana uwezo wa kusababisha ukimwi.



Je,hujui kwamba TB ni mojawapo ya ugonjwa unaweza kukufanya udhoofike na ufe na kilo chache sana?Umeona wapi mtu kafa kwa ukimwi?Kama wewe kweli ni Dr.hebu fanya utafiti wako mwenyewe kwa watu wanaosadikika kuwa HIV+ waliodhoofika halafu wachunguze uone wanakufa kwa magonjwa gani.Ukimwi hauui bali magonjwa yanayoingia mwilini kutokana na upungufu wa kinga wa mtu ndio yanayoua,swali la msingi la kujiuliza hapa ni je,magonjwa gani hayo yanayoua?

Ukifuatilia ni magonjwa gani yanayoua ndio utaelewa nina maana gani.Vinginevyo ulete uthibitisho maalum unaoonesha kwamba AIDS peke yake bila mchango wa ugonjwa unaofahamika ndio inayoua,lete huo uthibitisho kama unao.Mimi nakwambia kwamba AIDS haina uwezo wa kuua bali ugonjwa unaoingia mwilini baada ya kuwa na AIDS ndio unaoua.

ilo liko wazi na linajulikanika kuwa HIV huwa haileti vifo bali huwa inaleta upungufu wa kinga mwili kwajl yaku shambulia kinga za mwili....na ndipo magonjwa nymelezi huibuka hapo...hii ni kwasababu magonjwa hayo au pathogen wake wapo mwlini kila siku ila.awawez fanya mashambulz kwakuwa kinga yako iko vzr...je unajua Candidias albcus(fungi), Bacilus,proteus,enterobacteriae na wengi na kila mtu anao mwlini ila huibuka kama magonjwa iwapo kinga yako itakuwa imeshuka...?? sasa sielewi unasema vp kuwa wao ndo wana sababisha upngufu wa kinga mwlini...!!? kama ni ivyo dunia mzma tungekuwa na huo upngfu
 
ilo liko wazi na linajulikanika kuwa HIV huwa haileti vifo bali huwa inaleta upungufu wa kinga mwili kwajl yaku shambulia kinga za mwili....na ndipo magonjwa nymelezi huibuka hapo...hii ni kwasababu magonjwa hayo au pathogen wake wapo mwlini kila siku ila.awawez fanya mashambulz kwakuwa kinga yako iko vzr...je unajua Candidias albcus(fungi), Bacilus,proteus,enterobacteriae na wengi na kila mtu anao mwlini ila huibuka kama magonjwa iwapo kinga yako itakuwa imeshuka...?? sasa sielewi unasema vp kuwa wao ndo wana sababisha upngufu wa kinga mwlini...!!? kama ni ivyo dunia mzma tungekuwa na huo upngfu

Mimi nimesema HIV hana uwezo wa kusababisha ukimwi na hawezi kusababisha ukimwi,halafu nikataja mambo mengi tofauti ambayo ndio sababu halisi zinazoleta upungufu wa kinga mwilini,mojawapo ni repeated infections.Sasa wewe hujanielewa nilichoandika.

Hoja yangu kubwa ni kwamba ukimwi hausababishwi na HIV kama mafundisho rasmi yanavyosema bali ukimwi unasababishwa na mambo mengine tofauti na HIV ambayo nilishayataja mwanzo.

Hivyo nisingependa kurudia kujadili kwa nini HIV hasababishi ukimwi kwa kuwa nilishajadili suala hili kwa kulitolea scientific proofs/paper,mifano halisi mtaani na mahospitalini,mifano ya ushuhuda humuhumu JF iliyoletwa na watu wengine, na uthibitisho kutoka kwa mgunduzi mwenyewe wa HIV.Mjadala huu umefikia hapa page zote hizi kwa sababu ya kuwajibu madaktari wenzako ambao walinipinga kwa kusema kwamba HIV anasababisha ukimwi kitu ambacho si kweli na tumedanganywa.

Ukijiweka huru kudadisi utanielewa tu.Ni sawasawa na leo nikakwambia kwamba Global Warming haisababishwi na hewa ya ukaa tofauti na ulivyofundishwa ulipokuwa shuleni,ni vigumu sana kuamini lakini ukijiweka huru na kufuatilia utajua tu.Ni sawasawa pia nikikwambia kwamba kisukari,autoimmunity na cancer zote,zote,vinatibika kirahisi sana tofauti na ulivyofundishwa darasani,ni vigumu sana kuamini,lakini ukijiweka huru na kufuatilia utajua tu.Hebu jiweke huru na ufuatilie hili la HIV/AIDS.

Fact:HIV hasababishi ukimwi.(nina vithibitisho)
Fact:ARVs zinasababisha ukimwi kwa wale wanaozitumia.(nina vithibitisho)

Kama umepitwa na maelezo yangu mengine,unaweza kurudi nyuma na kusoma baadhi ya reply zangu.
 
HIV/AIDS ni feki katika kila nyanja.Watu waliotunga uongo huu wa karne walitumia akili ya juu sana kukwepesha sheria za kisayansi na kutumia ujanja wa kisayansi na sayansi ya jamii ili kupenyeza uongo huu kwa jamii kwa manufaa ya biashara zao za madawa.Uongo huu umejikita katika nyanja kuu 4,nazo ni;
1.Historia ya HIV/AIDS
2.HIV/AIDS hypothesis
3.Vipimo vya HIV
4.Madawa ya HIV/AIDS(ARVs)

AIDS/Ukimwi=Upungufu wa kinga mwilini.Tatizo hili si geni,lilikuwapo karne nyingi zilizopita na watu hawakulichukulia kama ni tatizo kubwa.Mtu anapokuwa na ukimwi mwili wake ni rahisi kuingiliwa na magonjwa mbalimbali kama vile malaria,TB,Pneumonia,cancer nk.Hivyo watu walikuwa wanatibu magonjwa husika na maisha yanaendelea kama kawaida.

Ukimwi hauui bali ugonjwa unaoingia mwilini kutokana na upungufu wa kinga ndio unaoua.Watu wengi wamejisahau sana kwa kukariri kwamba ukimwi unaua kiasi cha kufikia kuwa na kasumba isiyoweza kubadilika kirahisi na kuelewa tofauti na jinsi wanavyojua kwamba ukimwi unaua,kinachoua ni ugonjwa unaoingia mwilini kama vile Malaria,TB,Cancer,Pneumonia nk baada ya mtu kuwa na upungufu wa kinga.Hakuna mtu hata mmoja duniani aliyekufa kwa sababu ya upungufu wa kinga.Upungufu wa kinga ni hali tu ya kushuka kwa kinga ambayo inasababishwa na mambo mengi sana ambayo nitayataja baadaye.

Hivyo basi,kusema mtu amekufa kwa ukimwi ni sawa na kusema “timu ya Yanga imepoteza ushindi kwa sababu mabeki wake wawili wamepewa kadi nyekundu”,kusema hivi si sahihi.Inatakiwa useme “timu ya Yanga imepoteza ushindi kwa sababu imefungwa kutokana na kupoteza mabeki wawili kwa kadi nyekundu”.Hii ni kwa sababu ili yanga ipoteze ushindi lazima ifungwe,si sahihi kusema “ili yanga ipoteze ushindi lazima ipoteze mabeki wawili kwa kadi nyekundu”,hii ni kwa sababu Yanga inaweza kupoteza mabeki wawili na bado si sababu ya kufungwa/kupoteza ushindi,ila kupoteza mabeki wawili kwa kadi nyekundu kunaweza kuifanya Yanga ifungwe na hivyo kupelekea kupoteza ushindi.Hivi ndivyo ukimwi ulivyo.Nadhani nemeeleweka.Sasa ili yanga ipoteze mabeki wake kwa kadi nyekundu inabidi mabeki wake wacheze rafu uwanjani.Na vivyo hivyo ukimwi,ili mtu apate ukimwi inabidi awe na utaratibu mbovu wa maisha kama vile;
I/. Ulaji mbovu wa chakula.Kutozingatia lishe bora kama vile kula matunda halisi,mboga za majani zisizoiva sana,dona,ulezi,mtama,maboga,kunywa maji safi na salama,kuepuka ulaji wa nyama nyekundu mara kwa mara,kuepuka vyakula vilivyosindikwa viwandani,kuepuka unywaji wa vinywaji vyenye sukari nyingi kama vile soda,juisi za viwandani nk.
II/. Utumiaji wa mara kwa mara wa madawa ya hospitali kama vile diclofenac,antibiotics,chemotherapy na mionzi kwa wagonjwa wa cancer,ARVs,madawa ya uzazi wa mpango nk.
III/. Utumiaji wa madawa ya kulevya.
IV/. Utumiaji wa madawa ya kufanikisha na kuleta hamu ya kufanya tendo la ndoa mara kwa mara kama vile poppers,Viagra nk.
V/. Unywaji wa pombe kali na zisizo na viwango kupindukia.
VI/. Kutozingatia usafi wa mazingira na kusababisha mlipuko na maambukizi ya magonjwa mara kwa mara.
VII/. Msongo wa mawazo kwa muda mrefu.
Nk.

1.Historia ya HIV/AIDS.
Hapa sitazungumzia sana.Historia ya HIV/AIDS ni feki kwa sababu kuna maelezo tofauti ambayo yote ni ya kufikirika na hayana mashiko kwa sababu yote yameegemea kwenye HIV kama ndiye chanzo cha tatizo ilihali si kweli.HIV hana uwezo wa kusababisha ukimwi na haambukizwi kwa njia ya ngono.Kuna watu wanasema HIV/AIDS imeanzia kwa mashoga huko Marekani,wengine husema imeanzia kwa nyani/sokwe wa misitu ya Congo na wengine wanasema imetokana na chanjo ya polio Afrika.Hizi zote ni hisia na zimeegemea kwenye kitu cha kufikirika(HIV) ambacho hakiwezi kuasababisha ukimwi.

Watu walijidanganya kwa kusema kwamba HIV/AIDS ilianzia kwa mashoga kwa kuwa sababu iliyosababisha AIDS kwa mashoga ni tofauti kabisa na HIV,madawa waliyokuwa wakitumia mashoga ndio sababu halisi na ya kweli iliyowasababishia AIDS.

Pia kuhusu HIV/AIDS kuanzia kwa nyani/sokwe au chanjo ya polio,hii si kweli kabisa,lengo lao hapa ni kusambaza uvumi kwamba HIV ni kijidudu cha kutengenezwa ambacho kimesambazwa kwa makusudi ili kudhuru watu ili kutimiza malengo ya waliosambaza.Walioeneza uvumi huu walitaka watu waamini kwamba kweli kuna kirusi cha aina hiyo kinachoitwa HIV na kinasababisha AIDS.Ukweli ni kwamba,hakuna kirusi HALISIA na wala CHA KUTENGENEZWA chenye uwezo wa kusababisha AIDS/Ukimwi kinachoitwa HIV,Ila RETROVIRUS wapo, lakini hawana uwezo wa kusababisha Ukimwi.

2.HIV/AIDS Hypothesis.
HIV anasemekana kusababisha AIDS kwa sababu kuu 1 ambayo ni kuua T-cells.Wagunduzi wa HIV wote wawili hawana uthibitisho wa kisayansi kuonesha kwamba HIV anau T cells,na hawawezi kuelezea pia ni kwa njia gani HIV anaua T cells.Robert Gallo ametangazwa kuwa mgunduzi wa HIV mwaka 1984 kwenye press conference na Margareth Heckler kwa kusema kwamba “The ‘probable’ cause of AIDS has been found” bila hata ya uthibitisho mmoja wa kisayansi ambao umechapishwa mahali popote ili wanasayansi wengine kama yeye na waliomzidi yeye waujadili.Na mpaka leo hii tunavyozungumza,hakuna uthibitisho wa kisayansi unaothibitisha kwamba HIV anasababisha ukimwi kwa kuua T cells,hakuna.

Mgunduzi mwingine aliyefanya kazi pamoja na Robert Gallo ambaye anashiriki hatimiliki ya ugunduzi wa HIV na Robert Gallo,Luc Montaigner, yeye mwenyewe anakiri kwamba hawawezi kuelezea ni kwa vipi HIV anaua T cells,kwa maana hiyo hawajui.Pia Luc Montaigner anaendelea kuthibitisha kwamba hata kama kweli HIV ataingia kwenye mwili wa mtu,anaweza kuondolewa na kinga ya mwili kama kinga itakuwa vyema/imara.Luc Montaigner ndio mgunduzi halisi ambaye data zake ziliibwa na Robert Gallo na kumfanya R.Gallo awe wa kwanza kutangazwa ndiye mgunduzi.Lakini hicho walichokigundua pia ni cha kufikirika na si kweli kwamba walikiona,ili ujue ukweli huu inabidi uingie kwa undani kidogo.Pia mwanasayansi nguli anayepinga kuhusu HIV/AIDS hypothesis Prof.Peter Duesberg anasema kwamba HIV hawezi kusababisha ukimwi na haambukizwi kwa njia ya ngono,na anaendelea kusema kwamba HIV huondolewa na kinga ya mwili mara baada ya kuonekana na kinga ya mwili.

Nadhani mnajionea wenyewe jinsi mgunduzi wa HIV Prof.Luc Montaigner na Prof.Peter Duesberg anayepinga HIV/AIDS hypothesis walivyoenda sawa kuhusu HIV kuweza kuondolewa na kinga ya mwili tofauti na vile tulivyodanganywa huko nyuma kwamba HIV akiingia mwilini hatoki maisha yako yote.Kwa maana hii basi,mtu huna haja ya kutumia ARVs zenye sumu hata kama umepimwa HIV+ kwa kuwa ukiijenga kinga yako kwa kufanya mambo tajwa hapo juu utakuwa umemwondoa HIV mwilini.Najua pamoja na ukweli na uthibitisho nitakaouweka humu bado baadhi ya watu wataendelea kung’ang’ania kasumba hii.Kilichofanya HIV/AIDS iwe maarufu na watu waiogope ni matangazo ya muda mrefu kwenye vyombo vya habari yaliyoendana na kuonesha video za kutisha.Marekani ni nchi yenye uwezo mkubwa wa kutengeneza propaganda kuliko ule wa kipindi cha Adolf Hitler.

Hakuna uthibitisho kwamba HIV anaua T cells.Pia HIV huondolewa na kinga ya mwili bila kutumia dawa yoyote:

Link- Prof.Peter Duesberg: https://www.youtube.com/watch?v=xJXIbZxNLho

Link-Prof.Luc Montaigner: https://www.youtube.com/watch?v=PyPq-waF-h4

Link-Mgunduzi wa kipimo cha HIV(PCR),Prof.Kary Mullis hakubaliani kwamba HIV anasababisha AIDS:
https://www.youtube.com/watch?v=IifgAvXU3ts


3.Vipimo vya HIV.
Vipimo vya HIV ni moja ya sehemu muhimu katika uongo huu wa karne.Hapa sitazungumza sana,bali nitaweka video mjielimishe wenyewe.Lakini jambo moja ambalo ni muhimu watu kulifahau ni kwamba,vipimo vya HIV havipimi mwonekano wa HIV mwenyewe bali hupima kinga ya mwili dhidi ya aina fulani za protini ambazo husemekana zinatoka kwa HIV ‘lakini sio maalum kwa HIV’.Ina maana protini hizi huweza kutolewa na hali mbalimbali mwilini kama vile magonjwa kama TB,malaria nk na hali ya mimba.Hivyo basi,mtu kuwa HIV+ haimaanishi kwamba una HIV,na hata kama utakuwa na HIV hutapata AIDS kwa kuwa HIV hana uwezo wa kusababisha AIDS.Kutokana na ukweli huu kumbe kwenda kupima HIV ni ulimbukeni tu.Kutokana na ukweli huu,ndio maana mtu leo anapima HIV+ halafu baada ya muda anapima HIV- na utaratibu huu unaendelea hivyo hivyo kutegemea na utaratibu wa maisha anayoishi mtu huyo na idadi ya vipimo atakavyofanya.Kama mtu haamini na afanye utafiti na aweke lengo la kupima kama mara 10 hivi maeneo mbalimbali,atakachokiona ndio kitamfanya aelewe mimi nina maana gani.
Birth of heresy: https://www.youtube.com/watch?v=Q-iccGpFto8

4.Madawa ya HIV(ARVs).
ARVs zinasemakana kurefusha maisha kwa watu wenye HIV wanaozitumia kutokana na tabia yake ya kufubaza virusi na kuvifanya visiongezeke.Hii si kweli na kuna tafiti nyingi zimeshafanyika kuthibitisha hili.Kwa kifupi ni kwamba ARVs ndio zinazosababisha vifo kwa wale wanaozitumia,ARVs zinaleta matatizo mengi sana kwa wale wanaozitumia kutokana na side effects zake.Inabidi watu wafahamu kwamba,side effects za ARVs hazipo kwa bahati mbaya bali zilipangwa ziwepo,na hii ni kwa sababu,HIV hana uwezo wa kushusha kinga ya mwili hivyo inabidi badala yake ARVs zitengenezwe ziwe hivyo ili mwisho wa siku mtu atakapokufa watu waendelee kuamini kwamba HIV anaua na hana tiba.Kumbe ARVs ndizo zinazoua.Kuna tafiti mbalimbali zimefanyika kwa kuchukua wagonjwa waliopimwa HIV+ na kuwatenga makundi mawili,kundi moja lilipewa ARVs lakini lingine halikupewa,baada ya muda mrefu lile kundi wanalotumia ARVs likaanza kupata side effects tofauti kulingana na mgonjwa lakini wale ambao walikuwa hawatumii ARVs waliendelea kuwa na afya njema.

Kwa kifupi hata ukimchukua mtu ambaye ni HIV- na ni mzima wa afya halafu ukampa ARVs baada ya muda Fulani ataanza kupata side effects ambazo kama utaendelea kumpa ARVs na hutamtibia hizo side effects hatachukua muda atakufa.ARVs ni sawa na dawa za cancer mahospitalini,ukimpa dawa za cancer(chemotherapy) mtu mwenye afya ambaye haumwi chochote,baada ya muda Fulani Yule mtu atapata cancer.Hivyo basi,ARVs zinasababisha ukimwi kama dawa za cancer(chemotherapy) zinavyosababisha cancer.Matatizo ambayo tumeambiwa kwamba yanasababishwa na HIV si kweli kwamba yanasababishwa na HIV na badala yake yanasababishwa na ARVs kwa wale wanaozitumia.

Hata kama utasikia au kumwona mtu amekufa kwa dalili kama zile ambazo umeambiwa ni za HIV/AIDS halafu mtu huyo hatumii ARVs jambo hili lisikutishe,hii ni kwasababu kuna magonjwa mengi yenye dalili sawa kabisa na zile ulizoambiwa wewe kwamba ni za HIV/AIDS.Magonjwa yenye dalili hizi yalikuwapo karne nyingi zilizopita lakini kutokana na ulimbukeni tunayaona ni ya ajabu na tunamsingizia HIV kwamba yeye ndiye anayesababisha.Fuatilia vizuri sana dalili za ugonjwa wa TB na Cancer utaona kwamba dalili zake kwa asilimia kubwa hufanana na zile tulizoambiwa ni za HIV/AIDS.Ulimbukeni huu ndio umetufanya tujisahau na kushindwa kujua kwamba Ukimwi hauna dalili zinazoonekana kwa nje,bali magonjwa yanayoingia baada ya mtu kuwa na ukimwi ndiyo yana dalili zinazoonekana kwa nje,na magonjwa haya yote si mageni,yalikuwapo karne nyingi zilizopita.Hivyo kusema kwamba ukimwi una daily Fulani ni ulimbukeni wa kifikra unaotokana na kukaririshwa na matangazo ya muda mrefu kutoka kwenye vyombo vya habari yaliyoambatana na video za kutisha.

Mtu anapotumia ARVs kwa muda mrefu anakuwa hatarini kupata madhara yafuatayo:

I/. Matatizo ya moyo

II/. Matatizo ya ini

III/. Matatizo ya figo

IV/. Cancer/Saratani

V/. Anaemia/Upungufu wa damu

VI/. Kisukari

VII/. Stroke/kupooza

Mara nyingi na karibu mara zote haya ndio matatizo yanayosababisha vifo kwa wale wanaotumia ARVs.Matatizo yote haya hayawezi kusababishwa na HIV,huitaji kufika chuo kikuu ili ufahamu kwamba matatizo haya hayawezi kusababishwa na HIV.Kama mtu haamini basi afanye utafiti wake mwenyewe kwa wale wanaotumia ARVs ambao hali zao ni taabani,atajua tu.Nilisema kwamba hata kama mtu hatumii ARVs halafu anaumwa sana na amedhoofika, bado sio kisingizio kwamba HIV ndiye amesababishwa kama watu wengi wanavyofikiri,kama utamfuatilia mtu kama huyu kwa ukaribu lazima utagundua tatizo lake halisi linalomsumbua na utajua limesababishwa na nini,hivyo basi kila kitu kinaelezeka,hakuna kitu chochote chenye utata kwa wale wanaopinga HIV/AIDS kwa kuwa wao wanatumia sayansi ya kweli hivyo hakuna mtu anayeweza kuwashinda kwa hoja,na hii ni kwasababu wanachosema ni ukweli mtupu wenye mashiko.SI SAHIHI kusema kwamba HIV=AIDS.Bali NI SAHIHI kusema kwamba ARVs=AIDS.

HIV anasemekana kusababisha magonjwa zaidi ya 30 kama yupo mwilini lakini kama hayupo mwilini basi sababu za magonjwa hayo zinahusika zenyewe.Ugonjwa huu unabadilishwa tafsiri kila kukicha.Siku hizi ukiwa na ugonjwa wowote unaofahamika mfano TB halafu umepimwa HIV+ watasema una ukimwi lakini kama una ugonjwa huo lakini ni HIV- watasema una TB na si ukimwi,utaratibu huu unaendelea vivyo hivyo kwa magonjwa mengine.Magonjwa haya yote yalikuwapo hata kabla ya huyo HIV hajatangazwa na yalikuwa yanaua na yanaendelea kuua hadi sasa,hivyo hakuna kitu kigeni kwenye ugonjwa huu,cha msingi watu inabidi waelewe ukweli halisi ni upi ili watu wenyewe wawe walinzi wa afya zao na za watu wao wa karibu.Haiwezekani mtu akae Marekani halafu akupende wewe uliye Tanzania/Afrika wakati hata hakujui,na kama angekuwa ana upendo sana je, angekulazimisha uukubali ushoga?na kama pia angekuwa na upendo sana je, angeua watu wasio na hatia kwenye vita mbalimbali duniani kama vile Iraq,Afghanistan,Syria,Libya,Vietnam,Panama,Equador,Venezuela nk?Inabidi watu wafahamu kwamba hawa watu hawapo ili kutupenda sisi, bali wanajali biashara zao na si wewe,wewe ni nani kwao hata wakupende?

Kuna reply yangu moja nilielezea jinsi ARVs zinavyoweza kusababisha upungufu kwenye kinga ya mtu.Maelezo niliyotoa ni haya hapa chini:

“Hebu tuchukue mfano wa ARVs mojawapo inayoitwa Tenofovir Disoproxil Fumarate(TDF) ambayo inatumika na wagonjwa wengi wa AIDS.
Dawa hii kwenye warning zake inasema "It can cause serious, life-threatening side effects. These include lactic acidosis and severe liver problems."
Kiwango salama cha acid/alkali kwenye damu(yaani pH) ni 7.365,maana yake damu inatakiwa iwe slightly alkaline ili kinga ya mwili iweze kufanya kazi yake vizuri.Chini ya kiwango hicho ni majanga matupu,utakuwa na magonjwa yasiyohesabika na yasiyoisha mpaka unakufa.
Sasa kama acid itajijenga kwenye damu yako,maana yake pH ya damu yako itashuka na kuwa chini ya 7.365.ARVs na specifically hii TDF ndivyo inavyofanya kwenye damu za wale wanaoitumia.TDF inaongeza kiwango cha acid kwenye damu.Acid ni sumu kwenye damu,acid inapokuwa nyingi INI haliwezi kufanya kazi yake inavyotakiwa na ndio maana kwenye dawa hizo, severe liver problems imetajwa kama mojawapo ya effects.
Pia najua unajua ya kwamba kama damu ina acid nyingi,hewa ya oxygen inapungua sana hivyo seli za damu zinakosa oxygen ya kutosha kufanya kazi yake,najua unajua nini kinatokea kama seli za damu zitakosa oxygen.Hata wewe mwenye ukikosa oxygen unajua kitakutokea nini.

Sasa kutokana na ukweli huo,Je,ARVs hazisababishi mapungufu kwenye kinga?Na kutokana na effects hizo ndio maana magonjwa mengi sana huzaliwa kwa wale ambao wametumia ARVs muda mrefu.Baadhi ya magonjwa hayo ni kama vile;
-Cancer:Ukimpima mgonjwa yeyote wa cancer lazima utakuta damu yake ni acidic(yaani pH yake ni chini ya 7.365)
-Ini
-Figo
-Anaemia
-Heart disease
nk.

Fanya uchunguzi kwa wagonjwa wote waliolazwa mahospitalini ambao wanatumia ARVs,lazima utawakuta na moja/mawili/matatu.... kati ya magonjwa niliyotaja hapo juu.
Kuhusu cancer,usifikiri kama zile NGO za mambo ya HIV/AIDS zilivyoanzisha kitengo maalumu kwa ajili ya cervical cancer kwa wanawake ilikuwa ni coincidence.Hiyo cancer inasababishwa na ARVs,fanya uchunguzi wewe mwenyewe kama una muda.
Hivyo basi,nataka nikwambie kwamba ARVs zinasababisha AIDS,hii sio speculation,its real.”

ARVs side effects: https://www.youtube.com/watch?v=GokUme9x07E

ARVs side effects: https://aidsinfo.nih.gov/drugs/290/tenofovir-disoproxil-fumarate/0/patient -Hii website hutumiwa na CDC kutoa taarifa mbalimbali,hivyo kilichowekwa humu kimetoka kwao wenyewe wanaofanya biashara ya ARVs.


Attachment:scientific paper:HIV/AIDS acquired by Drug Consumption and other non contagious risk factors.
 

Attachments

Asante Deception, kama hautajali tell us about yourself bila kureveal your ID. I sm impressed by the research you have done and your investing on sharing what you know with us. Umetoa muda, nguvu na pesa za kutosha kwa ajili ya hii, umevumilia matusi kejeli na majina yote ya duniani; why? What do you have to gain? Nina amini sio mimi peke yangu nina maswali hayo
 
Last edited by a moderator:
Daah, aisee nashkuru sana DECEPTION,

kupitia elimu yako humu, nimewaelimisha watu wote kwenye familia, na hata marafiki wa karibu. Na nashkuru Mungu, wamenielewa na imewashangaza wengi..
 
Kama Hautojli, tunaomba utuelezee mengi zaidi., kama, kutibu cancer
, kisukari,
kutengeneza diesel kwa kutumia Bangi,
ukweli kuhusu glabalization na mambo ya joto duniani..

TUTASHKURU SANA ENDAPO UTATUSAIDIA, NADHANI NIMEWAWAKILISHA WENGI KWENYE HILI. ahsante
 
Back
Top Bottom