1.Sio kuget ride ni get rid of.
Muulize mgunduzi halisi wa 'HIV' profesa Luc Montagnier,huyu mgunduzi ndio mungu wenu,na yeye ni mojawapo wa ma profesa waliosema hivyo.Sasa kwa kuwa yeye naye anakubali kwamba 'HIV' anaweza kuondoshwa na kinga ya mwili bila kutumia dawa yoyote,basi nafikiri huyu ndiye mtu pekee kwennu ninyi madaktari kumwamini,maana ndio mungu wenu,akisema chochote mnakiamini.Sasa muulize yeye akuelezee mechanism yake.
Akishakujibu swali lako,muulize pia Anthony Faucci swali hilo hilo,maana Faucci ndio anayewatengenezea slogan za HIV/AIDS zile mnazozitumia kila kukicha,yeye ndiye anayesimamia kuanzishwa kwa definition mpya za HIV/AIDS pale ambapo definition za zamani zinapokosa mashiko na uhalisia,yeye ndiye anayesimamia sheria mpya kwenye HIV/AIDS kama zile za kupima baada ya miezi 3,kupima vituo 3 tofauti,kuwa na comfirmatory test za HIV,kubadili vigezo vya kuanza dawa kutoka chini ya CD4 200 hadi chini ya CD4 500,kubadili cocktail za ARVs na kuwapima kwa lazima kina mama wajawazito eti wasije kuambukiza watoto zao kwa kutoanza ARVs mapema.
Ukishapata jibu la Faucci,muulize Robert Gallo swali hilohilo,maana yeye ndiye mungu wenu mwingine ambaye ndiye aliyetangazwa rasmi na Heckler 1984 kwamba ndiye ANAYEMILIKI HIV,huyu atakupa jibu hadi wewe mwenyewe utafurahi.
Kama utapata nafasi pia unaweza kumuuliza George W.Bush,ukishindwa kumpata Bush,muulize Thabo Mbeki atakueleza Bush anasemaje kuhusu hii dhana.Kama Mbeki hutampata muulize Yoweri Museveni,maana museveni anajua hii dhana vizuri na sio mwoga kuelezea jambo kwa uwazi kama walivyo marais wengine.
Ukishindwa kupata jibu kwa wote hao,basi endelea na kile unachokijua kwamba HIV/AIDS ni ugonjwa hatari,unaua,hauna tiba,unaambukizwa kwa njia ya ngono na ARVs ndio dawa iliyogundulika ya kurefusha maisha.
2.Kuhusu ARVs kusababisha AIDS,nilishatoa link ya website ya CDC(Center for Infectious Disease Control ya USA) humuhumu inayoelezea madhara ya ARVs,nilishatoa pia scientific papers humuhumu kuthibitisha hilo,mtaani na mahospitalini pia kuna uthibitisho wa kutosha wa kuona kwa macho madhara hayo husika.Je,wewe kweli hulijui hili?Kama hujui basi anza kufuatilia haya niyasemayo na acha kukumbatia na kutetea dhana hii ovu bila hata wewe kujijua,usiwe mgumu wa kubadilika.Jishushe hutaaibika,ni katika kujifunza mambo mapya ambayo hujayazoea na kamwe hutafundishwa mambo haya darasani.