Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

ARVs zimetengenezwa kwa makusudi kabisa ziwe addictive,kama yalivyo madawa ya kulevya.Hivyo ukiacha ghafla unakufa,na hii ndio point wanayoitegemea sana kuwaaminisha watu kwamba ARVs zinasaidia na ndio maana ukiacha unakufa.Lakini ukweli ni kwamba hazina msaada wowote ule zaidi kukufanya uwe teja kama watumiaji wengine wa madawa ya kulevya na hivyo ukiacha ghafla unakufa.Kuna utaratibu wake wa kuacha.Wametumia sayansi kubwa sana hapa kurubuni akili zetu.
Mimi nimemuachisha kutumia ARVs ndugu yangu na yuko safi mpaka sasa.Mtu akipinga nitacheka tu kumhurumia kwa maana kupinga kunamkosesha elimu ya karne.



Sikusema ukimwi haupo,nilisema VVU/Ukimwi haupo,yaani ukimwi hausababishwi na VVU na ukimwi ulikuwapo karne nyingi zilizopita na si ugonjwa wa ajabu kihivyo na si hatari kihivyo na unapona kirahisi sana kama utarekebisha kitu kinachosababisha kinga yako kushuka.
Kama ungenifuatilia vizuri,ungeshapata jibu la swali hili.Ni hivi,kuna magonjwa mengi yana dalili kama hizi tulizoambiwa za VVU/Ukimwi feki,mojawapo ya ugonjwa huo ni TB.Baadhi ya dalili za TB ni;
1.Kukohoa sana
2.Kukonda
3.Kupungua uzito
4.Kukosa hamu ya kula
5.Homa za mara kwa mara
6.Kuishiwa nguvu nk.

Kama hizi dalili zinafana na zile za VVU/ukimwi feki tulizoaminishwa,Je,VVU/Ukimwi ni ugonjwa wa aina gani sasa?Akili kichwani.Ukweli huu watu wanajifanya hawaujui.



Wanaosema hivyo ni madaktari au manesi.Hao wameshakaririshwa kwamba bila kutumia hizo dawa lazima ufe na pia wana uzoefu wa kuona watu waliotumia muda mrefu dawa hizo wakaacha wakafa.Hivyo wanaamini kwamba dawa zinasaidia na ndio maana mtu akiacha anakufa,kumbe hawajui mtu anakkufa kwa addiction.

Nilishasema kwamba hutakiwi kuacha ARVs ghafla kwa kuwa watu wengi hawana elimu hii,hivyo wanaweza kuacha ghalfa halafu wakafa.Wakishakufa baada ya kuacha maksi zinakwenda kwa wale waliotuletea ARVs kwamba wako sahihi.Inabidi mtu awe na ujuzi jinsi ya kuacha ndio aache,ARVs zinaachwa kwa utaratibu sio ghafla.Nadhani unajua kwamba hata wale wanaotumia madawa ya kulevya huwa wana vituo vyao wanahudhuria ili kuacha,wakienda huko huwa wanapewa dozi fulani tofauti na madawa hayo mpaka wanakuwa safi kabisa.ARVs nazo zina utaratibu wake.

Kuwa makini hapa:
Wagonjwa wanaopewa dawa za ARVs na zile za Cancer(chemotherapy) mahospitalini huwa wanakufa kwa dawa.Yaani dawa ndizo zinawauwa kabla ya ugonjwa halisi kuwaua.
Mtu ana TB wanampa dawa za TB na ARVs baada ya kumpima.Anapona TB lakini ARVs zinamwua.Mtu ana cancer anapewa dawa za cancer.Dawa zinaua cancer ya zamani na kusababisha cancer mpya ambayo ni hatari kuliko ile ya zamani.Je,ulikuwa unajua hili?Ndio maana pia mara nyingi husema cancer haiponi.

Nikikuchukua wewe mzima kabisa huumwi chochote.Nikikupa dozi wanayopewa wagonjwa wa cancer kwa muda wa miaka mitatu tu,tunaenda kukuzika.Pia nikikuchukua wewe mzima wa afya,huumwi chochote nikakupa ARVs halafu nikakunyima vyakula vya asili,baada ya miaka 5 hadi 10 tunaenda kukuzika.
Mkuu, wewe ni mtu hatari sana.
 
Ndio, inawezekana ulale na mtu mwenye ukimwi na usiupate!
Mimi nina ushuhuda wa shemeji yangu alishakuwa na uhusiano na dada mmoja hivi na walidumu kwa mda wa miaka 3 bila kujua kama m/mke ameathirika baada ya kuamua kwenda kupima mdda akaja mpa majibu men kuwa nina maambukizi ila tunapswa kwenda wote kupima wakaenda na jamaa akaonekana hana maambukizi kabisa. Na kilichomsaidia n kumuandaa mwanamke wakati wa kuduu kwamba anahakikisha anakuwa amelowa kabisa ndipo hukutana nae,so it's possible having sex with a person who is Positive na ukawa safe,ila kikubwa n maandalizi hata mwanaume awe na uume mnene vio ukimuandaa mke vyema huwa haisumbui.
 
Ingekuwa kupata ukimwi ni rahisi kama unavyodhani wewe hiki kizazi kingeshajifuta zamani kabisa.
Ni kazi tena ni kazi haswaa si kidogo kupata ukimwi.Ukiwa na akili timamu nasema ni kazi mno.Ni magonjwa ya zinaa tu ndiyo rahisi kuyapata si ukimwi.
Uwe umetahiri,uwe msafi,usipende porn sex,uwe na maandalizi mema ya sex,ujiepushe na laugh sex,usiwe na magonjwa ya ngozi na vidonda ovyo mwilini utaambukizwaje kiurahisi.
Usafi ni kinga kuu ya magonjwa.Wanawake maumbile ndiyo yanayowaponza sana.Kwa mwanaume kuambukizwa ni kazi sana ila akiambukizwa hadumu hufa haraka na kinyume chake kwa wanawake.
 
Wana jamii nimepima na hayo ndiyo majibu, je hiki kipimo hakiongopi? Na kinaonyesha kuwa umeathirika baada ya muda gani tangu uambukizwe? Maana mi nimepima baada ya kukaa cku 100 bila kufanya tendo
Yako wap
 
Virus vinaishi kwenye damu. Watu wamejaribu kupambanua njia tofauti tofauti za maambukzi. Ila njia ni moja tu. Kukiwa na muingiliano wa damu kati ya muathirika na asiye athirika.

Kwa wanawake ni rahisi sana kuambukizwa kutokana na jinsi maumbile yao yalivyo. Katika uke wa mwanamke kuna chembe chembe nyeupe za damu nyingi hususni wa kati wa tendo husika. Na tunajua HIV huwa vinaishi ndani ya WBC.

Ishu za manii ama orgasm fluids zinapotoka huwa hazina uhalisia wa moja kwa moja wa kuwa na VVU
 
Inawezekana ila subiri miezi mitatu ukapime.dawa ni kuwa na mpenzi mmoja tu mwaminifu ukishibdwa tumia tatu Bomba.
 
HIV/AIDS au VVU/UKIMWI hauambukizwi kwa njia ya ngono/sex na HIV hasababishi ukimwi.Jitahidini kidogo ku stretch uwezo wenu,elimu ipo lakini mnairuka kwa makusudi.

HIV/AIDS is a mindset disease.Sijui kama nitaeleweka kwa kusema hivi.Yaani ugonjwa huu haupo kiuhalisia,kinachoua si HIV bali kinachoua ni ARVs kwa wale wanaozitumia.Hata kama mtu hatumii ARVs na amedhoofika wewe mpime tu utagundua kwamba lazima awe na ugonjwa fulani unaofahamika,aidha TB,Pneumonia,Cancer nk.

Watu wanadhani mimi nimekurupuka kwa siku moja tu na kuja kuandika yote haya,la hasha nimefuatilia na kufanya tafiti ya mambo haya kwa zaidi ya miaka 5.Watu wanachukulia kirahisi sana,hawagundui hata kwa nini mimi ninawaeleza haya,hawagundui hata kidogo upendo huu ninaouonesha kwao.

sasa mkuu nijuze jinsi ya kuacha ARVs
 
Ndio inawezekana haswaaa , iwapo tu huyo mwenye ukimwi akatumia kinga , nimejibu swali?
 
Acheni kudanganya watu nyie wengine.
Ukimwi upo na Virus wa HIV wapo na wanamadhara kwa binadamu.
Msiache kuifuata elimu inayotolewa juu ya ugonjwa wa Ukimwi.
Iwe diri au isiwe diri ugonjwa uko palepale na unaambukiza kama mnavyoelezwa na unaua na hauna kinga wala tiba hadi sasa.

Ukimwi upo na unaua, Jilinde kila wakati na maambukizi ya Ukimwi.
 
Back
Top Bottom