Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

Acheni kudanganya watu nyie wengine.
Ukimwi upo na Virus wa HIV wapo na wanamadhara kwa binadamu.
Msiache kuifuata elimu inayotolewa juu ya ugonjwa wa Ukimwi.
Iwe diri au isiwe diri ugonjwa uko palepale na unaambukiza kama mnavyoelezwa na unaua na hauna kinga wala tiba hadi sasa.

Ukimwi upo na unaua, Jilinde kila wakati na maambukizi ya Ukimwi.
Kwani nani kasema ukimwi haupo, ukimwi upo tangu enzi za wakina yesu, sasa nakushangaa wewe unakuja kutuambia ukimwi upo,sio issue.


Issue ni hakuna HIV, kama una ushahidi wa HIV weka hapa tuone.
 
Kwani nani kasema ukimwi haupo, ukimwi upo tangu enzi za wakina yesu, sasa nakushangaa wewe unakuja kutuambia ukimwi upo,sio issue.


Issue ni hakuna HIV, kama una ushahidi wa HIV weka hapa tuone.
Unajua maana ya HIV uliyoiandika ?
Hebu ufafanue kwa kirefu tuione maana yake.
 
Unajua maana ya HIV uliyoiandika ?
Hebu ufafanue kwa kirefu tuione maana yake.
Nani kakwambia maana ya HIV inajulikana kwa kuandikiwa kirefu cha HIV yaani Human immunodeficiency virus ,


Haya nimekuwekea maana ya HIV kwa kadri ya matakwa yako, sasa niambie ni kivipi HIV inapelekea AIDS,
 
Nani kakwambia maana ya HIV inajulikana kwa kuandikiwa kirefu cha HIV yaani Human immunodeficiency virus ,


Haya nimekuwekea maana ya HIV kwa kadri ya matakwa yako, sasa niambie ni kivipi HIV inapelekea AIDS,
Umeuliza tena swali la pili.
Awali umesema hakuna HIV.
Hapa umethibitisha kuwa HIV ni aina mojawapo ya Virus, yaani Human Immunedificiency
Virus. Hapa umemaanisha HIV yupo ni aina ya Virus.
Umeuliza tena anasababishaje AIDS.
Nikujibu na hili swali lako lingine, huyo Virus ambaye anajulikana kama Lentivirus ndiye anayesababisha Aids, yaani Acquired Immune Deficiency Syndrome ambayo umesema ilikuwepo tangu enzi za mitume.
Ukiona mtu anakufa kwa ugonjwa akiwa bado kijana ujue kinga yake ya mwili imeshindwa kuhimili mashambulizi ya adui ambaye mojawapo ni huyo Lentivirus, wa HIV.
Hivyo basi HIV yupo na AIDS ipo bila kujali ni wakati gani.
Cha msingi ni kuwaelimisha watu kujikinga na huyo HIV ili wasije kupata AIDS.
Na sio kutangaza ujuzi wa kubishana.
 
mkuu ..nafuatilia huu mjadala ambao sikiwahi kujua kama upo ...nakuhakikishia nitasoma "" kurasa zote bila kuacha hata kurasa moja...lakini nataka nikupe heshima yko aisee...shikamoo ..shikamooo..shikamooo .@deception
 
Umeuliza tena swali la pili.
Awali umesema hakuna HIV.
Hapa umethibitisha kuwa HIV ni aina mojawapo ya Virus, yaani Human Immunedificiency
Virus. Hapa umemaanisha HIV yupo ni aina ya Virus.
Umeuliza tena anasababishaje AIDS.
Nikujibu na hili swali lako lingine, huyo Virus ambaye anajulikana kama Lentivirus ndiye anayesababisha Aids, yaani Acquired Immune Deficiency Syndrome ambayo umesema ilikuwepo tangu enzi za mitume.
Ukiona mtu anakufa kwa ugonjwa akiwa bado kijana ujue kinga yake ya mwili imeshindwa kuhimili mashambulizi ya adui ambaye mojawapo ni huyo Lentivirus, wa HIV.
Hivyo basi HIV yupo na AIDS ipo bila kujali ni wakati gani.
Cha msingi ni kuwaelimisha watu kujikinga na huyo HIV ili wasije kupata AIDS.
Na sio kutangaza ujuzi wa kubishana.
Sijui kama umeelewa nilichoandika,
 
Umejiunga leo JF na leoleo umeanza kukurupuka kuchangia mada nzito nzito.Nakushauri uanze na ndogondogo kwanza ili ukuze kipaji.
Kuza kipaji kwa kuanza na kusoma mwenzako kaandika nini,hoji,uliza maswali halafu ukikomaa ndio uanze kuchangia,umesikia eenh!!
haaa hahaA hakujui huyo eehh ???
 
Sijui kama umeelewa nilichoandika,
mkuu mimi naomba unisaidie kujibu hili swali...kama UKIMWI sio sababu ya kirusi cha HIV..kina chopelekea mtu aliyetembea na mtu ambaye nimuathirika wa ukimwi kuweza kupata ama kurithi huo ugonjwa ninini ?
 
Nzowa,
Umenifanya nikimbilie maliwato haraka kujicheki. Hivi uume mdogo ukoje na uume mkubwa mpaka unasababisha michubuko ukoje?
Back to the point.

Si kila kumlala mwanamke mwenye ukimwi kunaleta maambukizi hayo. Ninawajua watu flani sasa ni marehem, waliacha wake zao na hakuna hata mmoja mwenye hiyo kitu. Hapo nasema kwa ukakamavu kabisa. Cha kushangaza mmoja alizaa na mama kati ya hao vitoto vimekwisha tangulia lakini hawaa wawili ni wazima.

Haya; Si kila mwanamke atalala na mwenye ukimwi aupate pia. Mbona hawa wamama hawana? Ukimwi ni adhabu flani hivi. Siye tunapiga kavu kavu nyingi tu bado hata dalili hakuna. Huna haja ya kilainishi, mwandae vizuri, usilogwe ukaenda nje ya mipaka yaani kinyume na maumbile. Huko hata umwandaeje, hakuna kilainishi chochote kule ila tangi bovu tu kule.

Mkitaka sikieni hamtaki endeleeni hata ukivaa kondom 2, ni bure. Miye ka ni mipira hiyo sivai naacha naenda kulala
Kama ukimwi ni adhabu,ni wakina nani wanastahili hiyo adhabu?
 
Kama ukimwi ni adhabu,ni wakina nani wanastahili hiyo adhabu?

Wale wanaoyatumia aumbile yao visivyo na kwa sababu zisizo. Unatumia midoli badala ya watu, unatumia njia isiyo na watu wasio wa jinsi hiyo pia. Hilo ni chukizo mbele za Muumba wako hivyo unastahili adhabu kali sana
 
mkuu mimi naomba unisaidie kujibu hili swali...kama UKIMWI sio sababu ya kirusi cha HIV..kina chopelekea mtu aliyetembea na mtu ambaye nimuathirika wa ukimwi kuweza kupata ama kurithi huo ugonjwa ninini ?
Daudi 1990

Jibu Swali hili.
Magonjwa yasiyosababishwa na Bacteria au Virus kama Cancer hayaambukizi.
Ni Vipi mtu aambukizwe Ukimwi na aliyeayethirika na Ukimwi ?

Deception,
unaweza kutusaidia hapa.
 
HIV ni retrovirus.Retrovirus huyu amebambikiziwa jina hili la HIV ili aonekane ana sifa za kusababisha AIDS kitu ambacho si kweli.HIV is a political and commercial/business name,watu wawili tu wamekaa na kuamua apewe jina hilo bila hata single scientific proof/paper published kuthibitisha ukweli huo.Hakuna ugonjwa unaoitwa AIDS unaosababishwa na HIV.Najua hili ni jambo geni kwa wengi,ila ndio ukweli.

Nakaribisha mtu yeyote mwenye mashaka au anayepinga hili na hasa madaktari ndio target yangu maana wao wamelishwa sumu hii wakiwa masomoni.HIV free generation ni ile tu inayojua ukweli ulivyo.

Na ndio maana contradictions haziishi kuhusu ugonjwa huu feki.Karibuni kwenye mjadala ambao utakuondoa kwenye utumwa wa kifikra.
Mh!! Unaweza kutoa ufafanuzi kidogo
 
Wakuu,mada hii ni pana mno,kuiandaa na kuiweka yote hapa hata kwa summary bado ni kubwa mno kwa kuwa inajumuisha mambo mengi sana,na ndio maana huwa natumia njia hii ya kutoa dokezo halafu watu huuliza maswali ambayo wanadhani yana utata nami huyajibu.
Nikiweka mada yote huku kama inavyotakiwa wana JF kwa jinsi ninavyowafahamu,hawataisoma yote na badala yake watakimbilia kupinga kwanza,utake usitake,hivyo ndivyo wana JF wengi walivyo,hii ni mojawapo ya tabia inayonivunja moyo sana,na ndio maana najitahidi kunusuru muda wangu pia.Nilitoa vidokezo 4 kusema kwamba ugonjwa huu ni feki katika nyanja hizo,hivyo mtu ambaye ana swali kwenye kidokezo chochote kati ya hivyo anaweza kuniuliza nami nitamjibu na kumpatia evidence pale anapohitaji ingawa najua pia hata nikitoa evidence bado watu hawataamini kwa kuwa tumepumbazwa akili zetu na taarifa hizi za uongo kwa muda mrefu sasa mpaka imefikia wakati tunaona ni kweli.Uongo ukiurudia rudia mara kwa mara mwishowe watu watauona ni ukweli(ukweli wa uongo).

VIDOKEZO;
1.Historia ya HIV/AIDS ni feki
2.Hypothesis ya HIV/AIDS ni feki
3.Vipimo vya HIV/AIDS ni feki
4.Dawa zinazotumika za HIV/AIDS yaani ARVs ni feki pia.

Karibuni kwenye elimu ya bure,ni muda wako tu.
Hivyo vidokezo vyote vinne unaweza kutuambia ufeki wake ukoje
 
Mimi nina ushuhuda wa shemeji yangu alishakuwa na uhusiano na dada mmoja hivi na walidumu kwa mda wa miaka 3 bila kujua kama m/mke ameathirika baada ya kuamua kwenda kupima mdda akaja mpa majibu men kuwa nina maambukizi ila tunapswa kwenda wote kupima wakaenda na jamaa akaonekana hana maambukizi kabisa. Na kilichomsaidia n kumuandaa mwanamke wakati wa kuduu kwamba anahakikisha anakuwa amelowa kabisa ndipo hukutana nae,so it's possible having sex with a person who is Positive na ukawa safe,ila kikubwa n maandalizi hata mwanaume awe na uume mnene vio ukimuandaa mke vyema huwa haisumbui.
Duuu wale wanaopiga deki pia wako kwenye kundi hili la kuwa salama ??
 
Back
Top Bottom