Je, inawezekana wanaume kujiuza kwa wanawake?

Je, inawezekana wanaume kujiuza kwa wanawake?

anti-negative energy

Senior Member
Joined
Apr 13, 2019
Posts
114
Reaction score
71
Jamani wanajamvi hebu tukusanyike leo tiudiscuss hii mada kwa pamoja, ni kwa muda mrefu sana tumekua na mazoea kwamba ni wanawake tu ndo wanajiuza, mi huwa nashindwa kuelewa kitu kimoja, kwani hii inakuaje na wakati wote tuna pata raha, yani iweje wote tupate raha alafu mwisho wa siku mm ndo nikupe hele

Je, vipi kama game ikibadilika, yani masela full mahandsome boys kuingia pale uanja wa fisi na kuvimba vimba. Kama wao wanavotuonesha makalio na sie tunawaonesha mambo yetu yakiumeni
 
Jamani wanajamvi hebu tukusanyike leo tiudiscuss hii mada kwa pamoja, ni kwa muda mrefu sana tumekua na mazoea kwamba ni wanawake tu ndo wanajiuza, mi huwa nashindwa kuelewa kitu kimoja, kwani hii inakuaje na wakati wote tuna pata raha, yani iweje wote tupate raha alafu mwisho wa siku mm ndo nikupe hele

Je, vipi kama game ikibadilika, yani masela full mahandsome boys kuingia pale uanja wa fisi na kuvimba vimba. Kama wao wanavotuonesha makalio na sie tunawaonesha mambo yetu yakiumeni

Kwa hiyo na nyie mnaona gele kugongwa sasa, mwanzoni hao masela full mahndsome wapewe hela mwishoni watagongwa na wenzao Funza amekwambia kama SA. Raha amewezi pata sawa kila mtu anayo nafasi yake sasa wewe unataka nafasi za wenzio shauri lako msije rusha ngumi tu.
 
Hivi umepata wapi hayo mawazo mzee ? Yani umewaza kabisa Mwanaume ategeshe Aje anunuliwe kama Mwanamke akatoe raha apewe chake ?
 
Wanaume wanaoiiuza wapo labda kwa Tz ndio Hakuna tembea hii dunia utaona mengi. Ukiwa na pesa vyote vyawezekana.
 
wanaume wa dar bana, ndo hawa mwanzo wa mikosi.

unatafuta support ya kuanzisha hyo kitu mkuu na "wajinga waliwao" utawapata.

nenda ukafanye kazi. usiwaze mteremko, utazibuliwa mtaro huko ukija nunuliwa na mwanaume mwenzio.
 
Mbona male prostitution wapo wengi tu
Amsterdam wamejaa sana
Dunia hii Ina mambo mengi sana


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Jamani wanajamvi hebu tukusanyike leo tiudiscuss hii mada kwa pamoja, ni kwa muda mrefu sana tumekua na mazoea kwamba ni wanawake tu ndo wanajiuza, mi huwa nashindwa kuelewa kitu kimoja, kwani hii inakuaje na wakati wote tuna pata raha, yani iweje wote tupate raha alafu mwisho wa siku mm ndo nikupe hele

Je, vipi kama game ikibadilika, yani masela full mahandsome boys kuingia pale uanja wa fisi na kuvimba vimba. Kama wao wanavotuonesha makalio na sie tunawaonesha mambo yetu yakiumeni
Mwaka fulani baada ya maisha kutupiga tukiwa Amsterdam tulikuwa tunajiuza Lakini bahati mbaya hawakuwa wale shape Bomba zaidi ya malonya lonya.
Typically za makundi maalum hususani walemavu, wazee wale wa
Vituo maalum.
Ilikuwa ina lipa japo yahitaji moyo kungonoka na bibi wa miaka 78
Angalau kuna vichaa walikuwa wapo hott
 
Wanaosema kwa wenzetu mnakosea sana mbona marioo kibao tuu kwani hata lile sakata la yule Niva na Mbutananga limeisha maana alienda nae guest house akamwonyesha mguu wa kuku eti akidhani ndio atapendwa matokeo yake ndio kumwongezea woga yule dada......


Wanaume wengi siku hizi wanavaa track kuonyesha maumbile yao ni aibu sana siku hizi kumekuwa hakuna hata stara tena..
 
Zanzibar kwenye Beach Kiwengwa na kwingineko wapo wengi tuu wanaitwa Beach Boy! Vibibi vya kizungu kibao vinalipia muhogo wa Janghombe
 
Duh, mwanangu nilikua sijui, kumbe jamii forum ina fundisha mengi, bila kujiunga huku nisingejua mkuu
Mwaka fulani baada ya maisha kutupiga tukiwa Amsterdam tulikuwa tunajiuza Lakini bahati mbaya hawakuwa wale shape Bomba zaidi ya malonya lonya.
Typically za makundi maalum hususani walemavu, wazee wale wa
Vituo maalum.
Ilikuwa ina lipa japo yahitaji moyo kungonoka na bibi wa miaka 78
Angalau kuna vichaa walikuwa wapo hott

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom