anti-negative energy
Senior Member
- Apr 13, 2019
- 114
- 71
Jamani wanajamvi hebu tukusanyike leo tiudiscuss hii mada kwa pamoja, ni kwa muda mrefu sana tumekua na mazoea kwamba ni wanawake tu ndo wanajiuza, mi huwa nashindwa kuelewa kitu kimoja, kwani hii inakuaje na wakati wote tuna pata raha, yani iweje wote tupate raha alafu mwisho wa siku mm ndo nikupe hele
Je, vipi kama game ikibadilika, yani masela full mahandsome boys kuingia pale uanja wa fisi na kuvimba vimba. Kama wao wanavotuonesha makalio na sie tunawaonesha mambo yetu yakiumeni
Mwaka fulani baada ya maisha kutupiga tukiwa Amsterdam tulikuwa tunajiuza Lakini bahati mbaya hawakuwa wale shape Bomba zaidi ya malonya lonya.Jamani wanajamvi hebu tukusanyike leo tiudiscuss hii mada kwa pamoja, ni kwa muda mrefu sana tumekua na mazoea kwamba ni wanawake tu ndo wanajiuza, mi huwa nashindwa kuelewa kitu kimoja, kwani hii inakuaje na wakati wote tuna pata raha, yani iweje wote tupate raha alafu mwisho wa siku mm ndo nikupe hele
Je, vipi kama game ikibadilika, yani masela full mahandsome boys kuingia pale uanja wa fisi na kuvimba vimba. Kama wao wanavotuonesha makalio na sie tunawaonesha mambo yetu yakiumeni
wanaume wa dar bana, ndo hawa mwanzo wa mikosi.
unatafuta support ya kuanzisha hyo kitu mkuu na "wajinga waliwao" utawapata.
nenda ukafanye kazi. usiwaze mteremko, utazibuliwa mtaro huko ukija nunuliwa na mwanaume mwenzio.
Mwaka fulani baada ya maisha kutupiga tukiwa Amsterdam tulikuwa tunajiuza Lakini bahati mbaya hawakuwa wale shape Bomba zaidi ya malonya lonya.
Typically za makundi maalum hususani walemavu, wazee wale wa
Vituo maalum.
Ilikuwa ina lipa japo yahitaji moyo kungonoka na bibi wa miaka 78
Angalau kuna vichaa walikuwa wapo hott