jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 36,197
- 29,717
Watanzania tunalo swali letu muhimu la kuhoji maana Serikali inaweza singiziwa kupokea misaada ya trilions ilihali misaada hiyo ilienda kwa NGOs zinazoongozwa na walami.
Yaani fedha zinaenda kwa NGOs na zinaishia kuwalipa ma TX kutoka Ulaya halafu kinachofuata ni masimango.
Yaani fedha zinaenda kwa NGOs na zinaishia kuwalipa ma TX kutoka Ulaya halafu kinachofuata ni masimango.