swamy
JF-Expert Member
- Aug 25, 2012
- 252
- 144
Mjinga mwenyewe...[emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109]Kwahiyo pesa za Corona zilienda kwa NGO?Mbona mnakuwa wajinga?Unajua maana ya NGO?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mjinga mwenyewe...[emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109]Kwahiyo pesa za Corona zilienda kwa NGO?Mbona mnakuwa wajinga?Unajua maana ya NGO?
Imekuuma kama umeambiwa wewe!Mjinga mwenyewe...[emoji109][emoji109][emoji109][emoji109][emoji109]
Kilaza mkubwa. Kumbe fedha za Covid mmelamba!!ni mada ya Great thinkers tu
Hawa jamaa si mpaka waipake serikali matope ndio wafurahie ni aina ya Sadist people tulionao wanajifanya wametoboka ubongo.
Uchaguzi ulishaisha jipangeni 2025.
[/QU
Huwezi chafua choo kinachotoa harufu.
Diplomasia gani unataka kijana ya kusifiwa kisha unashikwa makalio alafu unalala njaa?Natamani JK awape elimu ya diplomasia.Sina hakika kishindo cha kijinga kilihitajika.
Hapo amejiona bonge la mzalendo kukujibu hivyo.Imekuuma kama umeambiwa wewe!
Diplomasia gani unataka kijana ya kusifiwa kisha unashikwa makalio alafu unalala njaa?
Kwa sasa tunataka diplomasia ya uchumi hatutaki za kuchekeana kisha unabaki mtupu
Kikwete aliwazungukia kila siku lakini wanachi tulikua tunalialia kila siku, na wengine mkawa mna andamana kila siku nabkutaka kumtoa kikwete madarakani,
Sasahiyo diplomasia mbina hukulidhika nayo kipindi hicho?
Fanyeni kazi mchangie kwenye uchumi wa nchi yenu na sibkuzoea misaada yenye dharau.
Punguza hasira endelea kunisoma utaelewaWe zuzu wa Lumumba kwanza hicho kichwa Cha habari Ni swali au sentensi ya kawaida mbona hamna alama ya kuuliza au nukta . Yaani mada zenu Lumumba zinawaonyesha mlivyo weupe kichwani . Sasa Kama hujui hela huwa zinaenda wapi? Mbona huwa mnajidai wajuaji Sana humu kumbe ma tabulalasa empty head .
Sisi ni looserHata sisi tunaweza kupiga ban
Ukapimwe hiyo akili yakoHawa jamaa si mpaka waipake serikali matope ndio wafurahie ni aina ya Sadist people tulionao wanajifanya wametoboka ubongo.
Uchaguzi ulishaisha jipangeni 2025.
Serikali haitengi bajeti yeyote kwa idara ya ustawi wa jamii. Unajua hivyo??? Nani anatoa pesa kuwahudumia watto waishio na kufanya kazi mitaani???? We kweli jinga laoWatanzania tunalo swali letu muhimu la kuhoji maana Serikali inaweza singiziwa kupokea misaada ya trilions ilihali misaada hiyo ilienda kwa NGOs zinazoongozwa na walami.
Yaani fedha zinaenda kwa NGOs na zinaishia kuwalipa ma TX kutoka Ulaya halafu kinachofuata ni masimango.
Huwezi na hutaweza. Ukikataa condo ukatae na chanjo za UNICEF kwa wattoTuanze kuikataa misaada ya condoms