Kuna mada hapa?Tuliza kichwa mzee...mada zangu usizikurupukie
Hao walifungua mdomo tuu, wakaambiwa wanawashwawashwa.Natamani JK awape elimu ya diplomasia.Sina hakika kishindo cha kijinga kilihitajika.
Hata sisi great thinkers hatukuelewini mada ya Great thinkers tu
Atoe elimu vipi huku huyo J.k ndio alifanya makosa,kwani hakujua magu hajuwi mambo ya demokrasia.Natamani JK awape elimu ya diplomasia.Sina hakika kishindo cha kijinga kilihitajika.
Huwa inaenda kwenye ile ngo yenu pendwa isiyo hojiwa wala kujari uwepo wa sheria hats katiba.Watanzania tunalo swali letu muhimu la kuhoji maana Serikali inaweza singiziwa kupokea misaada ya trilions ilihali misaada hiyo ilienda kwa NGOs zinazoongozwa na walami.yaani fedha zinaenda kwa NGOs na zinaishia kuwalipa ma TX kutika Ulaya...halafu kinachofuata ni masimango.
msubirie Polepole kesho armtatoa majibu kwa waandishi wa habari pale LumumbaNGO na pesa ya EU wapi na wapi comrade??
Mtataja mahali mmepeleka hizo pesa mataga mkubwa wewe.
We zuzu wa Lumumba kwanza hicho kichwa Cha habari Ni swali au sentensi ya kawaida mbona hamna alama ya kuuliza au nukta . Yaani mada zenu Lumumba zinawaonyesha mlivyo weupe kichwani . Sasa Kama hujui hela huwa zinaenda wapi? Mbona huwa mnajidai wajuaji Sana humu kumbe ma tabulalasa empty head .Watanzania tunalo swali letu muhimu la kuhoji maana Serikali inaweza singiziwa kupokea misaada ya trilions ilihali misaada hiyo ilienda kwa NGOs zinazoongozwa na walami.yaani fedha zinaenda kwa NGOs na zinaishia kuwalipa ma TX kutika Ulaya...halafu kinachofuata ni masimango.