Je ingekuwa kweli dunia ingekuwaje? Tafakari

Je ingekuwa kweli dunia ingekuwaje? Tafakari

Tanzania tungeogopwa kwenye jeshi la nchi kavu.
 
Wanaolima na kuuza bananas wangekiona cha moto.. This photo has been rounding in JF with new headlines everyday..
 
funny-picture-9979524588.jpg




Why is that cat looking at me?
 
Je ingekuwa kweli dunia ingekuwaje? Tafakari





Je hayawani huyu kweli angepata bunduki angelipiza kisasi kwa wanaomuweka kwenye orodha ya viumbe walio kwenye hatari ya kutoweka? Je angeitumia kihayawani kama binadamu au kibinadamu kama hayawani? Je angeitumia kibinadamu japo hayawani? Je yawezekana siku moja hayawani akawa na uwezo na akili ya kumudu zana hii? Je ingekuwa kweli dunia ingekuwaje?
 
Mmh, nahisi angekuwa na busara kuliko binadamu
 
Je hayawani huyu kweli angepata bunduki angelipiza kisasi kwa wanaomuweka kwenye orodha ya viumbe walio kwenye hatari ya kutoweka? Je angeitumia kihayawani kama binadamu au kibinadamu kama hayawani? Je angeitumia kibinadamu japo hayawani? Je yawezekana siku moja hayawani akawa na uwezo na akili ya kumudu zana hii? Je ingekuwa kweli dunia ingekuwaje?

Umeandika kiswahili ngumu saana hapana elewa wewe, HAYAWANI ni nini?
 
Back
Top Bottom