Loeb S Mpalasinge
JF-Expert Member
- Dec 1, 2013
- 1,585
- 1,546
Sijapinga nimeuliza tu..Sasa we si unapinga ndo maana nikakuuliza nani kazijenga kwa mtazamo wako
HuelewekiJe wewe unaamini ni mtu mmoja mwenye MWILI,,NAFSI NA ROHO?? KWAMBA MWILI WAKO UNAWEZA KUWEKWA PEMBENI NA NAFSI YAKO IKAWEKWA PEMBENI NA ROHO YAKO IKAWEKWA PEMBENI?? Unaamini inawezekana.??
Namna yako ya kuuliza inaonyesha unataka kupinga ndo maana nikakuuliza wewe unaonajeSijapinga nimeuliza tu..
Ina maana huwajui AL LATA,,AL UZA NA AL MANATA?? HUJAWAHI KUWASOMA POPOTE??Hakuna aliyesema Allah ana mabinti
Sio kwamba sijawahi kuwasoma ila sijawahi kuona fundisho lolote la kiislamu linalosema hao ni mabinti wa AllahIna maana huwajui AL LATA,,AL UZA NA AL MANATA?? HUJAWAHI KUWASOMA POPOTE??
Nilitaka kujaribu kukupa ilim taratibu maana najua hutoweza kuelewa kirahisi,,,maana ni topic za madaraja TOFAUTI.Juu nimeshakubali kwamba YESU NI MUNGU Sasa kinachoendelea ni wewe ujue kwamba ukitaka kujua mfano WA huu uungu unayo wewe mwenyewe maalim...KWAMBA wewe ni watu watatu walio umoja..Na wote Nia na makusudi yenu watatu yanatakiwa yawe kitu kimoja..Hueleweki
Wewe sema kama yesu ni mungu au si mungu
Na je mna miungu wangapi
Hapana mimi si watatu mimi ni mmoja tu!!!Nilitaka kujaribu kukupa ilim taratibu maana najua hutoweza kuelewa kirahisi,,,maana ni topic za madaraja TOFAUTI.Juu nimeshakubali kwamba YESU NI MUNGU Sasa kinachoendelea ni wewe ujue kwamba ukitaka kujua mfano WA huu uungu unayo wewe mwenyewe maalim...KWAMBA wewe ni watu watatu walio umoja..Na wote Nia na makusudi yenu watatu yanatakiwa yawe kitu kimoja..
Hebu tuwekee huu Mstari..Surat al Najm(sura ya nyota)53:16-21..ila sijawahi kuona fundisho lolote la kiislamu linalosema hao ni mabinti wa Allah
Nimesoma Quran yote Mkuu nimeielewa na Siwezi kubali kuwa Mjinga Hakuna Muislamu yyte aliyesoma Hajui QuranSawa, Ila nawewe soma Quran vizuri uielewe usikubali kuwa mjinga.
Ni ngumu Sana wewe kuweza kuelewa Kwa Sasa..Hapana mimi si watatu mimi ni mmoja tu!!!
إِذْ يَغْشَى السِّدْرَةَ مَا يَغْشَىٰ ﴿١٦﴾Hebu tuwekee huu Mstari..Surat al Najm(sura ya nyota)53:16-21..
Mpaka mwisho wa uhai wanguNi ngumu Sana wewe kuweza kuelewa Kwa Sasa..
Je, mmemwona laata na ‘uzzaa?[4]
Na manaata mwengine wa tatu?
Hao Wana wa kike alio nao ni wapi??Je, nyinyi mna wana wa kiume Naye Ana wana wa kike?[5]
Huu Mstari uko kwenye quran ukionyesha lawama ya kutohusika Kwa Allah dhidi ya kuyaita Hayo majina,,ina maana yamechomekwa kwenye quran yenu na makuresh?? Kama Allah kashusha quran yenu Kwa nini atoe lawama??23. Hayo si chochote isipokuwa ni majina mmeyaita nyinyi na baba zenu, wala Allaah Hakuyateremshia dalili yoyote. Hawafuati isipokuwa dhana na yale yanayotamani nafsi (zao), na hali umekwishawajia kutoka kwa Rabb wao Mwongozo.
21. Je, nyinyi mna wana wa kiume Naye Ana wana wa kike?[5]Hao Wana wa kike alio nao ni wapi??
Hapo Allah anasema kuwa hayo ni majina makureshi waliyatunga na kusema ni watoto wa AllahHuu Mstari uko kwenye quran ukionyesha lawama ya kutohusika Kwa Allah dhidi ya kuyaita Hayo majina,,ina maana yamechomekwa kwenye quran yenu na makuresh?? Kama Allah kashusha quran yenu Kwa nini atoe lawama??
Tatizo kubwa hujaielewa hio Aya...Isome Kwa kutulia,,,tafuta anaeweza kukutafsria ili uielewe Kwa uzuri...USIWE na papara...Tatizo lako nimeliona SOMA UELEWE...Tafuta kuelewa...Hapo Allah anasema kuwa hayo ni majina makureshi waliyatunga na kusema ni watoto wa Allah
Acha propaganda sema mna miungu wangapi?
Quran imechakachuliwa.Ndo Qur’an hiyo au sio?
Wewe ndo unapaswa uisome hiyo aya kwa kutulia na sio mimi maana huelewi maana ya maelezo na swali.Tatizo kubwa hujaielewa hio Aya...Isome Kwa kutulia,,,tafuta anaeweza kukutafsria ili uielewe Kwa uzuri...USIWE na papara...Tatizo lako nimeliona SOMA UELEWE...Tafuta kuelewa...
Wabilah Taufiq...