hamis77
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 13,628
- 20,992
Alikuwa nani ? Kutoka Ukatoliki walikuwa na vyeo ganiWe jamaa bna waraqa hakuwa Padre wala khadija hakuwa sista[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa nani ? Kutoka Ukatoliki walikuwa na vyeo ganiWe jamaa bna waraqa hakuwa Padre wala khadija hakuwa sista[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Ushahidi upi kuwa waraq alikuwa padre,hizi story za kujitungia tuuBiblia sio kitabu cha waroma
Roman empire ilijivika vazi la dini tu, na moja ya project yake ni uislamu
Waislam wengi HAWANA ELIMU, UKATOLIKI NA UISLAM NI IDENTICAL TWINS, MAPACHA WANAOFANANA.
WAISLAM WANATAKIWA WAWAHESHIMU NA KUWASUJUDIA WAKATOLIKI KULIKO KITU CHOCHOTE.
WAKATOLIKI NDIO WALIOWAPA MTUME MUHAMMAD...: Muhammad kapewa Utume na Padri Warraq.
Huyu Padri Waraq, ni Kama allah wao ndiye aliyekuwa anampa Muhammad Wahy/Ufunuo.
Kwa Heshima ya Wakatoliki, Ndo mana Unakuta kwenye Quran Kuna Surah nzima ya Maryam.
Maneno Yoooote Unayosoma Kwenye Quran yanayohusu Manabii wengine nje na Muhammad, ni Wahy/Ufunuo toka kwa allah Padri Warq
Waislam Wanamwabudu Marehemu Muhammad
Wakatoliki Wanamwabudu Marehemu Mariam. Everyone
Kasome historia yake ,kwa jinsi alivyokuwa alikuwa KIONGOZ mkubwa ndani ya katholik kipindi hicho ni sawa na PadreUshahidi upi kuwa waraq alikuwa padre,hizi story za kujitungia tuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ukichaa for realHapa hakuna ushahidi huyu alikuwa simion na sio yesu, simion alietoka mashamban ndio alibebeshwa msalaba na sio yesu.
Biblia imeeleza kuanzia kumkamata simion ,kwenda Golgotha mpaka kuwatundika watu watatu AMBAPO KATIKA WALE WATATU HAKUKUWA NA YESU PALE
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Daudi hakuwa nabii alikuwa mfalme. Nyie kila Myahudi mnadai ni Nabii hata Netanyahu mtasema ni nabii
Ndiyo, Maryamu (Maria) aliyejitokeza katika Qurani kama mama wa Nabii Issa (Yesu) ni sawa na Maria mama wa Yesu Kristo aliyejitokeza katika Biblia. Hata hivyo, kuna tofauti fulani katika jinsi wanavyoelezewa na kuzingatiwa kati ya Uislamu na Ukristo. Hapa kwa undani zaidi:Mkuu, kuliko kutafuta mantiki kwa kuokoteza, kuungaunga, na kisha kupotosha maandiko, patanisha ukweli juu ya mambo yafuatayo,
Je! Maryamu atajwaye katika Quran mama wa Nabii Issa ndiye hasa Maria mama wa Yesu Kristo atajwaye katika Biblia?
Je! Nabii Issa atajwaye katika Quran ndiye hasa Yesu Kristo atajwaye katika Biblia?
Endapo simulizi juu ya hao zitapatana, basi hoja yako inaweza kuwa na mashiko. La sivyo, ulichokiandika chote itakuwa ni kujidanganya wewe mwenyewe.