Pre GE2025 Je, Innocent Bashungwa anaandaliwa kuwa Waziri Mkuu?

Pre GE2025 Je, Innocent Bashungwa anaandaliwa kuwa Waziri Mkuu?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

second9

JF-Expert Member
Joined
Jun 22, 2016
Posts
216
Reaction score
451
Wakuu nimejaribu kutafakari kidogo kwa haraka, pamoja na uwepo wa Mheshimiwa Doto Biteko kama msaidizi wa waziri mkuu wa sasa Mheshimiwa Kassim Majaliwa.

Naona bado kuna namna Mheshimiwa Bashungwa anaandaliwa kwa nafasi ya uwaziri mkuu. Nikiangalia ni kama anapitishwa hizi wizara mbalimbali ili aweze kuzitambua namna zinavyofanya kazi maana kwa muda huu mfupi anaopita kwenye wizara ni ngumu sana kufanya mabadiliko chanya kwenye kila wizara.

Hizi ni wizara alizopita kwa muda usiozidi miaka 10:-

  • 2018-2019 - Naibu Waziri Wizara ya Kilimo.
  • 2019-2020 - Waziri wa Viwanda na Biashara.
  • 2020-2021 - Waziri wa Habari, Sanaa, na Michezo.
  • 2022-2023 - Waziri wa TAMISEMI.
  • 2023-2024 - Waziri wa Ulinzi.
  • 2024-2025 - Waziri wa Mambo ya Ndani

Sina kabisa interest na CCM ila sina shaka sana na utendaji kazi wa huyu bwana mkubwa aliyezaliwa 1979 huko wilayani Karagwe, mkoani Kagera.

Bashungwa.jpg
 
Kama amezaliwa mwaka 1979 darasa la kwanza alianza mwaka gani na form six alimaliza mwaka gani? Ni vema tukajua historia za elimu za viongozi walikopita tufahamu biograph zao
 
Wakuu nimejaribu kutafakari kidogo kwa haraka, pamoja na uwepo wa Mheshimiwa Doto Biteko kama msaidizi wa waziri mkuu wa sasa Mheshimiwa Kassim Majaliwa.

Naona bado kuna namna Mheshimiwa Bashungwa anaandaliwa kwa nafasi ya uwaziri mkuu. Nikiangalia ni kama anapitiswa hizi wizara mbalimbali ili aweze kuzitambua namna zinavyofanya kazi maana kwa muda huu mfupi anaopita kwenye wizara ni ngumu sana kufanya mabadiliko chanya kwenye kila wizara.

Hizi ni wizara alizopita kwa muda usiozidi miaka 10:-

2018-2019 - Naibu Waziri Wizara ya Kilimo 2019-2020 - Waziri wa Viwanda na Biashara 2020-2021 - Waziri wa Habari, Sanaa, na
Michezo
2022-2023 - Waziri wa TAMISEMI
2023-2024 - Waziri wa Ulinzi
2024-2025 - Waziri wa Mambo ya Ndani

Sina kabisa interest na CCM ila sina shaka sana na utendaji kazi wa huyu bwana mkubwa aliyezaliwa 1979 huko wilayani Karagwe, mkoani Kagera.

View attachment 3213411
Wa nchi gani?
 
Watu wanakimbiza mwizi kimya kimya .......ila kuna watu wana kelele sana na mwisho wa siku wanaangukia uso miguu juu
 
Watu wanakimbiza mwizi kimya kimya .......ila kuna watu wana kelele sana na mwisho wa siku wanaangukia uso miguu juu
Kabisa yaani hapa kuna aina flani ya mkakati wa chini kwa chini na jamaa haondoki kwa scandals.
 
Wakuu nimejaribu kutafakari kidogo kwa haraka, pamoja na uwepo wa Mheshimiwa Doto Biteko kama msaidizi wa waziri mkuu wa sasa Mheshimiwa Kassim Majaliwa.

Naona bado kuna namna Mheshimiwa Bashungwa anaandaliwa kwa nafasi ya uwaziri mkuu. Nikiangalia ni kama anapitishwa hizi wizara mbalimbali ili aweze kuzitambua namna zinavyofanya kazi maana kwa muda huu mfupi anaopita kwenye wizara ni ngumu sana kufanya mabadiliko chanya kwenye kila wizara.

Hizi ni wizara alizopita kwa muda usiozidi miaka 10:-

  • 2018-2019 - Naibu Waziri Wizara ya Kilimo.
  • 2019-2020 - Waziri wa Viwanda na Biashara.
  • 2020-2021 - Waziri wa Habari, Sanaa, na Michezo.
  • 2022-2023 - Waziri wa TAMISEMI.
  • 2023-2024 - Waziri wa Ulinzi.
  • 2024-2025 - Waziri wa Mambo ya Ndani

Sina kabisa interest na CCM ila sina shaka sana na utendaji kazi wa huyu bwana mkubwa aliyezaliwa 1979 huko wilayani Karagwe, mkoani Kagera.

View attachment 3213411
Kijana mdg kabisa
 
Jamaa ana nidhamu sana na utii, atafika mbali hana ujuaji na kujikweza
Basi ukimkuta vijijini hiko Omurushaka, Nkwenda , Kituntu hiko utampenda. Jamaa anajua kujishusha sana. Hata kama anaigiza ,watu amewateka na anapendwa. Kitu cha ku-share rubisi na common wananchi , kimewalainisha wengi.
 
Wakuu nimejaribu kutafakari kidogo kwa haraka, pamoja na uwepo wa Mheshimiwa Doto Biteko kama msaidizi wa waziri mkuu wa sasa Mheshimiwa Kassim Majaliwa.

Naona bado kuna namna Mheshimiwa Bashungwa anaandaliwa kwa nafasi ya uwaziri mkuu. Nikiangalia ni kama anapitishwa hizi wizara mbalimbali ili aweze kuzitambua namna zinavyofanya kazi maana kwa muda huu mfupi anaopita kwenye wizara ni ngumu sana kufanya mabadiliko chanya kwenye kila wizara.

Hizi ni wizara alizopita kwa muda usiozidi miaka 10:-

  • 2018-2019 - Naibu Waziri Wizara ya Kilimo.
  • 2019-2020 - Waziri wa Viwanda na Biashara.
  • 2020-2021 - Waziri wa Habari, Sanaa, na Michezo.
  • 2022-2023 - Waziri wa TAMISEMI.
  • 2023-2024 - Waziri wa Ulinzi.
  • 2024-2025 - Waziri wa Mambo ya Ndani

Sina kabisa interest na CCM ila sina shaka sana na utendaji kazi wa huyu bwana mkubwa aliyezaliwa 1979 huko wilayani Karagwe, mkoani Kagera.

View attachment 3213411
Amekutuma kumpigia debe, Hilo Domo zege? Huyo jamaa sijui kinachombeba Ila uwezo ni zero Hana legacy yyte
 
Wakuu nimejaribu kutafakari kidogo kwa haraka, pamoja na uwepo wa Mheshimiwa Doto Biteko kama msaidizi wa waziri mkuu wa sasa Mheshimiwa Kassim Majaliwa.

Naona bado kuna namna Mheshimiwa Bashungwa anaandaliwa kwa nafasi ya uwaziri mkuu. Nikiangalia ni kama anapitishwa hizi wizara mbalimbali ili aweze kuzitambua namna zinavyofanya kazi maana kwa muda huu mfupi anaopita kwenye wizara ni ngumu sana kufanya mabadiliko chanya kwenye kila wizara.

Hizi ni wizara alizopita kwa muda usiozidi miaka 10:-

  • 2018-2019 - Naibu Waziri Wizara ya Kilimo.
  • 2019-2020 - Waziri wa Viwanda na Biashara.
  • 2020-2021 - Waziri wa Habari, Sanaa, na Michezo.
  • 2022-2023 - Waziri wa TAMISEMI.
  • 2023-2024 - Waziri wa Ulinzi.
  • 2024-2025 - Waziri wa Mambo ya Ndani

Sina kabisa interest na CCM ila sina shaka sana na utendaji kazi wa huyu bwana mkubwa aliyezaliwa 1979 huko wilayani Karagwe, mkoani Kagera.

View attachment 3213411
Kubadilishiwa wizara nyingi maana yake hakuna sehemu anafiti. Hakuna sehemu ameiweza
 
Wakuu nimejaribu kutafakari kidogo kwa haraka, pamoja na uwepo wa Mheshimiwa Doto Biteko kama msaidizi wa waziri mkuu wa sasa Mheshimiwa Kassim Majaliwa.

Naona bado kuna namna Mheshimiwa Bashungwa anaandaliwa kwa nafasi ya uwaziri mkuu. Nikiangalia ni kama anapitishwa hizi wizara mbalimbali ili aweze kuzitambua namna zinavyofanya kazi maana kwa muda huu mfupi anaopita kwenye wizara ni ngumu sana kufanya mabadiliko chanya kwenye kila wizara.

Hizi ni wizara alizopita kwa muda usiozidi miaka 10:-

  • 2018-2019 - Naibu Waziri Wizara ya Kilimo.
  • 2019-2020 - Waziri wa Viwanda na Biashara.
  • 2020-2021 - Waziri wa Habari, Sanaa, na Michezo.
  • 2022-2023 - Waziri wa TAMISEMI.
  • 2023-2024 - Waziri wa Ulinzi.
  • 2024-2025 - Waziri wa Mambo ya Ndani

Sina kabisa interest na CCM ila sina shaka sana na utendaji kazi wa huyu bwana mkubwa aliyezaliwa 1979 huko wilayani Karagwe, mkoani Kagera.

View attachment 3213411
Kamuulize Saigoni
 
Back
Top Bottom