Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekuelewa .Lakini neno mwanamke ni muunganiko wa maneno mawili mwana na mke je? waweza fafanua hapo?Kazaliwa mtoto wa kike ndo sahihi
mwanamke ni yule alievunja ungo....na kuwajua wanaume
kabla ya hapo unakuwa mtoto wa kike halafu unakuwa msichana
ukishabikiriwa ndo unakuwa mwanamke
ndo maana wanasema 'amemuondoa usichana wake'
Nimekuelewa .Lakini neno mwanamke ni muunganiko wa maneno mawili mwana na mke je? waweza fafanua hapo?
Lakini silinagawanyika Boss
Mtoto anapozaliwa na kuwa na jinsia ya kike, Ukisema "wakike" mwingine akasema "mwanamke" wote mko sahihi.
Tunaposema mwanamke tunaangali jinsia bila kujali umri wake.
lakini tunaposema "wakike" tunadogosha.
kwasababu neno mwanamke lina umbo litokanalo na maneno matatu " mwana + mwenye + uke = mwanamke.
mwana +mwenye + uume = mwanamme
Ke si kifupi na wewe? Ulitaka kwenye form waandike neno lote mtoto wa kike? Ndiyo maana wenzetu sababu ya kuwa na msamiati mkubwa wanatumia F na M wakimaanisha Female and Male. Hii ni kwa rika lote. Sisi hatuna maneno mengi ya kutwist lugha ndiyo maana wanaweka Ke na Me. Hivyo mtoto wa kiume aitwe mwanaume vile? Unaisikiaje masikoni mwako. We mwanaume njoo hapa! Si unaita wewe kijana au wewe mvulana njoo nikutume?niah mtoto wakike anapozaliwa kwenye cheti cha kuzaliwa ile KE inawakilisha mini? Mwanamke au Wakike ?
Naona unaanza kuelewa sasa !!Ke si kifupi na wewe? Ulitaka kwenye form waandike neno lote mtoto wa kike? Ndiyo maana wenzetu sababu ya kuwa na msamiati mkubwa wanatumia F na M wakimaanisha Female and Male. Hii ni kwa rika lote. Sisi hatuna maneno mengi ya kutwist lugha ndiyo maana wanaweka Ke na Me. Hivyo mtoto wa kiume aitwe mwanaume vile? Unaisikiaje masikoni mwako. We mwanaume njoo hapa! Si unaita wewe kijana au wewe mvulana njoo nikutume?
Mazoea na uhalisia ni vitu mbali mbali. Yaani tusiache lugha iparaganyike eti sababu ya mazoea. Kama umegundua watu wengi utawasikia wanasema hili neno "wamama" au "wababa". Na huu mchezo ulianzishwa na hawa walokole kuchanganya lugha zao za asili na kiswahili. Ikaja hii ya "mimi huwaga simwogopi huyo", kisa wasukuma wengi nchini hivyo kila mtu akaanza. Tujitahidi kuongea kiswahili sanifu ili kiweze kusonga mbele. Wale wanaosoma bado unadhani wakiandika mwanamke badala ya mtoto wa kike watapata maksi? Nikimsahihisha huyo namkata kabisaaaaaa.
Kuna vitu bwana vya kutumia logic na masikio na hisia. Kuna vitu vinatumia kanuni. We ngoja nikuache mimi naenda kupika bye.niah rejea kamusi yako basi !! Mwanamke ni jinsi sio umri
Inamaana neno mwanamke limeundwa na maneno matatu?Mtoto anapozaliwa na kuwa na jinsia ya kike, Ukisema "wakike" mwingine akasema "mwanamke" wote mko sahihi.
Tunaposema mwanamke tunaangali jinsia bila kujali umri wake.
lakini tunaposema "wakike" tunadogosha.
kwasababu neno mwanamke lina umbo litokanalo na maneno matatu " mwana + mwenye + uke = mwanamke.
mwana +mwenye + uume = mwanamme
Sasa NiahKe si kifupi na wewe? Ulitaka kwenye form waandike neno lote mtoto wa kike? Ndiyo maana wenzetu sababu ya kuwa na msamiati mkubwa wanatumia F na M wakimaanisha Female and Male. Hii ni kwa rika lote. Sisi hatuna maneno mengi ya kutwist lugha ndiyo maana wanaweka Ke na Me. Hivyo mtoto wa kiume aitwe mwanaume vile? Unaisikiaje masikoni mwako. We mwanaume njoo hapa! Si unaita wewe kijana au wewe mvulana njoo nikutume?