MESHACK WARIOBA
JF-Expert Member
- Mar 29, 2017
- 1,068
- 1,174
Mkuu kwa swali lake lilivyokaa, ungetumia Busara tu Kukaa kimya; Ila anyway, umefanya vyema pia;Maneno yote yatokayo kwa Yesu amepewa na Mungu coz wote wana co-exist... So iwe yametoka kwa malaika,sijui Roho mtakatifu sijui Yesu jua tu yote yametoka kwa Mungu....
Mkuu hii study sijaifanya leo, hii issue kwangu ni settled issue. Nimesoma vitabu vingi vyenye hii nadharia yako na vyote ni potofu havina ukweli wowote wa maandiko. Hakuna mistari ya Biblia inayo support hizi hoja zako bali ni tafsiri potofu ya Biblia.Mkuu PumziNdefu na ww uache kuwa biased..... Hicho kitabu kimeandikwa na mwanatheologia na kime base kwenye Bible mwanzo mwisho so ni vizuri ukisome uongeze kitu kipya kung'ang'ania jambo bila kutaka kujifunza sio faida kwenye mjadala.
Ni dhahiri you are not paying attention, hii issue nimeielezea tena kupitia maandiko kwamba ahadi za Mungiu hazibadiliki. Na hakuna sehemu kwenye agano jipya inayosema Mungu amewakataa, kwahiyo inclusion ya Wakristo haimaanishi Mungu amewakataa, hii ni tafsiri potofu ya Biblia, Agano Jipya halijafuta Agano la Kale. Huo mstari unaousema haufuti agano la Mungu kwa Abraham na Israel. Figurative view yako ya Biblia ndio inakufanya uongeze vitu kwenye hiyo mistari ambavyo havipo. That verse says what is says simple, don't add what is not there.2. Mie toka original thread nimetoa hoja from the bible ndio maana toka mwanzo nimekuomba uniwekee mstari kutoka agano jipya unaosema unaweza kwenda mbinguni bila kumpokea Yesu mpaka sasa hujanipa nausubiri. Au mstari unaosema waisrael bado ni taifa teule.
1 petro 2:9
9 Bali ninyi ni mzao mteule, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu, watu wa milki ya Mungu, mpate kuzitangaza fadhili zake yeye aliyewaita mtoke gizani mkaingie katika nuru yake ya ajabu;
Sasa naomba mstari wayahudi wakiitwa ni taifa teule sijui ufalme wa kikuhani kwenye agano jipya??
Hapa sasa ndio umethibitisha udhaifu kwenye uelewa wako wa Biblia na biased view of Israel. Nyie ni wale watu mnaotumia Biblia ku-justify your philosophy on issues while some of us use it to shape ours. Unataja Russia sijui Iran as if they have any superiority when it comes to GOD. By the way alipowatoa Misri, Misri ilikuwa ni superpower ya wakati huo, na ndivyo ilivyokuwa alivyowarudisha kutoka Babylon kwa Neno lake au unafikiri nuklia ya Warusi is beyond God's ability?? Utasubiri sana.3. Unasema hoja kupinga taifa dhalimu la Israel ni porojo sio Biblia? Na hapa ndio shida kubwa kwa wakristo inakuja yaani kwakuwa Bible ilitabiri iko siku wayahudi watarudi kwao basi hata mimi nikiamka tu asbuhi nikasema Israel mwende pale mashariki ya kati basi nakuwa nimetimiza unabii?? Like seriously?? Mtasema nini leo hii Israel ikija kung'olewa pale na Russia or Iran?? Hamuoni mnataka kutafsiri maandiko kwa kuongozwa na upepo wa kisiasa?? Je ni wakati gani unajua kama unabii umetimia au lah??
Nimekuambia hii hoja sio Biblical, hakuna sehemu yeyote kwenye Biblia inayosema hayo makabila yalifutika, inachosema ni kwamba walichukuliwa utumwani, Mungu aliwaambia wakiasi atawapeleka utumwani kama adhabu ila pia aliahidi kuwarudisha. Na kusema sijui mixed sijui sio pure ni potofu. Na siyo hayo makabila 10 tu hata yale 2, kwa miaka karibu 1000 walikuwa wametawanywa mataifa mbali mbali, na shida zote walizopitia kuweza kutunza culture yao, lugha na dini hii pekee yake ni extraordinary. Na inathibitisha ahadi ya Mungu kuwa angekuwa nao huko utumwani na kuwarudisha, sasa leo yametimia kuanza kusema eti sio pure based on biased theories is ridiculous.4. Makabila kupotea sio Mimi niliyesema bali hata bible wafalme 17 inaeleza chanzo. Hata kwenye Biblia yale makabila 10 yalichangamana na gentiles ndio mji mkuu wao ulikuwa samaria. Hawa walitengwa na waisrael waliojiona pure kabisa yaani YUDA. Sasa hata kama hayo makabila 10 yakipatikana bado haiwezi badilisha kitu maana walishachangamana so sio tena waisrael pure bali mixed race na caucasians,semites kama unavyoona Ashkenazi jews walivyo.
Nilikupa mistari inayoonyesha atawakusanya kutoka kwenye kona zote za dunia kukuonyesha kilichotokea 1948 was the fulfilment of that verse kwasababu kabla ya 70 AD hawakuwahi kutawanywa kwenye kona zote za dunia, ila ni kama ulivyosema hayo makabila 10 yalichukuliwa na Assyria na 2 yaliyobaki baadae yalienda Babylon. It is only when the Romans destroy Israel and their temple that they where scatterd everywhere.5. Pia umesema before AD 70 hakuna wayahudi waliotawanyika. Hii sio kweli maana kingdom of Israel 722 BC walitekwa na kuwa deported kwenda Assyria soma 2 Wafalme 17:6 ambapo wengi walichangamana na utaifa wao kupotea so they can never be Israelites again hta kma wakirudi that's why walitengwa huko samaria na wayahudi wenzao.
Mkuu Biblia inajitafsiri yenyewe ukiwa makini kwenye kujifunza mambo mengi yatakuwa wazi. Ila Biblia sio kama vitabu vingine unavyosoma mara moja halafu ukasema unajua kila kitu, the more you dig in the more clear it will get, otherwise most part of it will remain figurative to you. Kuna lugha ya Biblia ambayo ukijifunza mambo mengi yatakuwa clear and literal. Hata hiyo mistari uliyouliza ukiacha kuichukua out of context majibu yake yako humo humo. Ila kama mistari ambayo inajieleza yenyewe bado hatuelewani hii hatutafika.6. Unasema Bible ni lateral.... Mimi nimetoa mstari unabii ukitolewa kuwa Yesu ataongea kwa mafumbo na tunajua wote kitabu cha ufunuo kimeandikwa na Yohana kwa kuelekezwa na Yesu sasa nitafutie mstari unaosema biblia ni lateral. Nimeuliza pia je ni wakati gani utajua bible ni lateral au figurative ukisoma kwa kuwa selective kama wewe. Mfano ufunuo ukiona Joka sijui Pembe 7 na vichwa 10 utasema ni figurative ila ukiona makabila 12 yametajwa basi ni lateral?? Nani anasema hivo?? Ina maana waisrael watakuwa 144,000 pekee tena elfu 12 tu kila kabila hawazidi hawaongezeki?? What's this?? Kama itakuwa hivo basi niambie na hiki je kitatokea
Jeremia 51:25
25 Tazama, mimi ni juu yako, Ee mlima uharibuo, asema BWANA; wewe uiharibuye dunia nzima; nami nitaunyosha mkono wangu juu yako, na kukufingirisha chini toka majabalini; nami nitakufanya kuwa mlima ulioteketezwa.
Naomna unisaidie ni mlima gani huo unaoweza kuongea hadi umeharibu dunia nzima..... Na Mungu ameahidi kuuhukumu kwa kuuteketeza kwa moto. Hata zaburi inasema Mito inaimba na milima inacheza mziki sasa tukienda lateral unaweza nisaidia ni mlima gani inaongelewa hapa in relation to Isaya 2:3.
Shukrani
I don't believe ur sourceyohana 10:16
1yohana 2:2
Yeye ndiye dhabihu ya upatanisho kwa ajili ya dhambi zetu, wala si kwa ajili ya dhambi zetu tu, bali pia kwa ajili ya dhambi za ulimwengu wote.
nzuri ndefu ila bado sijaona swali asee!Habari za jioni wana JF mada ya leo ni sensitive kidogo maana inagusa moja ya topic zenye utata katika ulimwengu wa imani ila ningependa tusome kwa utulivu uzi wote alafu tujadiliane kwa hoja ili tuweze kusolve hili swali la karne nyingi sasa.
View attachment 929882
UTANGULIZI
Mwanzoni kulikuwa na agano kati ya wanadamu na Mungu kupitia Adam ila tunaona Adam analivunja agano hili
(Hosea 6:7)
Lakini wao wamelivunja hilo agano kama Adamu;
Hivyo Mungu alitaka kurudisha uhusiano tena na mwanadamu tunaona akapatikana Nuhu ambaye alimcha Mungu sana na akachaguliwa kuianza dunia upya baada ya gharika. Sasa baada ya gharika dhambi ilirudi tena kupitia Ham ambaye alipelekea Nuhu kumlaani mwana wake Ham yaani canaan kuwa atakuwa mtumwa wa kaka zake Ham yaani Shem na Yapheth (Hili la muhimu sana huko mbeleni) hivyo uzao wa Ham ukawa na watu waovu sana mfano Nimrod wa Babylon aliyeleta ibada za sanamu na dini za kipagani hadi kuleta machafuko kwenye ukoo wa Nuhu na kusababisha dunia nzima kumuacha Mungu wa Nuhu.
Katika sintofahamu hii aliyesimama imara alikuwa Shem/Melchizedek ndie aliendelea kushika wokovu na hata Abraham alipozaliwa aliendelea kumsimamia kiimani na hivyo hata alipokufa Abraham kati ya wanadamu wengi ndio aliendeleza imani ya kumuabudu Mungu wa babu zake (YAHWEH) hivyo baada ya Mungu kuona Abraham ana msimamo thabiti kwake akampa ahadi ya kuwa na uzao wa watu wengi kama nyota za angani lakini pia alimpa ahadi ya kumpa nchi hii ya canaan.
Mwanzo 15
18 Siku ile BWANA akafanya agano na Abramu, akasema, Uzao wako nimewapa nchi hii, kutoka mto wa Misri mpaka huo mto mkubwa, mto Frati,
Hivyo ni kupitia ahadi hii ndipo taifa la Israel lilipotabiriwa rasmi kuwepo. Na ahadi hiyo itakuja kutekelezwa na mjukuu wake yaani Yakobo ambaye aliiba urithi wa mtoto wa kwanza hivyo hii baraka ya Abraham akairithi yeye na tunaona uzao wake kupitia Joshua na Caleb ndio wanaingia kwenye nchi hii ya canaan rasmi na kuasisi taifa la Israel.
Je Mungu aliichagua Israel??
Kumb. La torati 7:6
6 Kwa maana wewe u taifa takatifu kwa BWANA, Mungu wako; BWANA Mungu wako, amekuchagua kuwa watu wake hasa, zaidi ya mataifa yote walioko juu ya uso wa nchi.
Kupitia mstari huu tunaona Israel ilichaguliwa na Mungu lakini je kwanini aliichagua??
Kumb. Torati 7:7-8
7 BWANA hakuwapenda ninyi, wala hakuwachagua ninyi, kwa sababu mlikuwa wengi kuliko mataifa yote, maana mlikuwa wachache kuliko watu wote;
8 bali kwa sababu BWANA anawapenda, na kwa sababu alitaka kuutimiza uapo wake aliowaapia baba zenu.
Hivyo Mungu aliwachagua Israel sababu hiyo ya kutimiza uapo kwa mababu ikiwemo Nuhu + Abraham. Na hili ndio lilisababisha Israel wapewe nchi ya Canaan sababu ilikuwa inahitimisha unabii wa Nuhu kuwa Canaan atakuwa mtumwa wa shem (Babu wa Abraham) na sio kwa sababu nyingine yeyote.
Mwanzo 9
26 Akasema,Na atukuzwe BWANA Mungu wa Shemu;Na Kanaani awe mtumwa wake
View attachment 929883
Ramani ya canaan
Hivyo baada ya Agano hili na Israel ambalo kupitia wao ndio Mungu alipanga kuwaletea Messiah yaani Yesu ili aweze kurejesha uhusiano kati ya Mungu na mwanadamu kama wa kipindi cha Adamu lakini wayahudi walimkataa Yesu kwa sababu hawakujua kutafsiri unabii ulioandikwa kuhusu maisha ya Yesu kwenye agano la kale. Kwa kifupi maisha yote ya Yesu kuanzia kuzaliwa mpaka kufa yalikuwa yanaendana na unabii wa agano la kale 1 korinto 15:1-4 Mfano wa nabii zilizotimizwa kupitia maisha ya Yesu ni hizi. Kuanza mahubiri yake galilaya ulitabiriwa na Isaya 9:1-2 na ukatimia Mathayo 4:13, Pia Yesu kupanda Punda kuingia jerusalem ulitabiriwa na Zakaria 9:9 na kutimia Mathayo 21:1-9 n.k yaani kuna mistari zaidi ya 100 iliyotabiriwa kuonyesha Huyo Messiah ataishije.
Lakini wao wayahudi hawakuliona hili sababu walidhani Yesu atakuwa handsome boy, Damu ya kifalme,Mwanajeshi kama alexander the great n.k hivyo kwa jinsi alivyokuja "kimasikini" wakaona kama anakufuru mwisho wa siku wakamuua na yote ni kutokana na kushindwa kutafsiri maandiko ya unabii.
Matendo 13:26-27
27 Kwa maana wakaao Yerusalemu, na wakuu wao, kwa kuwa hawakumjua yeye, wala maneno ya manabii yanayosomwa kila sabato, wameyatimiza kwa kumhukumu.
Mkuu umepotea jukwaa au na wwe siku hzi umekuwa mpenzi wa nyuzi za "kizee zee".nzuri ndefu ila bado sijaona swali asee!
Sijui tatizo ni lugha au uelewa ila maswali yako yote nimekujibu siwezi kurudia.Mkuu PumziNdefu bado napata shida sana kukuelewa
1. Unasema Issue ya wayahudi kujichanganya na mataifa mengine ni theory tu. Soma 2 wafalme 17:6-41 inaeleza jinsi walivyotekwa na kuletewa watu wa mataifa mengine na hii ndio ilipelekea Samaria ambayo ndio ilikuwa makao makuu ya ufalme wa Israel baadae kutengwa na watu kutoka ufalme wa Yuda rejea Yohana 4:9. Sasa basi kama unasema ni theory huoni unapotosha.
2. Unasema makabila 10 hayajapotea nimekuuliza toka mwanzo je yako wapi?? Kwanini unasema Israel ya sasa ndio Mungu kawarudisha ilihali 80% ya jewish population in Israel na dunia nzima is Ashkenazi pekee.... Je wayahudi wa makabila kama Ephraim na Dani wakowapi??
Huijui biblia. Hakuna sehemu inayotutaka tukasome vitabu vingine. Na tukianza kusoma vitabu ni kipi utakacho kiamini kwa sababu theories ziko nyingi?? Utajuaje kipi ni cha kweli?? Au unatafuta kile kinachosema kile unachotaka kusikia??3. Pia sio kila kitu kimejibiwa na Biblia mkuu because bible is not history na hilo hlikua lengo la Bible hivyo usilazimishe kila hoja ya kihistoria iwe strictly kwenye Bible na ndio maana bible yenyewe inatutuma tukarefer kwenye history books za kale nimevizungumzia humu
https://www.jamiiforums.com/threads/biblia-na-reference-ya-vitabu-vya-kipagani.1489758/
Hivyo usipende kupinga chochote ambacho hakipo kwenye bible ingawa ni historical accurate.
I have yet many things to say unto you, but ye cannot bear them now. John 16:124.bado unasema Bible sio figurative nimekuomba mstari maana mimi nimeweka Zaburi 78:2 ukibashiri kutumika na mafumbo by Jesus ambaye ndie huyo huyo kaandika revelation kupitia Yohana sasa nimeuliza kama Makabila 12 ni lateral nisaidie basi kunielezea kivp mwanamke wa Ufunuo 12 anayeweza kulivaa jua lote na kuvaa mwezi mguuni anaweza kujifichaa kwenye msitu na asionekane?? Na atakua na ukubwa gani..... Nasubiri jibu.
Nimesha kujibu hili mara mbili.5. Narudia tena je unajuaje kuwa unabii umetimia pale Tel Aviv kuwa wayahudi wamerudishwa na sio propaganda za wazungu tu. Yaani ina maana hata mimi nikisema nikajenge hekalu kesho asbuhi pale Tel Aviv basi unabii unakuwa umetimia hata kama wakati hujafika yaani niamke tu asubuhi niseme mimi ndio Yesu kesho niende Tel Aviv basi utasema mimi nimetimiza unabii wa kurudi kwa Yesu?? Embu nisaidie umetumia methodology gani kukiri kuwa unabii umetimia na mimi nikijiita Yesu itakuwa sijatimiza unabii.... How do u differentiate??
Subject ilibadilika kwahiyo walioenda Caanan ni Wamisri?? Katika generation ya akina Caleb na Joshua ndio wao 2 walioingia Canaan ila huwezi kusema wana wa Israel hawakuingia, wakati Musa alimchagua Joshua awe kiongozi wa kuwaongoza Waisrael Caanan. Wewe generation ya babu zako wakifa ikabaki generation ya wazazi wako wanaacha kuwa watanzania?? Wewe haya mambo unasimuliwa?? Ni dhahiri uelewa wako wa Biblia ni mdogo na kama hutotaka kujifunza hautafaidika nayo.6. Ni kweli ahadi za Mungu hazibadiliki ila subjects zinabadilika. Ndio maana Mungu aliahidi kuwafikisha waisrael Canaan kutoka misri ila hiyo ahadi ilikuwa manifested kwa watu wawili tu Caleb na Joshua wale watu wazima wengine waliotoka Misri walifia njiani wote. Kwa msingi huo huo ahadi kwa Israel haijabadilika ila subjects ndio imebadilika badala Israel kuwa wale wafuga ndevu wa Tel Aviv sasa wamekuwa wale wanaomfuata Yesu yaani new covenant ya waebrania 9 kuwa Ni kupitia damu ya Yesu ndio New covenant inakuwa sealed. Je hao wayahudi ni lini wamewahi mtambua Yesu?? Na kama sio je ni wapi Bible inasema agano hilo jipya haliwahusu wayahudi ambao wao waliseal agano la kale kwa kutumia damu za mnyama??
Ni hivi mkuu Bible ikisema usizini ina maana usizini sio kusema ooh hapo aliwaambia tu waisrael au wagiriki n.k tusifanye selectivity kama wewe unavyodai. Bible ishasema Yohana 1:12 wote waliompokea aliwafanya kuwa wana wa Mungu ikimaanisha waliomkataa wote sio wana wa Mungu tena iwe myahudi au muarabu. Sasa kwanini unafanya selectivity kuwa Jews ni exception wakati Bible ishasema ni kupitia YESU PEKEE je hao wayahudi ni lini walimpokea Yesu?? Na ukisema wao ni exception basi na sisi waafrika ni halali kuzini n.k sababu amri 10 alipewa Myahudi sio sisi?? Si eti??
Wewe unaweza kuya-define hayo maagano mawili ni yapi?? Au unadhania Mwanzo mpaka Malaki na Mathayo mpaka Ufunuo wa Yohana ndio maagano?? Hili nilishakueleza kwahiyo sitapoteza muda.7. Unasema hakuna agano lililofutwa
Waebrania 8:13
13 Kwa kule kusema, Agano jipya, amelifanya lile la kwanza kuwa kuukuu. Lakini kitu kianzacho kuwa kikuukuu na kuchakaa ki karibu na kutoweka.
Kwahiyo agano la sasa ni tofauti kabisa na la mwanzo limekuwa OBSOLETE. Na biblia inasema advocate na kuhani mkuu wa agano jipya ni YESU PEKEE hivyo kama hauna Yesu basi agano jipya halikugusi hivyo kama hao Israel ambao hawamtambui Yesu basi agano jipya haliwahusu. Kwa mara nyingine naomba unipe mstari unaosema wokovu ni kupitia Yesu tu ila exception kwa Wayahudi!!! Kama haupo nieleze unatoa wapi hii theory kuwa kwenda mbinguni ni two way wakati bible ishasema na nmeweka hapa kuwa hakuna myahudi wala myunani mbele za Mungu.
Ahsante
Mathayo 21:42-43
42 Yesu akawaambia, Hamkupata kusoma katika maandiko,Jiwe walilolikataa waashi,Hilo limekuwa jiwe kuu la pembeni;Neno hili limetoka kwa Bwana,Nalo ni ajabu machoni petu?
43 Kwa sababu hiyo nawaambia, Ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu, nao watapewa taifa lingine lenye kuzaa matunda yake
Mi ninachojua nakuamini ....ISRAEL YA SASA ndyo kizazi Cha Israel ambao ni taifa teule....AFTERMATH
Hivyo basi kwa kuwa Mungu alikwisha dhamiria kurudisha uhusiano na mwanadamu ikabidi ageukie mataifa mengine ambayo ndio yangeendeleza agano lile na hapo ndipo likapatikana agano jipya ambapo neema ya wokovu haukuwa wa Wayahudi pekee sababu walimkataa bali ukawa wa mataifa yote as long as watamfuata Yesu (Yohana 1:11-12) pia Mathayo 21:42-43 ambapo tunaona ufalme wa Mungu umehamishwa kutola Israel kwenda kwa mataifa mengine.
42 Yesu akawaambia, Hamkupata kusoma katika maandiko,Jiwe walilolikataa waashi,Hilo limekuwa jiwe kuu la pembeni;Neno hili limetoka kwa Bwana,Nalo ni ajabu machoni petu?
43 Kwa sababu hiyo nawaambia, Ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu, nao watapewa taifa lingine lenye kuzaa matunda yake.
View attachment 929907
Swali linaibuka je Israel inabakia taifa la Mungu??
NDIO ni kweli Mungu aliendelea na agano na taifa la Israel ila tafsiri ya taifa la israel ni lipi limebadilika kupitia agano jipya.
Warumi 9
6 Si kana kwamba neno la Mungu limetanguka. Maana hawawi wote Waisraeli walio wa uzao wa Israeli.
7 Wala hawawi wote wana kwa kuwa wazao wa Ibrahimu, bali, Katika Isaka wazao wako wataitwa;
8 yaani, si watoto wa mwili walio watoto wa Mungu, bali watoto wa ile ahadi wanahesabiwa kuwa wazao.
Na pia hapa ndipo tunaona kunazaliwa waisraeli wa kimwili (mashariki ya kati) na Israel ya Kiroho (wakristo)
Warumi 2:28-29
28 Maana yeye si Myahudi aliye Myahudi kwa nje tu, wala tohara siyo ile ya nje tu katika mwili;
29 bali yeye ni Myahudi aliye Myahudi kwa ndani, na tohara ni ya moyo, katika roho, si katika andiko; ambaye sifa yake haitoki kwa wanadamu bali kwa Mungu.
Hivyo kufikia hapa tunaona kuna wayahudi/waisrael aina mbili sasa je ahadi za ISRAEL ya agano la kale anarithi nani za kuwa taifa teule,chaguo la Mungu n.k
Galatia 3
6 Kama vile Ibrahimu alivyomwamini Mungu akahesabiwa haki.
7 Fahamuni basi, ya kuwa wale walio wa imani, hao ndio wana wa Ibrahimu.
.......................................
13 Kristo alitukomboa katika laana ya torati, kwa kuwa alifanywa laana kwa ajili yetu; maana imeandikwa, Amelaaniwa kila mtu aangikwaye juu ya mti;
14 ili kwamba baraka ya Ibrahimu iwafikilie Mataifa katika Yesu Kristo, tupate kupokea ahadi ya Roho kwa njia ya imani.Ahadi kwa Abrahamu
..............................
28 Hapana Myahudi wala Myunani. Hapana mtumwa wala huru. Hapana mtu mume wala mtu mke. Maana ninyi nyote mmekuwa mmoja katika Kristo Yesu.
29 Na kama ninyi ni wa Kristo, basi, mmekuwa uzao wa Ibrahimu, na warithi sawasawa na ahadi.
Kupitia mistari hii tunaona sasa ahadi zote walizopewa Abraham na Israel zinarithiwa rasmi na wale wote wamfuatao Yesu yaani wakristo ambao ndio wale paulo kawaita waisrael wa Kiroho sio kimwili. Hivyo ningependa nichukue fursa hii kutoa msimamo wangu kwamba Israel hii ya kimwili sio taifa la Mungu na halitokaa liwe unless na wao wamfuate Yesu hapo ndipo watakuwa NCHI YA AHADI na taifa la Mungu. Kwa kuhitimisha kupitia agano jipya ambapo sasa wanaomfuata wote Yesu bila kujali ni muisrael au lah ndio wanakuwa TAIFA TEULE ama ISRAEL hivyo baraka zote ahadi zote na unabii wote wa TAIFA LA ISRAEL sio tena wa hii Israel ya yakobo bali ni wote wamfuatao Yesu kristo na hii ni kwa mujibu wa Biblia.
However upande kinzani unasema Israel ya mashariki ya kati bado ni taifa teule kama zamani na hakuna kilichobadilika na wanatumia mstari huu.
Warumi 3:3-4
3 Ni nini, basi, ikiwa baadhi yao hawakuamini? Je! Kutokuamini kwao kutaubatili uaminifu wa Mungu?
4 Hasha! Mungu aonekane kuwa amini na kila mtu mwongo; kama ilivyoandikwa,Ili ujulike kuwa una haki katika maneno yako,Ukashinde uingiapo katika hukumu.
Nakubaliana na Mstari huu unaosema Mungu hajawaacha wayahudi licha ya kumkataa lakini bado msimamo uko pale pale kwamba ni lazima wamkiri massiah ndio wawe teule till then hawana tena hadhi ya kuitwa taifa teule kulingana na vifungu nilivyoweka.
View attachment 929908
ANGALIZO
Kumekuwa na interpretation nyingi sana za unabii kuhusu Israel ya kimwili yaani hii ya mashariki ya kati na nina hofu kuwa na wakristo pia wameingia mkenge kama wa wayahudi wa kale kwa kutoelewa unabii na wakatafsiri kwa akili zao kiasi kwamba Yesu alipokuja hawakujua na wakamkataa. kuna wakristo wengi leo wanaamini vita na matetemeko yaliyotabiriwa kwenye ufunuo ni ya kimwili au hekalu litajengwa kimwili hivyo watashituka Yesu amekuja kivingine wao bado wanasubiri vita ya amragedon sijui kujengwa hekalu ilihali hizo mambo zina maana tofauti kabisa ingawa hii ni mada ya siku ingine ila nachoweza hitimisha ni kwamba Biblia imeandikwa kwa codes nyingi hivyo kuitafsiri inahitaji umakini na utulivu sana sio kwenda kichwakichwa mfano inapotabiri kuwepo kwa njaa na kiu haimaanishi njaa ya kimwili ila ukisoma Amos 8:11 utajua njaa inaongelewa ni ya kusikiliza neno la Mungu such phrases mtu akisoma kwenye ufunuo ana conclude kuwa kutakuwa na njaa,vita matetemeko,ukame huu wa kimwili kumbe zina maana nyingine kabisa hivyo nilitaka kuliweka hilo sawa. Kwa kusema hayo naomba kuwasilisha mada kwa ajili ya michango na maoni ya wanajukwaa letu pendwa.
Cc cc Mchawi Mkuu Malcom Lumumba Elungata Da'Vinci Mshana Jr Eiyer Kudo900 Vi rendra N J subi Bujibuji Kipanga boy Kiranga Che mittoga Ip man 3 mitale na midimu Mzee wa Torano Blaki Womani Grahnman za chembe jimmykb197 911sep11 afsa Francis3 mtu chake NJOLO Msolo Shubiri Pori Pendael24 Mr Miller Elli Khalifavinnie Kennedy Son of Gamba Kanungila Karim Mgambilwa ni mntu Mr FCB Mr Q geesten66 Jerry Ekky Mnabuduhe Chrisvern Dabby Jr kibuyu180 IGWE SALA NA KAZI
Mkuu kama agano la milele kivipi kabila la Dani lilitengwa kwenye kitabu cha ufunuo? Yaani makabila 12 moja limefutwa je kwa maoni yako huoni ahadi hiyo imeshajipinga?Mi ninachojua nakuamini ....ISRAEL YA SASA ndyo kizazi Cha Israel ambao ni taifa teule....
Ila kwa kumkataa kwao ndyo mataifa mengine yakahesabiwa haki waliompokea kristo.....But AGANO LILE N LA MILELE ......
Na Kuna mstari unasema PIMBI WATAPORUDI KWENYE ARDHI (Israel) Hamna taifa litakaloweza kuwang'oa hapo....nikipata muda nitakutafutia.....but kwa ww unaonaje kwa yanayoendelea.....since kurud1948 unahis Kuna siku wanaweza kuopoteza!!...ilihali muda unavozidi kwenda ndo linazidi kuwa taifa lenye nguvu......
Mkuu,pale Yesu alipotamka "Nyumba yako imeachwa ukiwa,ndio mwisho wa lsrael kuwa taifa takatifu,japo wakristo wenzangu wanaosoma biblia kwa makengeza wanaendelea kujidanya.Mkuu hakuna aliyekataa kuwa agano ni la milele ila swali je huyo mrithi wa hilo agano ni Kina Netanyahu au wakristo??
Wagalatia mistari zaidi ya 6 nimeweka hapo inasema warithi wa Baraka na ahadi zote za Abraham ni WAKRISTO na sio wayahudi wa kimwili sasa ni wapi mnatoaga hizi mambo kuwa Israel ya kina netanyahu ni taifa la Mungu.
Kama una object nielezee paulo alimaanisha nini kwenye hiyo mistari
Habari za jioni wana JF mada ya leo ni sensitive kidogo maana inagusa moja ya topic zenye utata katika ulimwengu wa imani ila ningependa tusome kwa utulivu uzi wote alafu tujadiliane kwa hoja ili tuweze kusolve hili swali la karne nyingi sasa.
View attachment 929882
UTANGULIZI
Mwanzoni kulikuwa na agano kati ya wanadamu na Mungu kupitia Adam ila tunaona Adam analivunja agano hili
(Hosea 6:7)
Lakini wao wamelivunja hilo agano kama Adamu;
Hivyo Mungu alitaka kurudisha uhusiano tena na mwanadamu tunaona akapatikana Nuhu ambaye alimcha Mungu sana na akachaguliwa kuianza dunia upya baada ya gharika. Sasa baada ya gharika dhambi ilirudi tena kupitia Ham ambaye alipelekea Nuhu kumlaani mwana wake Ham yaani canaan kuwa atakuwa mtumwa wa kaka zake Ham yaani Shem na Yapheth (Hili la muhimu sana huko mbeleni) hivyo uzao wa Ham ukawa na watu waovu sana mfano Nimrod wa Babylon aliyeleta ibada za sanamu na dini za kipagani hadi kuleta machafuko kwenye ukoo wa Nuhu na kusababisha dunia nzima kumuacha Mungu wa Nuhu.
Katika sintofahamu hii aliyesimama imara alikuwa Shem/Melchizedek ndie aliendelea kushika wokovu na hata Abraham alipozaliwa aliendelea kumsimamia kiimani na hivyo hata alipokufa Abraham kati ya wanadamu wengi ndio aliendeleza imani ya kumuabudu Mungu wa babu zake (YAHWEH) hivyo baada ya Mungu kuona Abraham ana msimamo thabiti kwake akampa ahadi ya kuwa na uzao wa watu wengi kama nyota za angani lakini pia alimpa ahadi ya kumpa nchi hii ya canaan.
Mwanzo 15
18 Siku ile BWANA akafanya agano na Abramu, akasema, Uzao wako nimewapa nchi hii, kutoka mto wa Misri mpaka huo mto mkubwa, mto Frati,
Hivyo ni kupitia ahadi hii ndipo taifa la Israel lilipotabiriwa rasmi kuwepo. Na ahadi hiyo itakuja kutekelezwa na mjukuu wake yaani Yakobo ambaye aliiba urithi wa mtoto wa kwanza hivyo hii baraka ya Abraham akairithi yeye na tunaona uzao wake kupitia Joshua na Caleb ndio wanaingia kwenye nchi hii ya canaan rasmi na kuasisi taifa la Israel.
Je Mungu aliichagua Israel??
Kumb. La torati 7:6
6 Kwa maana wewe u taifa takatifu kwa BWANA, Mungu wako; BWANA Mungu wako, amekuchagua kuwa watu wake hasa, zaidi ya mataifa yote walioko juu ya uso wa nchi.
Kupitia mstari huu tunaona Israel ilichaguliwa na Mungu lakini je kwanini aliichagua??
Kumb. Torati 7:7-8
7 BWANA hakuwapenda ninyi, wala hakuwachagua ninyi, kwa sababu mlikuwa wengi kuliko mataifa yote, maana mlikuwa wachache kuliko watu wote;
8 bali kwa sababu BWANA anawapenda, na kwa sababu alitaka kuutimiza uapo wake aliowaapia baba zenu.
Hivyo Mungu aliwachagua Israel sababu hiyo ya kutimiza uapo kwa mababu ikiwemo Nuhu + Abraham. Na hili ndio lilisababisha Israel wapewe nchi ya Canaan sababu ilikuwa inahitimisha unabii wa Nuhu kuwa Canaan atakuwa mtumwa wa shem (Babu wa Abraham) na sio kwa sababu nyingine yeyote.
Mwanzo 9
26 Akasema,Na atukuzwe BWANA Mungu wa Shemu;Na Kanaani awe mtumwa wake
View attachment 929883
Ramani ya canaan
Hivyo baada ya Agano hili na Israel ambalo kupitia wao ndio Mungu alipanga kuwaletea Messiah yaani Yesu ili aweze kurejesha uhusiano kati ya Mungu na mwanadamu kama wa kipindi cha Adamu lakini wayahudi walimkataa Yesu kwa sababu hawakujua kutafsiri unabii ulioandikwa kuhusu maisha ya Yesu kwenye agano la kale. Kwa kifupi maisha yote ya Yesu kuanzia kuzaliwa mpaka kufa yalikuwa yanaendana na unabii wa agano la kale 1 korinto 15:1-4 Mfano wa nabii zilizotimizwa kupitia maisha ya Yesu ni hizi. Kuanza mahubiri yake galilaya ulitabiriwa na Isaya 9:1-2 na ukatimia Mathayo 4:13, Pia Yesu kupanda Punda kuingia jerusalem ulitabiriwa na Zakaria 9:9 na kutimia Mathayo 21:1-9 n.k yaani kuna mistari zaidi ya 100 iliyotabiriwa kuonyesha Huyo Messiah ataishije.
Lakini wao wayahudi hawakuliona hili sababu walidhani Yesu atakuwa handsome boy, Damu ya kifalme,Mwanajeshi kama alexander the great n.k hivyo kwa jinsi alivyokuja "kimasikini" wakaona kama anakufuru mwisho wa siku wakamuua na yote ni kutokana na kushindwa kutafsiri maandiko ya unabii.
Matendo 13:26-27
27 Kwa maana wakaao Yerusalemu, na wakuu wao, kwa kuwa hawakumjua yeye, wala maneno ya manabii yanayosomwa kila sabato, wameyatimiza kwa kumhukumJIBU NI PROPA GANDA TU ISRAEL ILIKUWA TAIFA LA MUNGU KI MAMTIKI KWA SIYO TENA TAIFA LA MUNGU ...SOMA WOSIA WA YAKOBO (ISRAEL) WAKATI WA KUFA KWAKE ALIELEZA ILI JAMBO NDANI YA ULE WOSIA ....MWISHO WA KUWA TAIFA LA MUNGU NI KUJA KWAKE YESU ....ndivyo na hata YAKOBO ALIVYO SEMA.
JIBU NI ISRAEL SIYO TENA TAIFA LA MUNGU ...LILIKUWA TAIFA LA MUNGU KI MANTIKI TU ....SIYO TENA TAIFA LA MUNGU ...SOMA WOSIA WA YAKOBO (ISRAEL) WAKATI WA KUFA KWAKE ALIELEZA ILI JAMBO, NDANI YA ULE WOSIA ....MWISHO WA KUWA TAIFA LA MUNGU NI KUJA KWAKE YESU ....ndivyo na hata YAKOBO ALIVYO SEMA.Habari za jioni wana JF mada ya leo ni sensitive kidogo maana inagusa moja ya topic zenye utata katika ulimwengu wa imani ila ningependa tusome kwa utulivu uzi wote alafu tujadiliane kwa hoja ili tuweze kusolve hili swali la karne nyingi sasa.
View attachment 929882
UTANGULIZI
Mwanzoni kulikuwa na agano kati ya wanadamu na Mungu kupitia Adam ila tunaona Adam analivunja agano hili
(Hosea 6:7)
Lakini wao wamelivunja hilo agano kama Adamu;
Hivyo Mungu alitaka kurudisha uhusiano tena na mwanadamu tunaona akapatikana Nuhu ambaye alimcha Mungu sana na akachaguliwa kuianza dunia upya baada ya gharika. Sasa baada ya gharika dhambi ilirudi tena kupitia Ham ambaye alipelekea Nuhu kumlaani mwana wake Ham yaani canaan kuwa atakuwa mtumwa wa kaka zake Ham yaani Shem na Yapheth (Hili la muhimu sana huko mbeleni) hivyo uzao wa Ham ukawa na watu waovu sana mfano Nimrod wa Babylon aliyeleta ibada za sanamu na dini za kipagani hadi kuleta machafuko kwenye ukoo wa Nuhu na kusababisha dunia nzima kumuacha Mungu wa Nuhu.
Katika sintofahamu hii aliyesimama imara alikuwa Shem/Melchizedek ndie aliendelea kushika wokovu na hata Abraham alipozaliwa aliendelea kumsimamia kiimani na hivyo hata alipokufa Abraham kati ya wanadamu wengi ndio aliendeleza imani ya kumuabudu Mungu wa babu zake (YAHWEH) hivyo baada ya Mungu kuona Abraham ana msimamo thabiti kwake akampa ahadi ya kuwa na uzao wa watu wengi kama nyota za angani lakini pia alimpa ahadi ya kumpa nchi hii ya canaan.
Mwanzo 15
18 Siku ile BWANA akafanya agano na Abramu, akasema, Uzao wako nimewapa nchi hii, kutoka mto wa Misri mpaka huo mto mkubwa, mto Frati,
Hivyo ni kupitia ahadi hii ndipo taifa la Israel lilipotabiriwa rasmi kuwepo. Na ahadi hiyo itakuja kutekelezwa na mjukuu wake yaani Yakobo ambaye aliiba urithi wa mtoto wa kwanza hivyo hii baraka ya Abraham akairithi yeye na tunaona uzao wake kupitia Joshua na Caleb ndio wanaingia kwenye nchi hii ya canaan rasmi na kuasisi taifa la Israel.
Je Mungu aliichagua Israel??
Kumb. La torati 7:6
6 Kwa maana wewe u taifa takatifu kwa BWANA, Mungu wako; BWANA Mungu wako, amekuchagua kuwa watu wake hasa, zaidi ya mataifa yote walioko juu ya uso wa nchi.
Kupitia mstari huu tunaona Israel ilichaguliwa na Mungu lakini je kwanini aliichagua??
Kumb. Torati 7:7-8
7 BWANA hakuwapenda ninyi, wala hakuwachagua ninyi, kwa sababu mlikuwa wengi kuliko mataifa yote, maana mlikuwa wachache kuliko watu wote;
8 bali kwa sababu BWANA anawapenda, na kwa sababu alitaka kuutimiza uapo wake aliowaapia baba zenu.
Hivyo Mungu aliwachagua Israel sababu hiyo ya kutimiza uapo kwa mababu ikiwemo Nuhu + Abraham. Na hili ndio lilisababisha Israel wapewe nchi ya Canaan sababu ilikuwa inahitimisha unabii wa Nuhu kuwa Canaan atakuwa mtumwa wa shem (Babu wa Abraham) na sio kwa sababu nyingine yeyote.
Mwanzo 9
26 Akasema,Na atukuzwe BWANA Mungu wa Shemu;Na Kanaani awe mtumwa wake
View attachment 929883
Ramani ya canaan
Hivyo baada ya Agano hili na Israel ambalo kupitia wao ndio Mungu alipanga kuwaletea Messiah yaani Yesu ili aweze kurejesha uhusiano kati ya Mungu na mwanadamu kama wa kipindi cha Adamu lakini wayahudi walimkataa Yesu kwa sababu hawakujua kutafsiri unabii ulioandikwa kuhusu maisha ya Yesu kwenye agano la kale. Kwa kifupi maisha yote ya Yesu kuanzia kuzaliwa mpaka kufa yalikuwa yanaendana na unabii wa agano la kale 1 korinto 15:1-4 Mfano wa nabii zilizotimizwa kupitia maisha ya Yesu ni hizi. Kuanza mahubiri yake galilaya ulitabiriwa na Isaya 9:1-2 na ukatimia Mathayo 4:13, Pia Yesu kupanda Punda kuingia jerusalem ulitabiriwa na Zakaria 9:9 na kutimia Mathayo 21:1-9 n.k yaani kuna mistari zaidi ya 100 iliyotabiriwa kuonyesha Huyo Messiah ataishije.
Lakini wao wayahudi hawakuliona hili sababu walidhani Yesu atakuwa handsome boy, Damu ya kifalme,Mwanajeshi kama alexander the great n.k hivyo kwa jinsi alivyokuja "kimasikini" wakaona kama anakufuru mwisho wa siku wakamuua na yote ni kutokana na kushindwa kutafsiri maandiko ya unabii.
Matendo 13:26-27
27 Kwa maana wakaao Yerusalemu, na wakuu wao, kwa kuwa hawakumjua yeye, wala maneno ya manabii yanayosomwa kila sabato, wameyatimiza kwa kumhukumu.
CC: ward41 , johnthebaptist , Mzee Kigogo , Hakim mfawidhi , YEHODAYA ,TumainiEl et AlAFTERMATH
Hivyo basi kwa kuwa Mungu alikwisha dhamiria kurudisha uhusiano na mwanadamu ikabidi ageukie mataifa mengine ambayo ndio yangeendeleza agano lile na hapo ndipo likapatikana agano jipya ambapo neema ya wokovu haukuwa wa Wayahudi pekee sababu walimkataa bali ukawa wa mataifa yote as long as watamfuata Yesu (Yohana 1:11-12) pia Mathayo 21:42-43 ambapo tunaona ufalme wa Mungu umehamishwa kutola Israel kwenda kwa mataifa mengine.
42 Yesu akawaambia, Hamkupata kusoma katika maandiko,Jiwe walilolikataa waashi,Hilo limekuwa jiwe kuu la pembeni;Neno hili limetoka kwa Bwana,Nalo ni ajabu machoni petu?
43 Kwa sababu hiyo nawaambia, Ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu, nao watapewa taifa lingine lenye kuzaa matunda yake.
View attachment 929907
Swali linaibuka je Israel inabakia taifa la Mungu??
NDIO ni kweli Mungu aliendelea na agano na taifa la Israel ila tafsiri ya taifa la israel ni lipi limebadilika kupitia agano jipya.
Warumi 9
6 Si kana kwamba neno la Mungu limetanguka. Maana hawawi wote Waisraeli walio wa uzao wa Israeli.
7 Wala hawawi wote wana kwa kuwa wazao wa Ibrahimu, bali, Katika Isaka wazao wako wataitwa;
8 yaani, si watoto wa mwili walio watoto wa Mungu, bali watoto wa ile ahadi wanahesabiwa kuwa wazao.
Na pia hapa ndipo tunaona kunazaliwa waisraeli wa kimwili (mashariki ya kati) na Israel ya Kiroho (wakristo)
Warumi 2:28-29
28 Maana yeye si Myahudi aliye Myahudi kwa nje tu, wala tohara siyo ile ya nje tu katika mwili;
29 bali yeye ni Myahudi aliye Myahudi kwa ndani, na tohara ni ya moyo, katika roho, si katika andiko; ambaye sifa yake haitoki kwa wanadamu bali kwa Mungu.
Hivyo kufikia hapa tunaona kuna wayahudi/waisrael aina mbili sasa je ahadi za ISRAEL ya agano la kale anarithi nani za kuwa taifa teule,chaguo la Mungu n.k
Galatia 3
6 Kama vile Ibrahimu alivyomwamini Mungu akahesabiwa haki.
7 Fahamuni basi, ya kuwa wale walio wa imani, hao ndio wana wa Ibrahimu.
.......................................
13 Kristo alitukomboa katika laana ya torati, kwa kuwa alifanywa laana kwa ajili yetu; maana imeandikwa, Amelaaniwa kila mtu aangikwaye juu ya mti;
14 ili kwamba baraka ya Ibrahimu iwafikilie Mataifa katika Yesu Kristo, tupate kupokea ahadi ya Roho kwa njia ya imani.Ahadi kwa Abrahamu
..............................
28 Hapana Myahudi wala Myunani. Hapana mtumwa wala huru. Hapana mtu mume wala mtu mke. Maana ninyi nyote mmekuwa mmoja katika Kristo Yesu.
29 Na kama ninyi ni wa Kristo, basi, mmekuwa uzao wa Ibrahimu, na warithi sawasawa na ahadi.
Kupitia mistari hii tunaona sasa ahadi zote walizopewa Abraham na Israel zinarithiwa rasmi na wale wote wamfuatao Yesu yaani wakristo ambao ndio wale paulo kawaita waisrael wa Kiroho sio kimwili. Hivyo ningependa nichukue fursa hii kutoa msimamo wangu kwamba Israel hii ya kimwili sio taifa la Mungu na halitokaa liwe unless na wao wamfuate Yesu hapo ndipo watakuwa NCHI YA AHADI na taifa la Mungu. Kwa kuhitimisha kupitia agano jipya ambapo sasa wanaomfuata wote Yesu bila kujali ni muisrael au lah ndio wanakuwa TAIFA TEULE ama ISRAEL hivyo baraka zote ahadi zote na unabii wote wa TAIFA LA ISRAEL sio tena wa hii Israel ya yakobo bali ni wote wamfuatao Yesu kristo na hii ni kwa mujibu wa Biblia.
However upande kinzani unasema Israel ya mashariki ya kati bado ni taifa teule kama zamani na hakuna kilichobadilika na wanatumia mstari huu.
Warumi 3:3-4
3 Ni nini, basi, ikiwa baadhi yao hawakuamini? Je! Kutokuamini kwao kutaubatili uaminifu wa Mungu?
4 Hasha! Mungu aonekane kuwa amini na kila mtu mwongo; kama ilivyoandikwa,Ili ujulike kuwa una haki katika maneno yako,Ukashinde uingiapo katika hukumu.
Nakubaliana na Mstari huu unaosema Mungu hajawaacha wayahudi licha ya kumkataa lakini bado msimamo uko pale pale kwamba ni lazima wamkiri massiah ndio wawe teule till then hawana tena hadhi ya kuitwa taifa teule kulingana na vifungu nilivyoweka.
View attachment 929908
ANGALIZO
Kumekuwa na interpretation nyingi sana za unabii kuhusu Israel ya kimwili yaani hii ya mashariki ya kati na nina hofu kuwa na wakristo pia wameingia mkenge kama wa wayahudi wa kale kwa kutoelewa unabii na wakatafsiri kwa akili zao kiasi kwamba Yesu alipokuja hawakujua na wakamkataa. kuna wakristo wengi leo wanaamini vita na matetemeko yaliyotabiriwa kwenye ufunuo ni ya kimwili au hekalu litajengwa kimwili hivyo watashituka Yesu amekuja kivingine wao bado wanasubiri vita ya amragedon sijui kujengwa hekalu ilihali hizo mambo zina maana tofauti kabisa ingawa hii ni mada ya siku ingine ila nachoweza hitimisha ni kwamba Biblia imeandikwa kwa codes nyingi hivyo kuitafsiri inahitaji umakini na utulivu sana sio kwenda kichwakichwa mfano inapotabiri kuwepo kwa njaa na kiu haimaanishi njaa ya kimwili ila ukisoma Amos 8:11 utajua njaa inaongelewa ni ya kusikiliza neno la Mungu such phrases mtu akisoma kwenye ufunuo ana conclude kuwa kutakuwa na njaa,vita matetemeko,ukame huu wa kimwili kumbe zina maana nyingine kabisa hivyo nilitaka kuliweka hilo sawa. Kwa kusema hayo naomba kuwasilisha mada kwa ajili ya michango na maoni ya wanajukwaa letu pendwa.
Cc cc Mchawi Mkuu Malcom Lumumba Elungata Da'Vinci Mshana Jr Eiyer Kudo900 Vi rendra N J subi Bujibuji Kipanga boy Kiranga Che mittoga Ip man 3 mitale na midimu Mzee wa Torano Blaki Womani Grahnman za chembe jimmykb197 911sep11 afsa Francis3 mtu chake NJOLO Msolo Shubiri Pori Pendael24 Mr Miller Elli Khalifavinnie Kennedy Son of Gamba Kanungila Karim Mgambilwa ni mntu Mr FCB Mr Q geesten66 Jerry Ekky Mnabuduhe Chrisvern Dabby Jr kibuyu180 IGWE SALA NA KAZI
Samahani mkuu Yahwew si JEHOVA kwa kiswahili bali hili jina lilianza kutumiwa na msomi mmoja wa kidini enzi katika kutafuta jina halisi la Mungu,kwani musa alipomuuliza Mungu jina lako nani alilishusha jina Lake katika maandishi ya herufi 4 zisizo na viunganishi,EL ni jina halisi laMungu kwa kiaramu maana hata yesu msalabani alilitamka....kwa nini lipo katka biblia? Katika vitabu vyote vya awali vya kiyahudi vilivyokuja kutafsriwa na kupangwa kuwa biblia hapana neno jehova lililowahi kuonekana.hivyo naweza kutafsiri jehova na mstari fulani unaotamka WATALITUKANA JINA LA MUNGUConcept ya taifa teule,ilianza wakati wa moses(kama aliwahi kuishi),ni wakati wa moses ndipo jina la mungu jehova lilipojitokeza,
wakati huyu mungu akijitambulisha kwa moses,alisema kuwa kina Abraham,isaka na yakobo hawakumtambua huyo mungu kwa jina la jehova,
hapa unapata kujua wazi kuwa abraham,isaaka na yakobo waliabudu mungu yuleyule alieabudiwa na watu wa caanan,mungu huyo ni El,
na hata abraham kipindi akiwa mgeni pale kaanan,alimtambua Melkizedeki kama kuhani mkuu wa mungu El,
huyo el alikuwa mungu mkuu wa jamii zote za caanan,
sasa unajiuliza kwani jehova aendelea kukubali taifa lake teule litumie jina la mungu wa kipagani?
Jehova anajitetea kwa moses kuwa ,hapo mwanzo kina abraham,isaac na yakobo walinjua kwa jina jingine lakini jina lake halisi ni jehova,
lakini tena ukirudi kuchimba story ya jehova,inaonekana jehova alikuwa ni miongoni wa miungu iliyoabudiwa na kabila la wamedian,Yahwew ama jehova kwa kiswahili alikuwa ni mungu wa vita wa median,kwahiyo inshort alikuwa mungu wakipagani pia,
baada ya moses kumuua mtumishi wa farao alikimbilia nchi ya midian,akakaa kwa miaka mingi,na huko ndiko alipomuoa mkewe zilipa,
baba mkwe wa moses alikuwa ni kuhani wa mungu yahwew ama jehova kwa kiswahili,
so huko median ndiko hasa concept ya mungu jehova alipoitoa moses,
na ni hapo ndipo concept ya taifa la mungu ilipoanza