Ndg, Huyu Bill of quantity hayuko utumwani. Ameshakomboka kifikra na kimwili. Anachowaza yawezekana wewe bado kufikia kiwango chake cha UAMSHO:
Hi Dunia imepita katika matukio makubwa sana yaweza kuwa yakimaumbile na yakupangwa na sisi wenyewe: Nikianza kukujuza kwanza. Hapo nyuma hapakuwapo hawa watu wanaitwa Wazungu, Wahindi Weupe , wachina weupe na wala wanaojiita Waarabu ambao ni fake hawakuwapo lakini sisi weusi ndio tulikuwapo na hata kalenda zao zinaonyesha historia ya uwepo wao hauzidi miaka 6600 kutoka leo.
Lakini mtu mweusi alikuwapo kuanzia kuwapo kwa uhai.
Ukweli usiopingika ni kwamba Hivi vizaji vilivyokuja baadae vilikuta tayari mtu mweusi kajaa dunia yote na ameweka mifumo yote ya maisha, kiutamaduni na Kielimuu. Ustaarabu ulishokuwa designed tayari.
Na kifupi tu hivi vizazi zilitokana na sisi. Hivyo sisi hatuna haja ya kujiuliza uliza kuhusu hivi viumbe. Hawa tunauwezo wa kuwatawala tena sio kwa njia ya vita ya masilaha ya kemikali. Ni vita ya maarifa ya ufahamu na hekima ya kiuumbaji. Maana sehemu ambayo wameshindwa kutawala ni UBONGO. Hivyo kuwatawala tena ni rahisi mno.
Tufahamu kuwa sisi ni Nature na wao ni denature. Hivyo huwezi pingana, wala kupigana na nature. Ukumbuke hawa jamaa wametuchelewesha Miaka mia 5 na bado wanatuhitaji katika maisha yao. Lakini sisi hatuwahitaji. Bado sisi ni bora kwao kwa nyanja zote.
Hivi wewe unatakiwa uamke kwenye kufikiria kama haya mageuzi ni ndoto bali nyakati haiwaruhusu tena. Ndio maana unaona siku hizi JUA linawapiga, Wahamiaji haramu wanaenda kuwagenocide genetically. Huu ni mwanzo tu na wao wanajua kuwa Dunia si yao tena.