Je, itawezekana lini Afrika kuweka ukoloni katika mataifa yaliyoendelea?

Je, itawezekana lini Afrika kuweka ukoloni katika mataifa yaliyoendelea?

Ndg, wewe ndio uko utumwani. watu hatuko kabisa utumwani tena tunaogopeka mno kimaarifa hasa unapojutana na hawa watu.
Watu bado hamjaamka. Mpaka sasa nina watoto 4 na bado nina miaka 40. nataka watoto 7 na wote wanasoma shule nzuri na sekondari zenye elimu bora na wao wote wana uelewa juu sana kimasomo.
Pia hawa watoto hawajawai kushiriki swala lolote la kidini za ulimwengu wa sasa. Kwa maana wanapractice 42 Negative Confessions of MAAT. upo hapo? kwanza unazijua na kama huzijui basi wewe upo ubabeli bado.

HIVYO KUANZIA MIMI HADI FAMILIA YANGU HATUJUI KITU UTUMWA WA KIAKILI. TUMESHAKUWA WATU HURU KAMA TULIVYOZALIWA HURU. NINA MASHAKA NA WEWE NDG YANGU.

Vitu vitingine muwe mnaficha tukiwaita wapumbavu mtasema tunawatusi.

Ww unasema haupo utumwani,
Haumini dini za ulimwengu Wa sasa, haupo ktk ubabeli alafu
Unaamini katka.


The 42 Divine Principles of Maat in Budge's native English follows:

I have not committed sin.
I have not committed robbery with violence.
I have not stolen.
I have not slain men or women.
I have not stolen food.
I have not swindled offerings.
I have not stolen from God/Goddess.
I have not told lies.
I have not carried away food.
I have not cursed.
I have not closed my ears to truth.
I have not committed adultery.
I have not made anyone cry.
I have not felt sorrow without reason.
I have not assaulted anyone.
I am not deceitful.
I have not stolen anyone’s land.
I have not been an eavesdropper.
I have not falsely accused anyone.
I have not been angry without reason.
I have not seduced anyone’s wife.
I have not polluted myself.
I have not terrorized anyone.
I have not disobeyed the Law.
I have not been exclusively angry.
I have not cursed God/Goddess.
I have not behaved with violence.
I have not caused disruption of peace.
I have not acted hastily or without thought.
I have not overstepped my boundaries of concern.
I have not exaggerated my words when speaking.
I have not worked evil.
I have not used evil thoughts, words or deeds.
I have not polluted the water.
I have not spoken angrily or arrogantly.
I have not cursed anyone in thought, word or deeds.
I have not placed myself on a pedestal.
I have not stolen what belongs to God/Goddess.
I have not stolen from or disrespected the deceased.
I have not taken food from a child.
I have not acted with insolence.
I have not destroyed property belonging to God/Goddess


Upumbavu mwingine nao ni upumbavu kweli kwel
 
Nimefikiria sana juu yetu sisi waafrika kuweza kulipiza kisasi kwa kufanywa watumwa na haya mataifa ya ulaya...


Ifikie hatua kabisa Tanzania izitawale kimabavu nchi za ujerumani, uingereza, marekani na hata India?

Tutawezeshaje hili?

What goes around jamani.. na sisi tukomae tukawatawale wazungu, wachina na wahindi

Ntarudi kujibu hoja..
Ngoja ccm pamoja baba jei watoke madarakani tutaanza waza haya mambo.
 
Kabla ya kufika huko inabidi tuweze kujitawala wenyewe kwanza. Na ilituweze kujitawala nilazima tuondokane na ujinga, ubaguzi na ubinafsi
 
sisi tulishatawala ulimwengu wote kipindi cha misri ikiwa on peaks
 
Mzee ebu ifafanue zaidi kdg kuelisha jamii "42 Negative Confessions of MAAT" naona km kunanukia maarifa hapa

Ndg, Kwanza MAAT ni Mfumo uliokawa Designed na mababu zetu pale Egyptah Misraem(Misri) uliokabeba dhana mzima ya Utaratibu wa Kimaisha na Usawa wa Kimaisha ( Order and Balance) Utu na Hekima, Sheria na Haki na Utulifu (AMANI). MAAT ni Mfumo wenye dhana pana sana. Huu mfumo ulibuniwa miaka 3500 BCE sawa na Kusema miaka 5516 iliyopita.

Tunaposema 42 Negative Confessions of MAAT or 42 Declarations of Innocenceof MAAT, ndio Nguzo za kupima Utu, Uajibikaji na Uadilifu wa kila Mtu katika maisha yake ya Kiroho kwa kila sekunde ya uwepo wake na Maisha yake kwa ujumla. Ni Sheria 42 za Kukiri Uadili kwa kila ASUBUHI UNAPOAMKA, MCHANA UNAPOKUWA KWENYE SHUGHULI ZAKO ZA KIMAISHA NA USIKU UNAPOKARIBIA KULALA.

HIZI NDIZO KATI YA AMRI 10 Za MUSA alizowapatia WAISRAEL PALE katika Mlima Sinai. Kawapa Amri 10 tu wakati zipo 42.
Hizi Sheria 42 unatakiwa uzifahamu na kuzikiri: Mfano kwa Asubuhi una sema "Sitaiba" Mchana utasema "SIIBI" lakini unapokaribia kulala unasema "SIJAIBA" Hii inakusaidia pale utakapokutana na AUSAR kwenye Mizani ya kupima matendo yako na nyoa la kanga.

Pia kuna umuhimu wa sala hizi kwa kuwa unatakiwa uspell kwa siku mara 3, kwa maana 3 ni namba ya hatua za Uhai, pia ni idadi ya vichembe vya uhai. Mfano Kila Atom ina particles 3 ( Proton, Neutron na Electron) Atom ya Familia ni Baba, Mama na Mtoto. Pia tuna zaliwa baada ya miezi 9 ambayo ni 3*3.

Hivyo ukristu wanasali mara 3 wameitoa wapi? Uyuda nao mara 3 Uisilamu mara 5. mbili wamezitoa wapi?

Na mfumo wa kupractice rituals wa uislamu umeigwa kwenye MAAT kuanzia mikono inavyowekwa, ukaaji na upigaji magoti na kubusu Ardhi. Mfalme Solomon alisema hakuna jipya chini ya Jua.

African are cosmic spiritual beings and not religious people.
We are the Designers of everything. HAKUNA JIPYA.

WE HAVE AND WE NEED TO AWAKENED MAAT.
 
Vitu vitingine muwe mnaficha tukiwaita wapumbavu mtasema tunawatusi.

Ww unasema haupo utumwani,
Haumini dini za ulimwengu Wa sasa, haupo ktk ubabeli alafu
Unaamini katka.


The 42 Divine Principles of Maat in Budge's native English follows:

I have not committed sin.
I have not committed robbery with violence.
I have not stolen.
I have not slain men or women.
I have not stolen food.
I have not swindled offerings.
I have not stolen from God/Goddess.
I have not told lies.
I have not carried away food.
I have not cursed.
I have not closed my ears to truth.
I have not committed adultery.
I have not made anyone cry.
I have not felt sorrow without reason.
I have not assaulted anyone.
I am not deceitful.
I have not stolen anyone’s land.
I have not been an eavesdropper.
I have not falsely accused anyone.
I have not been angry without reason.
I have not seduced anyone’s wife.
I have not polluted myself.
I have not terrorized anyone.
I have not disobeyed the Law.
I have not been exclusively angry.
I have not cursed God/Goddess.
I have not behaved with violence.
I have not caused disruption of peace.
I have not acted hastily or without thought.
I have not overstepped my boundaries of concern.
I have not exaggerated my words when speaking.
I have not worked evil.
I have not used evil thoughts, words or deeds.
I have not polluted the water.
I have not spoken angrily or arrogantly.
I have not cursed anyone in thought, word or deeds.
I have not placed myself on a pedestal.
I have not stolen what belongs to God/Goddess.
I have not stolen from or disrespected the deceased.
I have not taken food from a child.
I have not acted with insolence.
I have not destroyed property belonging to God/Goddess


Upumbavu mwingine nao ni upumbavu kweli kwel

Badoo hujaonyesha werevu wako juu ya kile ninachokijua.
Bado unaonyesha ujinga wako juu ya kile usichokijua.

Mifuno ya Elimu yako ya Kipumbavu ni kwa mabwana zako unaowahusudu. Huku nikikudhihirishia kuwa Hata hao mabwana zako ni watoto wetu.

Hawana Jipya wasilolijua kutoka kwetu. Misingi ya Ujinga wako hautaweza ng'ooka mpaka pale utakapoelewa Nani aliweka Platiform ya hiki unachofikiria wataka kukifahamu.

Elimu yako ni potofu na ni dhaifu sana. Hata hujengi hoja ili werefu tujifunze au tukurekebishe kwa maarifa ya kukujenga kijeshi la KUMILITARISE OUR AFRICAN PRIDE.

AMKA KWA KUJENGA HOJA YA KUSAIDIA JAMII NA FAMILIA YAKO. MTI MWEMA HUZAA MATUNDA MEMAA KAMWE HAUZAI MATUNDA MABAYA.

MY PEOPLE ARE DESTROYED BECAUSE THE LACK OF KNOWLEDGE
 
Vitu vitingine muwe mnaficha tukiwaita wapumbavu mtasema tunawatusi.

Ww unasema haupo utumwani,
Haumini dini za ulimwengu Wa sasa, haupo ktk ubabeli alafu
Unaamini katka.


The 42 Divine Principles of Maat in Budge's native English follows:

I have not committed sin.
I have not committed robbery with violence.
I have not stolen.
I have not slain men or women.
I have not stolen food.
I have not swindled offerings.
I have not stolen from God/Goddess.
I have not told lies.
I have not carried away food.
I have not cursed.
I have not closed my ears to truth.
I have not committed adultery.
I have not made anyone cry.
I have not felt sorrow without reason.
I have not assaulted anyone.
I am not deceitful.
I have not stolen anyone’s land.
I have not been an eavesdropper.
I have not falsely accused anyone.
I have not been angry without reason.
I have not seduced anyone’s wife.
I have not polluted myself.
I have not terrorized anyone.
I have not disobeyed the Law.
I have not been exclusively angry.
I have not cursed God/Goddess.
I have not behaved with violence.
I have not caused disruption of peace.
I have not acted hastily or without thought.
I have not overstepped my boundaries of concern.
I have not exaggerated my words when speaking.
I have not worked evil.
I have not used evil thoughts, words or deeds.
I have not polluted the water.
I have not spoken angrily or arrogantly.
I have not cursed anyone in thought, word or deeds.
I have not placed myself on a pedestal.
I have not stolen what belongs to God/Goddess.
I have not stolen from or disrespected the deceased.
I have not taken food from a child.
I have not acted with insolence.
I have not destroyed property belonging to God/Goddess


Upumbavu mwingine nao ni upumbavu kweli kwel

Badoo hujaonyesha werevu wako juu ya kile ninachokijua.
Bado unaonyesha ujinga wako juu ya kile usichokijua.

Mifuno ya Elimu yako ya Kipumbavu ni kwa mabwana zako unaowahusudu. Huku nikikudhihirishia kuwa Hata hao mabwana zako ni watoto wetu.

Hawana Jipya wasilolijua kutoka kwetu. Misingi ya Ujinga wako hautaweza ng'ooka mpaka pale utakapoelewa Nani aliweka Platiform ya hiki unachofikiria wataka kukifahamu.

Elimu yako ni potofu na ni dhaifu sana. Hata hujengi hoja ili werefu tujifunze au tukurekebishe kwa maarifa ya kukujenga kijeshi la KUMILITARISE OUR AFRICAN PRIDE.

AMKA KWA KUJENGA HOJA YA KUSAIDIA JAMII NA FAMILIA YAKO. MTI MWEMA HUZAA MATUNDA MEMAA KAMWE HAUZAI MATUNDA MABAYA.

MY PEOPLE ARE DESTROYED BECAUSE THE LACK OF KNOWLEDGE
 
Badoo hujaonyesha werevu wako juu ya kile ninachokijua.
Bado unaonyesha ujinga wako juu ya kile usichokijua.

Mifuno ya Elimu yako ya Kipumbavu ni kwa mabwana zako unaowahusudu. Huku nikikudhihirishia kuwa Hata hao mabwana zako ni watoto wetu.

Hawana Jipya wasilolijua kutoka kwetu. Misingi ya Ujinga wako hautaweza ng'ooka mpaka pale utakapoelewa Nani aliweka Platiform ya hiki unachofikiria wataka kukifahamu.

Elimu yako ni potofu na ni dhaifu sana. Hata hujengi hoja ili werefu tujifunze au tukurekebishe kwa maarifa ya kukujenga kijeshi la KUMILITARISE OUR AFRICAN PRIDE.

AMKA KWA KUJENGA HOJA YA KUSAIDIA JAMII NA FAMILIA YAKO. MTI MWEMA HUZAA MATUNDA MEMAA KAMWE HAUZAI MATUNDA MABAYA.

MY PEOPLE ARE DESTROYED BECAUSE THE LACK OF KNOWLEDGE

wwanza asili ya hicho unakiamini sio misri ni wao wali adapt, pili nayo inamwanzalishi kama dini nyingine, Tatu nayo ni dini yenye kuabudu mungu kama ilivyo ukristo uislim, Buddha, uyahudi na dini nyingnezo.

Kumbe na ww ni wale wenyekufuata mambo ya kukaririshwa
 
wwanza asili ya hicho unakiamini sio misri ni wao wali adapt, pili nayo inamwanzalishi kama dini nyingine, Tatu nayo ni dini yenye kuabudu mungu kama ilivyo ukristo uislim, Buddha, uyahudi na dini nyingnezo.

Kumbe na ww ni wale wenyekufuata mambo ya kukaririshwa

Hapa sasa patamu. Kwanza utujuze waliadapt kutoka wapi na kwa nani. Tupe Source kama ushahidi. ndipo tuanze kujadili hoja ulioleta.
Na wapenda sana watu kama nyinyi.
 
Jambo hilo raisi sana kama tutaamuwa kuwafanya wao ni watu duni sana kama watuonavyo sisi lakini Africa yote tuna ufinyu wa akili kwamba baada ya Mungu anafuatia mzungu kwahilo tu hatuwawezi.
 
Jambo hilo raisi sana kama tutaamuwa kuwafanya wao ni watu duni sana kama watuonavyo sisi lakini Africa yote tuna ufinyu wa akili kwamba baada ya Mungu anafuatia mzungu kwahilo tu hatuwawezi.

Ndg UMENENA. NAUNGANA NA WEWE. ACHA TUWAELIMISHE WALIOBADO WATUMWA WA KIFIKRA.
ILI JESHI LIWE KUBWA.

MAPINDUZI YA KIAKILI DAIMA
 
Back
Top Bottom