Je, iwapo Spika ni Mbunge ni wakati gani anakula kiapo cha Ubunge mbele ya Bunge?

Je, iwapo Spika ni Mbunge ni wakati gani anakula kiapo cha Ubunge mbele ya Bunge?

Katiba inasema mtu yeyote mwenye sifa za kuwa mbunge anaweza kuwa Spika. Ila kabla ya kuanza kazi za uspika anatakiwa kula kiapo mbele ya National Assembly.

Amandla...
 
Kulingana na sheria ya Bunge Spika ataapishwa na katibu wa bunge mbele ya Bunge. Baada ya kuapa ndipo ataanza kazi rasmi na kimsingi kazi yake ya kwanza itakuwa ni kuwaapisha wabunge. Na kimsingi kiapo anachoapa yeye(Spika) hakina tofauti sana na kile ambacho wataapa wabunge wengine
 
Katiba inasema mtu yeyote mwenye sifa za kuwa mbunge anaweza kuwa Spika. Ila kabla ya kuanza kazi za uspika anatakiwa kula kiapo mbele ya National Assembly.

Amandla...
Kwahiyo Spika anaapa mbele ya national assembly halafu ndio anawaapisha wabunge?

Fafanua Tafadhali!
 
Kulingana na sheria ya Bunge Spika ataapishwa na katibu wa bunge mbele ya Bunge. Baada ya kuapa ndipo ataanza kazi rasmi na kimsingi kazi yake ya kwanza itakuwa ni kuwaapisha wabunge. Na kimsingi kiapo anachoapa yeye(Spika) hakina tofauti sana na kile ambacho wataapa wabunge wengine
Mbele ya bunge maana yake ni nini?

Maana wabunge wanakuwa bado hawajaapishwa!
 
Back
Top Bottom