Mbumbumbu ni wewe na Sizonje mmetuwekea Kaimu Jaji Mkuu. Mbumbumbu unamjibu kimbumbumbu
Sikia Dada angu mm sio mfuasi wa sizonje najaribu kukuelewesha uwe mwakini unajibu maswaliMbumbumbu ni wewe na Sizonje mmetuwekea Kaimu Jaji Mkuu. Mbumbumbu unamjibu kimbumbumbu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona huulizi polisi anamkata polisi mwenzie?mtuhumiwa ni mtuhumiwa tu anakamatwa bila shida
Sent using Jamii Forums mobile app
Inategemea kaitwa kama nani shahidi au mshtakiwa/mtuhumiwa?Na Kama Jaji Mkuu akifikishwa Mahakamani anakuwa bado Jaji Mkuu?
Jaji mkuu ana immunity pia mkuu,sio kirahis kukamatwa kama raia wa kawaida..ndo maana kuna taasisi ya kushughulikiwa sector ya mtu anaye vacancy lawKwani katika nchi hii ukiondoa Rais wa JMT ni nani tena mwenye kinga ya kutoshitakiwa?
Majaji nao wana kinga ya kutoshtakiwa ,judicial immunityKwani katika nchi hii ukiondoa Rais wa JMT ni nani tena mwenye kinga ya kutoshitakiwa?