Je, January na Nape ndio Tume ya Uchaguzi?

Je, January na Nape ndio Tume ya Uchaguzi?

Mwande na Mndewa

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2021
Posts
1,117
Reaction score
3,153
Januari na Nape kuondolewa sio faraja kabisa kuelekea Uchaguzi,

Hivyo tutafakari ya mwaka 2015 walio yafanya tunaweza kujiuliza ni kweli wameondolewa au watanzania wamefanyiwa kiini macho,

Hao vijana ni hatari sana mfumo unaweza kuwa unahadaa umma sio rahisi kihivyo kabisa katikati ya nyakati ngumu SSH akawa na nguvu za utenguzi

Kauli ya Nape inaviashiria vya Kuonyesha kuwa wao ndio Tume.

Ninaogopa kusema mengi lakini moyo wangu unanituma katika majasusi na wataalam wa uchaguzi ni January na Nape.

Ukweli wa Mungu hao ndio Tume wenyewe wamepumzishwa kiaina lakini Wanamajukum mazito kuliko Uwaziri maana Uchaguzi ni zaidi ya Uwaziri.

😷😷..Tuendelee alipo Ishia Nape kama alivyo sema Bukoba

Pia soma
- Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
 
ogopa huu mnara
GTCZDDYWUAACx24.jpg
 
Umesema ukweli mtupu. Hizo injini mbili haziwezi kamwe katu kuwekwa pembeni.

Watanzania wengi wanadhani uwaziri ndio dini ya siasa. Hawajui kwamba kuna mizizi mikuu huko ndani.
 
Januari na Nape kuondolewa sio faraja kabisa kuelekea Uchaguzi,

Hivyo tutafakari ya mwaka 2015 walio yafanya tunaweza kujiuliza ni kweli wameondolewa au watanzania wamefanyiwa kiini macho,

Hao vijana ni hatari sana mfumo unaweza kuwa unahadaa umma sio rahisi kihivyo kabisa katikati ya nyakati ngumu SSH akawa na nguvu za utenguzi

Kauli ya Nape inaviashiria vya Kuonyesha kuwa wao ndio Tume.

Ninaogopa kusema mengi lakini moyo wangu unanituma katika majasusi na wataalam wa uchaguzi ni January na Nape.

Ukweli wa Mungu hao ndio Tume wenyewe wamepumzishwa kiaina lakini Wanamajukum mazito kuliko Uwaziri maana Uchaguzi ni zaidi ya Uwaziri.

😷😷..Tuendelee alipo Ishia Nape kama alivyo sema Bukoba

Pia soma
- Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wizi wa kura unaohusisha vyombo vyote vya dola ni mfumo rasmi ndani ya CCM hivyo unafanya kazi bila ya wawili hao kuwepo. Ni kama utekaji wa wakosoaji wa Serikali, ni mfumo ndiyo maana hata baada ya kuondoka Magufuli ambaye aliutumia kwa kiwango kikubwa sana bado ungali unaendelea tena kwa sasa ukikaribia kufikia kiwango kile cha awamu ya tano.
 
Umesema ukweli mtupu. Hizo injini mbili haziwezi kamwe katu kuwekwa pembeni.

Watanzania wengi wanadhani uwaziri ndio dini ya siasa. Hawajui kwamba kuna mizizi mikuu huko ndani.
Tanzania ya leo siyo ile ya 2019/2020 chochote kikifanyika kama hadaa wananchi watafuatilia na kusababisha viral snitching mbaya
 
Januari na Nape kuondolewa sio faraja kabisa kuelekea Uchaguzi,

Hivyo tutafakari ya mwaka 2015 walio yafanya tunaweza kujiuliza ni kweli wameondolewa au watanzania wamefanyiwa kiini macho,

Hao vijana ni hatari sana mfumo unaweza kuwa unahadaa umma sio rahisi kihivyo kabisa katikati ya nyakati ngumu SSH akawa na nguvu za utenguzi

Kauli ya Nape inaviashiria vya Kuonyesha kuwa wao ndio Tume.

Ninaogopa kusema mengi lakini moyo wangu unanituma katika majasusi na wataalam wa uchaguzi ni January na Nape.

Ukweli wa Mungu hao ndio Tume wenyewe wamepumzishwa kiaina lakini Wanamajukum mazito kuliko Uwaziri maana Uchaguzi ni zaidi ya Uwaziri.

😷😷..Tuendelee alipo Ishia Nape kama alivyo sema Bukoba

Pia soma
- Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
I said this watu wakapinga
 
Ccm ni ileile, watu ni walewale. Ni kama kutoa kwa mkono wa kulia, upokee kwa mkono wa kushoto. Huenda wanajiandaa na kazi maalum.
Toka kujiuzulu yule Naibu Waziri ni mipango, hapa tayari Watanzania wanasahau yote, ngoja waje wapigwe na kitu kizito, tuko hapa.
 
Ccm ni ileile, watu ni walewale. Ni kama kutoa kwa mkono wa kulia, upokee kwa mkono wa kushoto. Huenda wanajiandaa na kazi maalum.
Toka kujiuzulu yule Naibu Waziri ni mipango, hapa tayari Watanzania wanasahau yote, ngoja waje wapigwe na kitu kizito, tuko hapa.
Ccm ni ile ile nashangaa watu hawashtuki
 
Wizi wa kura unaohusisha vyombo vyote vya dola ni mfumo rasmi ndani ya CCM hivyo unafanya kazi bila ya wawili hao kuwepo. Ni kama utekaji wa wakosoaji wa Serikali, ni mfumo ndiyo maana hata baada ya kuondoka Magufuli ambaye aliutumia kwa kiwango kikubwa sana bado ungali unaendelea tena kwa sasa ukikaribia kufikia kiwango kile cha awamu ya tano.
Nape na Makamba wanaonewa tu. Hawana nguvu hiyo.
 
Januari na Nape kuondolewa sio faraja kabisa kuelekea Uchaguzi,

Hivyo tutafakari ya mwaka 2015 walio yafanya tunaweza kujiuliza ni kweli wameondolewa au watanzania wamefanyiwa kiini macho,

Hao vijana ni hatari sana mfumo unaweza kuwa unahadaa umma sio rahisi kihivyo kabisa katikati ya nyakati ngumu SSH akawa na nguvu za utenguzi

Kauli ya Nape inaviashiria vya Kuonyesha kuwa wao ndio Tume.

Ninaogopa kusema mengi lakini moyo wangu unanituma katika majasusi na wataalam wa uchaguzi ni January na Nape.

Ukweli wa Mungu hao ndio Tume wenyewe wamepumzishwa kiaina lakini Wanamajukum mazito kuliko Uwaziri maana Uchaguzi ni zaidi ya Uwaziri.

😷😷..Tuendelee alipo Ishia Nape kama alivyo sema Bukoba

Pia soma
- Uteuzi na Utenguzi: Nape, January na Byabato out! Jerry Silaa ahamishiwa Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari
Wameaondolewa serikalini hawakuondolewa CCM.

Kumbuka hilo.
 
Back
Top Bottom