Mwana Mtoka Pabaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 15,118
- 16,485
Huo wimbo hata mimi naupenda oh bella ciao bella ciaoo
Nakumbuka mkuu BAK kama vile nilisha wahi kuona tena uzi kama huu hapa JF enzi za Jamboforums.
In profesor's Voiceuna matina, mi son alzato bella ciao bella ciao
Nu partigano...........
Kuna ule mwingine pia ni mzuri...kwenye seoson ya tatu mwanzoni..In profesor's Voice
Kabila langu. Hiyo 90 sijui ilipotokeaga
Hahaha, sikuufatilia sana huo ila ni mzuri pia....ninao ule uliobeba Movie my lifes goes on( i don't care at all, i'm lost)Kuna ule mwingine pia ni mzuri...kwenye seoson ya tatu mwanzoni..
Unaimba "Maria mirvida mi amooorrr"... Hapo kuna sauti ya Nairobi inanidatisha sana[emoji39][emoji39]
Hahaha, sikuufatilia sana huo ila ni mzuri pia....ninao ule uliobeba Movie my lifes goes on( i don't care at all, i'm lost)
Safi mkuu hata mimi namkubali sana Kylian Mbappe na nilikuwa sipendi kabisa mpira ila baada ya France kuchukua kombe la dunia mwaka jana ndiyo nikaanza rasmi kuwa shabiki wa mpira kwa sababu ya maajabu aliyoyaonesha huyo dogo na nimemuweka kwenye top four katika list yangu ya wachezaji bora dunianiMichuano ya kombe la dunia 2018, Mbappe alidominate sana, France walivyochukua kombe nikatengeneza hii ID.
Nakutwanga ban mpaka kwenye server...
Hujakosea kabisa. Bibi yake alikuwa girlfriend wangu. Tulimtimua mama yake mwaka 1989 alipopata ujauzito akiwa sekondari.
Baba swalehe wewee, mi si msomi niliatend tu kaworkshop Fulani, ndyo nikapata kusoma hako ka course, tuko sawa tu nimeishia la 4[emoji2] [emoji2]Dah tunaongea na wasomi humu
Mi nimeishia la sita b
Sina hata kibanda cha kuku aisee, how i wish[emoji30] , bila shaka you're an extrovert kama jina lako eeh, au siyo dingilai?kumbe, mi nikajua unamiliki kibanda cha MPesa 🤣🤣🤣
Dah mwanangu kumbe umesoma hivyo !!!Baba swalehe wewee, mi si msomi niliatend tu kaworkshop Fulani, ndyo nikapata kusoma hako ka course, tuko sawa tu nimeishia la 4[emoji2] [emoji2]
Ahsante sana. Ngoja ni mtagi yna2There you NAK WEDE
Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote?
Hayaka ni jina la mwanafunzi nimpendaye sana, mfupi kuliko wote darasani lakini mjanja kuliko wotewww.jamiiforums.com
Sasa kumbe mnavyotajaga sifa za wanawake mnaotaka kuwaoa huwa mnatuzeveza siyo? Sasa huyo mbona kama anazo nyingi tu na haujamuoa? Wanaume bwanaIli iweje..,?..walio kweny ndoa wenyewe wanajuta Kwanzaa sina uhusiano nae wowote maana hamkawihi kusema mara ooh namchezea sjui nampotezea mda..