To yeye
JF-Expert Member
- Oct 4, 2022
- 35,686
- 86,968
😂wivu mpaka kaburini🙌Jina kama hili sio?
Nikifa MkeWangu Asiolewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂wivu mpaka kaburini🙌Jina kama hili sio?
Nikifa MkeWangu Asiolewe
Huyu unaweza kuta ni ujumbe kaweka kua wake niwake labda asiolewe kweli lakin je kama nikweli kwa huyo aliye olewa maisha yake yatakuaje?Jina kama hili sio?
Nikifa MkeWangu Asiolewe
Mvinyo mpya tuanzie hapaNi ya ajabu "kweri kweri" in JPM voice...............
HiVi hunaga cha kuchanfia zaidi ya kuwahi sitiSiti ya kwanza kabisa toka Back Benchers.
Ubinadamu ni kazi/Humanity is a work.
Anza kutuorodheshea hayo ma-names!Kama kichwa cha habar kisemavyo sina maelezo mengi.
Je wana jf waweza jiuliza kwanin unatumia hilo jina hapa jf?
Na watu wakilisoma labda watapata ushawishi gani akilini mwao?
Sent using Jamii Forums mobile app
Akiii akifa mke wake asiolewe😂😂😂🤣🤣Jina kama hili sio?
Nikifa MkeWangu Asiolewe
Bora ya humu mengine ni bandia, yako huko duniani kwenye vitambulisho vya NIDAKama kichwa cha habar kisemavyo sina maelezo mengi.
Je wana jf waweza jiuliza kwanin unatumia hilo jina hapa jf?
Na watu wakilisoma labda watapata ushawishi gani akilini mwao?
Sent using Jamii Forums mobile app
Jina adimuKuna huyu nusu albino. A.k.a kubwa la manusu Half american
Naam kubwa la manusuJina adimu
Kuna Nini mkuuJina kama hili sio?
Nikifa MkeWangu Asiolewe