Agresive
JF-Expert Member
- Feb 18, 2018
- 890
- 1,236
AiseeKisukuma hicho maana yake "Simba wa Manyoya" unaweza kusema simba mwenye manyoya mengi.
Buyenze ni zile 'ndevu' za muhindi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AiseeKisukuma hicho maana yake "Simba wa Manyoya" unaweza kusema simba mwenye manyoya mengi.
Buyenze ni zile 'ndevu' za muhindi.
Ha ha ha haMkuu dah! Badala nije nifafanue mwenyewe [emoji51][emoji16]
Ha ha ha ameanza kukuchokozaUmeanzaaaa! [emoji2]
Aisee pole sana mkuu, ila ulibahatika kupewa mbunye hata mara moja au ulikuwa bado unafukuziaKuna binti nilimpenda sana bahati mbaya Mungu akampenda zaidi anaitwa malula,so kwa ajili ya kumbukumbu nikaligeuza na kuwa lamalu
Ha ha haShimba (Simba)
ya (lenye)
Buyenze (Manyoya)
Manyoya ya simba dume (mane) ndiyo humtambulisha jinsia yake na pia hutumika kama kivutio kwa masimba jike ambayo huchukulia urefu, uzuri wa rangi na density ya manyoya hayo kama kiashiria cha DNA nzuri. Hivyo ili simba dume liweze kutawala na kumiliki majike kadhaa ni lazima liwe na manyoya marefu, yenye afya na yenye kuvutia (kama alivyokuwa Bob Junior). Na likiunguruma kwa sauti yake ya kimamlaka huku likiyatikisa manyoya yake kila memba wa himaya yake inabidi atilie maanani na kuzingatia ujumbe uliokusudiwa maana akipuuzia anaweza hata kuuliwa.
By the way, jina hili SYB linapo-pop kichwani mwako huwa lina-pop kwa mema au mabaya? Furaha au huzuni? Upendo au chuki? [emoji16][emoji16][emoji16][emoji1545]
View attachment 2672388
View attachment 2672389
Joannah pulizi kaa mbali na jibu hili [emoji16][emoji16]
Maelezo mbashara kabisaShimba (Simba)
ya (lenye)
Buyenze (Manyoya)
Manyoya ya simba dume (mane) ndiyo humtambulisha jinsia yake na pia hutumika kama kivutio kwa masimba jike ambayo huchukulia urefu, uzuri wa rangi na density ya manyoya hayo kama kiashiria cha DNA nzuri. Hivyo ili simba dume liweze kutawala na kumiliki majike kadhaa ni lazima liwe na manyoya marefu, yenye afya na yenye kuvutia (kama alivyokuwa Bob Junior). Na likiunguruma kwa sauti yake ya kimamlaka huku likiyatikisa manyoya yake kila memba wa himaya yake inabidi atilie maanani na kuzingatia ujumbe uliokusudiwa maana akipuuzia anaweza hata kuuliwa.
By the way, jina hili SYB linapo-pop kichwani mwako huwa lina-pop kwa mema au mabaya? Furaha au huzuni? Upendo au chuki? [emoji16][emoji16][emoji16][emoji1545]
View attachment 2672388
View attachment 2672389
Joannah pulizi kaa mbali na jibu hili [emoji16][emoji16]
Ha ha ha hala kwangu nadhani linajieleza lenyewe[emoji23]
Ha ha hamzee una swaga sana[emoji23]
ok, nitakitafutaKuna kitabu chaitwa "The stars shine down" by Sidney Sheldon kinahusu a lady , successfully real estate developer in New York City....am a real estate expert too,there are some resemblance with that character (the Ironbutterfly[emoji120]kitafute usome,it's a nice book.
Majina ya humu ni burudani tosha.Mi Mara nyingi naanza na kusoma comment ikinivutia sana,lazima niangalie jina la mwandishi,mziki kwenye majina sasa!!!
AiseeMie nikiona hii I'd yako, namkumbuka character m1 ktk Korea Drama inayoitwa "Endless Love" alikua mke wa waziri mkuu, ila hustles zake humo ni balaaa, ndo alikua anatumia hili name "ironbutterfly"
Aisee hongeraNilikuwa na jina langu la Riyan nikafutiwa akaunti.
Nikabadilisha na kuitwa liyan.
Nalipenda jina la Riyan kiasi cha kupangilia majina ya watoto wangu kuwa
1.Ian
2.Ivan
3Riyan
AiseeMm lina maana kwamba nliishi german kipind flan so nlikubali harakat za adolf hitler ndo nkapata ilo jina
Mkuu hapa kupata hiyo code shuguli tenaJina langu ukijumlisha herufi zote ukagawa kwa 100 ukazidisha kwa 10 ukatoa 7 ukajumlisha na 2 inakuletea code namber Ila sitaitaja hapa kwa kua itifaki imezingatiwa unaweza ukafungua code na ilichukua walau saa 1 tu kuandaa mpaka likaja jina Mpetde
Ndio ni hivyo tu nasikia eti IGAUFE ni mdogo ake na IGA
[emoji15][emoji15][emoji15]Wengine tunatumia majina ya kazi
🫣🫣Linapop kwa mema [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]na kila nikilikumbuka huwa nacheka tu[emoji3][emoji3][emoji3] now nimeshapata maana yake
Ila daah[emoji3]
Kumbe bado singleJina nalipenda sana Lina maanasawa na jinalangu
Natamani liwepo kwenye ukoo wetu au nikipata mtoto inshallah
Mtakuwa mnaniita mama Aaliyah [emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059]
we jamaa wewe😅😅Nilijua umemeza machicha ya Nazi yanakukereketa.🤦🤦