Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote?

Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote?

Kuna binti nilimpenda sana bahati mbaya Mungu akampenda zaidi anaitwa malula,so kwa ajili ya kumbukumbu nikaligeuza na kuwa lamalu
Aisee pole sana mkuu, ila ulibahatika kupewa mbunye hata mara moja au ulikuwa bado unafukuzia
 
Shimba (Simba)
ya (lenye)
Buyenze (Manyoya)

Manyoya ya simba dume (mane) ndiyo humtambulisha jinsia yake na pia hutumika kama kivutio kwa masimba jike ambayo huchukulia urefu, uzuri wa rangi na density ya manyoya hayo kama kiashiria cha DNA nzuri. Hivyo ili simba dume liweze kutawala na kumiliki majike kadhaa ni lazima liwe na manyoya marefu, yenye afya na yenye kuvutia (kama alivyokuwa Bob Junior). Na likiunguruma kwa sauti yake ya kimamlaka huku likiyatikisa manyoya yake kila memba wa himaya yake inabidi atilie maanani na kuzingatia ujumbe uliokusudiwa maana akipuuzia anaweza hata kuuliwa.

By the way, jina hili SYB linapo-pop kichwani mwako huwa lina-pop kwa mema au mabaya? Furaha au huzuni? Upendo au chuki? [emoji16][emoji16][emoji16][emoji1545]

View attachment 2672388
View attachment 2672389


Joannah pulizi kaa mbali na jibu hili [emoji16][emoji16]
Ha ha ha
 
Shimba (Simba)
ya (lenye)
Buyenze (Manyoya)

Manyoya ya simba dume (mane) ndiyo humtambulisha jinsia yake na pia hutumika kama kivutio kwa masimba jike ambayo huchukulia urefu, uzuri wa rangi na density ya manyoya hayo kama kiashiria cha DNA nzuri. Hivyo ili simba dume liweze kutawala na kumiliki majike kadhaa ni lazima liwe na manyoya marefu, yenye afya na yenye kuvutia (kama alivyokuwa Bob Junior). Na likiunguruma kwa sauti yake ya kimamlaka huku likiyatikisa manyoya yake kila memba wa himaya yake inabidi atilie maanani na kuzingatia ujumbe uliokusudiwa maana akipuuzia anaweza hata kuuliwa.

By the way, jina hili SYB linapo-pop kichwani mwako huwa lina-pop kwa mema au mabaya? Furaha au huzuni? Upendo au chuki? [emoji16][emoji16][emoji16][emoji1545]

View attachment 2672388
View attachment 2672389


Joannah pulizi kaa mbali na jibu hili [emoji16][emoji16]
Maelezo mbashara kabisa
 
Kuna kitabu chaitwa "The stars shine down" by Sidney Sheldon kinahusu a lady , successfully real estate developer in New York City....am a real estate expert too,there are some resemblance with that character (the Ironbutterfly[emoji120]kitafute usome,it's a nice book.
ok, nitakitafuta
 
Mie nikiona hii I'd yako, namkumbuka character m1 ktk Korea Drama inayoitwa "Endless Love" alikua mke wa waziri mkuu, ila hustles zake humo ni balaaa, ndo alikua anatumia hili name "ironbutterfly"
Aisee
 
Nilikuwa na jina langu la Riyan nikafutiwa akaunti.

Nikabadilisha na kuitwa liyan.

Nalipenda jina la Riyan kiasi cha kupangilia majina ya watoto wangu kuwa

1.Ian
2.Ivan
3Riyan
Aisee hongera
 
Jina langu ukijumlisha herufi zote ukagawa kwa 100 ukazidisha kwa 10 ukatoa 7 ukajumlisha na 2 inakuletea code namber Ila sitaitaja hapa kwa kua itifaki imezingatiwa unaweza ukafungua code na ilichukua walau saa 1 tu kuandaa mpaka likaja jina Mpetde

Ndio ni hivyo tu nasikia eti IGAUFE ni mdogo ake na IGA
Mkuu hapa kupata hiyo code shuguli tena
 
Jina nalipenda sana Lina maanasawa na jinalangu
Natamani liwepo kwenye ukoo wetu au nikipata mtoto inshallah
Mtakuwa mnaniita mama Aaliyah [emoji3059][emoji3059][emoji3059][emoji3059]
Kumbe bado single
 
Back
Top Bottom