Joannah
JF-Expert Member
- May 8, 2020
- 20,921
- 49,014
Real definition ya true love.Kuna binti nilimpenda sana bahati mbaya Mungu akampenda zaidi anaitwa malula,so kwa ajili ya kumbukumbu nikaligeuza na kuwa lamalu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Real definition ya true love.Kuna binti nilimpenda sana bahati mbaya Mungu akampenda zaidi anaitwa malula,so kwa ajili ya kumbukumbu nikaligeuza na kuwa lamalu
Mm lina maana kwamba nliishi german kipind flan so nlikubali harakat za adolf hitler ndo nkapata ilo jina
Jina langu ukijumlisha herufi zote ukagawa kwa 100 ukazidisha kwa 10 ukatoa 7 ukajumlisha na 2 inakuletea code namber Ila sitaitaja hapa kwa kua itifaki imezingatiwa unaweza ukafungua code na ilichukua walau saa 1 tu kuandaa mpaka likaja jina MpetdeJe wewe ilikuwaje kupata jina lako?????
Yaan kila nikiona hii I'd, nilikua natamanigi nikuulize au baada ya kutazama ile Korea drama, ndo ukampenda yule character.Yap,hili jina ni la mwanamke mwenye harakat kabambe ktk utafutaji rizki,iwe kwenye kazi,uongozi,biashara yani ni hustlers
Linapop kwa mema 😀😀😀😀na kila nikilikumbuka huwa nacheka tu😀😀😀 now nimeshapata maana yakeShimba (Simba)
ya (lenye)
Buyenze (Manyoya)
Manyoya ya simba dume (mane) ndiyo humtambulisha jinsia yake na pia hutumika kama kivutio kwa masimba jike ambayo huchukulia urefu, uzuri wa rangi na density ya manyoya hayo kama kiashiria cha DNA nzuri. Hivyo ili simba dume liweze kutawala na kumiliki majike kadhaa ni lazima liwe na manyoya marefu, yenye afya na yenye kuvutia (kama alivyokuwa Bob Junior). Na likiunguruma kwa sauti yake ya kimamlaka huku likiyatikisa manyoya yake kila memba wa himaya yake inabidi atilie maanani na kuzingatia ujumbe uliokusudiwa maana akipuuzia anaweza hata kuuliwa.
By the way, jina hili SYB linapo-pop kichwani mwako huwa lina-pop kwa mema au mabaya? Furaha au huzuni? Upendo au chuki? 😁😁😁🙏🏿
View attachment 2672388
View attachment 2672389
Joannah pulizi kaa mbali na jibu hili 😁😁
😀😀😀😀😀ukorooooooofiiiiiHuyo Shimba ya Buyenze atakuwa kakuingia moyoni tayari amekaa zake huko ndani kwako tulii, we hujui,haiwezekani awe anapop kichwani mwako😁😁😁
We ya nini🌝ID yako ya mwanzo ilikua ipi hiyo?
😎
Nitakuepo kukupa pole😀😀😀🤭Nitalia mie sikuhiyo maana kaniweza....🥴🙆🤸🤸🤸🤸🤣🤣🙌
Umechelewa mpwa watu washafanya Yao😀😀😀Mkuu dah! Badala nije nifafanue mwenyewe 😬😁
Aisee hongera, jimbo lina mtu kama liko wazi nitangaze nia, maana naona hapa kuna wife materialUa la kipekee ni kwa sababu watu wangu wakaribu wananiona mie special , caring, so wananichukilia hivyoo ,niko very unique nikandika unique flower
Kwa hiyo jina linasadifu uhalisia wa maisha yakoMzungu_bahili Nilisoma uzi wa Mzungu pori uku nikapata idea ya ID mpya, Ila nikakuta Kuna mtu anajiita Mzungu Pori so nikaamua nijiite ivyo coz mm ni mbahili.
Ha ha ha kwa hiyo tusikuchulie poa ngazi ya familia we ni mtu mkubwa ChiefMangi shangali
Ni jina la babu yangu kipindi hicho alikuwa chief tena anayeogopewa sana.
Sasa niliona nimuwenzi kwq kujiita jina hilo na mimi pia nina uchief