Boeing 747
JF-Expert Member
- Mar 30, 2018
- 3,515
- 9,415
Vipi upatikanaji wa hizo kazi??
Kazi za kawaida kama hizo za usafi kwa kipindi hicho ilikuwa $7 kwa lisaa limoja...kwamfano kwa wiki ukifanya masaa 40 x 7 = $280 kwa wiki..endapo unafanya full time... $280 x 4= $ 1120 kwa mwezi....ambazo ni zaidi ya milioni 2.3 za kibongo...huyo ni mfanya usafi anayefanya masaa nane kwa siku..siku tano za wiki.....
Nadhan accountant wa hapa Bongo anaweza kutengeneza pesa nyingi za dili magumashi....si mshahara...kule hakuna dili magumashi
Ukiwa huko lazima uwe na document moja inaitwa Work Permit na nyingine inaitwa Social Security Number.....bila hizo huwezi kuajiriwa popote...ni kinyune cha sheria ya nchi ile...
Na aliyeturoga alikufa zamani za kale
Hizo documents zinapatikana wapi?Ukiwa huko lazima uwe na document moja inaitwa Work Permit na nyingine inaitwa Social Security Number.....bila hizo huwezi kuajiriwa popote...ni kinyune cha sheria ya nchi ile...
Kweli maisha ni gharama...kwa mfano nilikuwa naishi kwenye nyumba ambayo nalipa $ 310 kwa mwezi,Umeme $30 mpaka 35, internet 25 mpaka $30 kwa mwezi...Sasa mkuu maisha siyo gharama kule maana si unajua uchumi wa wenzetu? Unaweza kuta mtu anaingiza hata million 3 kwa mwezi lakini matumizi yake kwa mwezi yakamaliza karibu huo mshahara wake wote na hapo ni kwa basic needs tu!
Ni kweli...sisi hatuwezi kushikana mikono sehemu yenye fursa...na pia tuna desturi ya kupuuza mambo mpaka tushuhudie kwa macho kuwa fulani amefanikiwa......
Kwa mfano hata matokeo ya Green card lottery yanapotoka, watz huwa tunachezea 200 mpaka 500 hivi ....wakenya 1500+....
Wenzetu wanapeana information ambazo ni positive, sisi tunapeana Sigara, pombe na majungu..
OIL CHAFU nayo unahitaji maelezo yake?
Duuh na makato ya kodi yakoje??Kweli maisha ni gharama...kwa mfano nilikuwa naishi kwenye nyumba ambayo nalipa $ 310 kwa mwezi,Umeme $30 mpaka 35, internet 25 mpaka $30 kwa mwezi...
Kula ...nilikiwa nafanya shopping ya mwezi ya vyakula vya kawaida mbavyo ni vya Kitz..ilinigharimu around $200..
Nyumba ilikwa na bedrooms 2,sebule, jiko na bafu..gharama yake ilikuwa $620....tulikuwa wawili hivyo tuligawana hii kodi ya nyumba.
Kuishi kule inatakiwa kwa mwezi uwe na uwezo wa kutengeneza angalau $2000 kwenda juu..
Nilipichanganya malipo yangu ya mwezi na part time jobs, nilifikia malengo hayo na kuzidi..
Hahahah bongo hatunyimani majungu tunanyimana fursa
Kwa sasa sijajua kama utaratibu umebadilika au la...ila kwa kila bidhaa niliyonunua kodi ilikuwa 10% kama sikosei..kwa malipo ya kazi, kwa mfano ukilipwa $9 kwa lisaa, kodi inakuwa ilishakatwa huko huko...Duuh na makato ya kodi yakoje??
@Abu @HurairahAsalam wanajamvi?
Niende moja kwa moja kwenye mada! nini kilichopo nyuma ya hilo jina. Nini unakikumbuka ukajiita hilo jina! yapo majina mengi yanatoa tafakari na burudani!
Nikianza na mimi kindikinyer leborosier
Ni muunganiko wa vijiji vinne vilivyoandkwa kwa kifupi:
Kindi ni kijiji kimoja kipo kibosho kilimanjaro ambapo niliwahi kukaa kwa miaka minne nilijifunza uchaga na tamaduni zao zilinivutia na hua napakumbuka sana!
Kinyer (lendikinya) ni mtaa mmoja upo monduli umasaini niliwahi kwenda kusanya data nikajifunza mambo mengi ya kimasai.
Na tamaduni zao pia!
Leboro ni kijiji kingine kipo Manyara wilaya ya mbulu kata ya mama isara, ni chimbuko la wambulu (wairaki) niliwahi kwenda kukaa na kufanya shughuli zangu pale kwa muda pia, ni mahali pako vizur sana milima ile hali ya hewa ya ubaridi.. napakumbuka sana!
Na mwisho sier (esere) ni kijiji kipo wilaya ya ngorongoro mkoa wa Arusha kata ya enduleni, hapa kuna mambo mengi sana yalinifanya niishangae sana Tanzania, madini, mapango ya kale, na nyayo za mtu wa kale ambae zipo pembeni kidogo panaitwa laitolye, wanaishi wamasai nilijifunza mengi pia!!
Nini kinakukumbusha ukitazama jina lako la JamiiForums!!
Uzi tayari
@Abu @Hurairah
Origins of reverence
One of Muhammad's companions was known as Abu Hurairah (literally: "Father of the Kitten") for his attachment to cats.
Interesing.. I would love to read these worksHofstede: I admire the work of Geert Hofstede founder of five dimensions of culture in his study of national work related values:
1. Low vs. high power distance - This dimension measures how much the less powerful members of institutions and organizations expect and accept that power is distributed unequally
TZ tupo kwenye high power distance kwani viongozi wetu wengi wanajiona ni miungu watu, na kiburi hicho kinatokana na vyeo vya kupewa na kuiba kura. Mkuu wa mkoa kama angekuwa anapigiwa kura huru na haki jimboni basi angewajibika kwa wananchi na siyo kwa aliyemteua, sama tu most leaders hasa vijijini watu wananyanyasika sana.
2. Individualism vs. collectivism - This dimension measures how much members of the culture define themselves apart from their group memberships
Tulikuwa kwenye collectivism wakati wa Nyerere, Sasa tumeingia kwenye Individualism kwa kasi, viongozi hawajali wananchi kila mtu on your own, wananchi nao hawathaminiani kwa maisha magumu sana. "Struggle for existance, survival for the fittest"- rule of the jungle ndiyo inatawala Tanzania ya sasa.
3.Masculinity vs. femininity - This dimension measures the value placed on traditionally male or female values (as understood in most Western cultures). In so-called 'masculine' cultures, people value competitiveness, assertiveness, ambition, and the accumulation of wealth and material possessions.
TZ tupo kwenye masculinity japo mitandao ya TGNP imefanya kazi kupunguza
4. Low vs. high uncertainty avoidance - This dimension measures how much members of a society attempt to cope with anxiety by minimizing uncertainty.
Tanzania tupo kwenye "high uncertainty avoidance" kwani ni waoga sana hatuko tayari kuchukua maamuzi mazito yatakayoipeleka mbele nchi yetu. Wapiga kura wanaogopa kuandamana wakiibiwa, Polisi wanaogopa kuwakamata wizi wa kura CCM, Mkurugenzi anaogopa kujaribu idea yake ya kuleta maendeleo mpaka aambiwe na IKULU, Ikulu wanaogopa kuwachukulia hatua mafisadi huenda watawalipua mabaya yao, Bado ili mradi ni kukimmbia risk tu japo inaweza kuwa na reward kubwa.
5. Long vs. short term orientation - This dimension describes a society's "time horizon," or the importance attached to the future versus the past and present
Tanzania tupo kwenye short term orientation Hatuna mipango ya muda mrefu na kama ipo ni kwenye makaratasi tu hakuna anayepata ptessure ya kuitekeleza. Nakumbuka zamani miaka ya 80s tulikuwa na mipango tunaita 2005, 2010, 2012 etc ikimaanisha mwaka huo kitu fulani kitakuwa kimefanyika, lakini mwaka ukifika tunakifuta kwenye porojo na kukisahahu kabisa. Poor focus