Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote?

Kuna jamaa humu anaitwa Msalani ......[emoji13] [emoji13] [emoji13]
Huyu inaelekea alikua maliwato na sim wakati anaperuzi jf ndipo aka create hii I'd .....[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Reactions: BAK
Mwingine anajiita eti K ni K.....[emoji13] [emoji13]
Huyu inaelekea alikua kwenye makatiko wakati ana create hii I'd....[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
zlatan because i have got that EGO..and i think am somehow cool and gentleman..
 
Reactions: BAK
Sigara nimejiita hivi kama kumbukumbu ya babu yangu alikua anapenda sana kuvuta sigara Kali zile zikiitwa nyota ,pamoja na tumbaku ya kusokota muda wote yeye ni kupuliza Tu SIGA.R.I.P Grandpa
 
Reactions: BAK
dragoon /drəguun/ =noun an armed soldier on a horse. The dragoons attacked the French cavalry. verb =to force someone.
 
AbiClever Junior ,Abi ni neno la kiarabu lenye maana ya Baba Clever ni mjanja Junior ni mdogo/kijana kwahiyo AbiClever junior ni Kijana wa Baba mjanja ,baba yangu ni Clever/Sneaky Kwel
 
Reactions: BAK
Bigbootylover-Mpenda mawowowo ya wanawake, mizigo chura, shindu, n.k Yaani mimi mwanamke kama hana sifa hiyo basi ni kazi bure, hawezi kunivutia kimapenzi vinginevyo awe rafiki tu au nimchukulie kama dada yangu.
 
Reactions: BAK
Wenye ID mbili mbili lazima wachanganye mambo tu wakuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
ID yangu inamaanisha MPWA kwa kikabila chetu.
Nimeamua kuwa na hii Id kwa sababu tangu utotoni nimelelewa na my Auncle hadi na kanisapoti kielimu hadi nimefika chuo kikuu.
Auncle akiwa ananitambulisha kwa watu lazima aseme huyu ni Mpwa wangu, kwahiyo nimeamua kuwa na Id ya hivi kama kumkumbuka na kumuenzi kwa fadhila alizonifanyia.


 
Mkuu japo Uzi ni wa muda mrefu, tangu 2009, Nadhani bado ninayo nafasi kuchangia, ili wanachama wenzagu ndani ya JF, wapate kujua ni kwa nini natumia jina/id ya ya Mgodo visa.

Ilikuwa ni 1992, nakumbuka nilikuwa moja ya Madarasa (ningeomba nisitaje) katika shule ya Msingi Kibasila.

Kwa ufupi, nilikuwa ni mtu wa Story nyingi za Vituko na Matukio, nilikuwa ni moja ya watu wachekeshaji na nisie kaukiwa na Vibweka (yote hii ilisababishwa na Mzee wangu kumiliki Runinga mapema).

Siku moja katika Maongezi, ilitokea ndani yake badala ya kutamka neno MDOGO, mimi nikatamka MGODO...

Basi hapo ndipo kama jina lilizaliwa.
Kila mmoja anajua, pale unapo jifanya mjuaji, na bahati mbaya UKACHAPIA..

Jina lilinibamba, watu Mgodo...Mgodo..na wengine wakaongezea neno Visa.. (likazaliwa Mgodo visa)

Bahati nzuri/mbaya nikaenda/nikachaguliwa Elimu ya Sekondari, shule moja na baadhi ya class mate, jina Mgodo visa likaendelea...kutokana na kuendelea na Vituko au mbwembwe.

Wanafunzi wengine wakaona jina hilo limekaa mahala pake....yaani acha tu wana JF, Jina langu halisi, mpaka ndugu zangu wenyewe wameshaa lisahau..but life goes on, jina ni utambulisho tu, no matter ni zuri au baya.

Ndio maana yupo na MASUDI KIPANYA..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…