Je, jina lako/ID unalotumia JamiiForums lina maana yoyote?

Napenda sna formula 1 grand prix,vle vle gp ina personal meaning,io rooney nliitwa hvyo siku nakanyaga old trafford km tour,na homeguys walpendelea kuniita hvyo uwanjani til nlipoacha soka 7b ya injury,tho jina lmekuaaaaa.. fact/fiction [emoji41]
Mkuu ushafika OT kweli kwenye stadium tour!!..
 
James is the name. Comey nimeifanya kama character tuu ya yule jamaa wa US kulingana na his attention to tin tine details
 
Mbao za Mawe Jina hili nililitumia kwa sababu Mbao za Mawe hata uzigonge msumari ni kazi bure hata uzipige randa utakuwa unasumbua akili yako.

Ili kuepuka usumbufu wote huo unatakiwa ufuate misingi ya hizi mbao ili uweze kuzitumia (Urefu na upana) itakubidi upana wako na urefu wa kazi yako ufuate kipimo kilichopo kwenye mbao na sio mbao za mawe zifuate vipimo vyako.

Mbao hizi pia hazipatikani kiholela na hata ubebaji wake ni shughuli kubwa kwani lazima uwe na nguvu za kubeba mbao hizi.
 
Mm niliuliza another name for shoulder joint ni lipi!!? It was during oral examination ya anatomy enzi nikiwa first year...nilisahau jibu kisa kupanik kumbe n glenohumeral joint...ndio mpk Leo Niko HV na sisahau tena,chezea temp ya oral ww...unaweza jisahau hata jina
 
HAINA UHUSIANO. KAZI YAKE NI KUSHAURI VICHAA ILI WAWE NA AKILI NZURI.
 
Zinapatikana wapi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…