Je jopo lililomshauri Magufuli limerudishwa ikulu kumshauri samia?

Je jopo lililomshauri Magufuli limerudishwa ikulu kumshauri samia?

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
4,118
Reaction score
9,864
Baada ya Sakata la DPW upepo wa siasa umebadilika sana ni dhahiri mama kashagundua alikuwa amezungukwa na ukoo wa panya.

Hii pangua pangua. Weka ma meja general kaanza kurudi kwa mtangulizi wake

kuna kila dalili timu ya washauri imeshabadilika
 
Baada ya Sakata la DPW upepo wa siasa umebadilika sana ni dhahiri mama kashagundua alikuwa amezungukwa na ukoo wa panya.

Hii pangua pangua. Weka ma meja general kaanza kurudi kwa mtangulizi wake

kuna kila dalili timu ya washauri imeshabadilika
Ni bure uwezi kumshauri mpumbavu kuwa ana akili ...mpumbavu ni mpumbavu tu kwamwe mpumbavu hawezi kumiliki akili bora na madhubuti ...washauri wazuri wanafanya kazi nzuri pale wanaye mchauri anapokuwa ni mtu mwenye akili kubwa na asiye mpumbavu
 
Back
Top Bottom