Je, Jua ni Mungu?

Jua ni moja ya nyota ndogo , sio kweli kwamba maisha ulimwenguni yanategemea jua , jua ni center ya sayari zetu hizi kwenye galaxy ambayo tunapatikana , jua ni dogo sana ukilinganisha na baadhi ya nyota kubwa sana post hii imejaa upotoshwaji.
Hizo nyota zingine kubwa kuliko jua zinatabia ya ku- explode na kusambaratika na umbali wake ni mkubwa sana na ilipo dunia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…