Kisheria, wanaotakiwa kufanya msako ni polisi, unless otherwise, itangazwe nchi iko kwenye hali ya hatari.Hata hivyo, nashauri mipaka I ngelindwa vema, ili mavazi yasiyotakiwa ndani ya nchi kisheria, yasiingizwe.Sasa kwasababu inasemekana mavazi yameingia ndani ya nchi (ingawa sijui yameingiaje, ilhali huwa tunaaminishwa kua mipaka hulindwa usiku na mchana), basi wizara ya mambo ya ndani, kupitia jeshi la polisi, nadhani ndiyo wana jukumu la kufanya upekuzi. Wanaojua kwa usahihi zaidi,watatiririka.