Je, kabila la Masai walishindana kivyovyote na Wakoloni?

Je, kabila la Masai walishindana kivyovyote na Wakoloni?

Wamasai asili yao ni kuhama hama, mali kubwa wanayoithamini ni mifugo....na ili kupambana lazima uwe na cha kupambania na uwe na sababu inayokidhi.

Njia pekee ya kumchokoza Mmasai umnyang'anye/umuibie Ng'ombe wake....sasa Mkoloni na Ng'ombe wapi na wapi?.

Hao wengine walilazimika kupambana kupigania mashamba/ardhi zao.
Hahahahah mkoloni hakuwa na time na ng'ombe.
 
Wamasai ni jamii ya viumbe wa porini wanaofanana na binadamu, unaweza kuona hadi leo 'evolution' inaendelea…. miaka 200 nyuma unafikiri walikuwaje?
 
Ukifuatilia makabila mengi yalioonesha resistance ni yale yaliotawaliwa na waarabu au kulikuwa na waarabu nyuma yao. Waarabu waliwahimiza kuwapinga wakoloni kwa kuwa walikuwa ni wakristo ndo maana ukiangalia resistance nyingi zilitokea mkoa wa pwani na tabora ambapo waarabu walijiestablish. Makabila yaliowapokea wakoloni ni yale ambayo hayakuwa na influence ya waarabu kama kanda ya kaskazini wote, na wahaya,wanyakyusa na hawa ndo watu wenye maendeleo leo hii
Sio kweli..Mtemi Mirambo aliwanyuka waarabu na wazungu bila kujali dini zao. Mrugaruga mvuta bangi anajali nini kuhusu dini yako?
 
Historia inatufundisha kuwa wakati wakoloni wanaingia Wamasai wa huku Bongo walikumbwa na kadhia mbili ambazo ziliwateza nguvu na kufanya washindwe kupambana na mkoloni wakaamua kuwa wapole tu. Moja ni mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu kule Umasaini ulioua watu wengi na ugonjwa wa ndigana ulioua mifugo yao mingi.
Bila kusahau mafunza
 
Back
Top Bottom