Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseeee...kwahiyo mimi simfai???!Hey kabila sio muhimu bali tabia binafsi ndo muhimu!Siku hizi watu hawatambuliki kwa makabila wala koo zao tena kutokana na maendeleo kwahiyo we ukipata wa kabila lolote anayekidhi vigezo vyako jipatie mke!Usije ukadanganyika na kabila ndani ukaambulia usiyotarajia kisa tu umeambiwa kabila lake ni zuri!to be honest ingawa tunasema sio muhimuso far ..ukikuta wa machame original...mhhhhhhhhhau mhaya wa bukoba kabisa mhhhhhhhhhau mzaramo wa kisamvulechole kabisa mhhhhhhhhhhh
Aiseeee...kwahiyo mimi simfai???!Hey kabila sio muhimu bali tabia binafsi ndo muhimu!Siku hizi watu hawatambuliki kwa makabila wala koo zao tena kutokana na maendeleo kwahiyo we ukipata wa kabila lolote anayekidhi vigezo vyako jipatie mke!Usije ukadanganyika na kabila ndani ukaambulia usiyotarajia kisa tu umeambiwa kabila lake ni zuri!
Wadau..
Nipo mbioni kutafuta msichana ambaye kama mambo yakienda vizuri tufunge naye pingu za maisha.
Kuna vigezo vichache ninavyo ila naombeni munisaidie kujua kama aina ya kabila nalo ni jambo muhimu kuzingatia wakati natafta mwenza.
Nawasilisha
Wadau..
Nipo mbioni kutafuta msichana ambaye kama mambo yakienda vizuri tufunge naye pingu za maisha.
Kuna vigezo vichache ninavyo ila naombeni munisaidie kujua kama aina ya kabila nalo ni jambo muhimu kuzingatia wakati natafta mwenza.
Nawasilisha
kabila lina nguvu kwenye utamaduni wa mtu
kusema tudharau makabila ni kujidanganya
huwezi linganisha wachaga na wagogo.....
wahaya na wapemba
au wanyakyusa na wazaramo.......
kuna tofauti kubwa
lakini kama watu hao wote wamezaliwa mfano sinza daresalaam,na wakasoma hapa hapa mjini
na kufika chuo kikuu mfano udsm
utakuta watakuwa kama hawana tofauti sana........
ndio maana nimesema ukikuta wa original wa huko huko
take care
KABISA!!!Asante kwa kuniharibia soko!!wewe ni machame original kabisaaaa????????????????
Talaka zinasababishwa na kabila au tabia za watu binafsi?!Hayo maneno ya tumeoana yanatewa na kabila gani!?Wewe ndo unaechanganya kabila la mtu na tabia ya mtu.Huna tofauti na wazungu wanaowaita Waafrika wapumbavu!!!nimeipenda, unajua wa2 wanachanganya mapenzi na kuoa.ndo mana cku hizi kesi za talaka kibao, na hata utasikia hujanioa bali tumeoana. aiseee yaani nikuchumbie mie then useme tumeoana?
Wadau..
Nipo mbioni kutafuta msichana ambaye kama mambo yakienda vizuri tufunge naye pingu za maisha.
Kuna vigezo vichache ninavyo ila naombeni munisaidie kujua kama aina ya kabila nalo ni jambo muhimu kuzingatia wakati natafta mwenza.
Nawasilisha
to be honest ingawa tunasema sio muhimu
so far ..
ukikuta wa machame original...mhhhhhhhhh
au mhaya wa bukoba kabisa mhhhhhhhhh
au mzaramo wa kisamvulechole kabisa mhhhhhhhhhhh
Duuh! kwa hiyo unamaana hayo makabila yana nini au ndo unatuaribia soko?
Siku hizi kabila sio ishu, ishu ni tabia ya mtu na mienendo yake.
Kwa hiyo kaka kama unatafuta mchumba usiangaliea kabila kaangalie hulka ya mtu mwenyewe na malezi gani kalelewa.
Dogo,
Unaoa kabila au mwanamke?
Tafuta mwanamke unayempenda! Period!
wewe kabila gani asha???
wazaramo wanafundishwa kabisa kuwa na mafiga matatu
we unaona dogo hilo???????
wahaya ndio walioanzisha biashara ya kuuza k mjini hapa...
wamachame wanafahamika