No sio watusi ila wanafanana sana na watusi na wengine ni watusi wanaishi karagwe walikimbilia huko kipindi cha vita so na wao wanajiita wanyambo
to be honest ingawa tunasema sio muhimu
so far ..
ukikuta wa machame original...mhhhhhhhhh
au mhaya wa bukoba kabisa mhhhhhhhhh
au mzaramo wa kisamvulechole kabisa mhhhhhhhhhhh
Kuna mtu alinipa offer ya kua Mnyamwezi....ngoja nifikirie maana hali si tete!Ila bado itabidi unisaidie vyeti hivyo...vyeti vya ubatizo wa makabila natoa mimi hapa,waweza hama kwa wamachame ukajipumzisha kwa WAMARANGU,AU WAKISHIMUNDU wakati unatafuta permanent kabila kama vile WAKURYA,AU WAJALUO,.....natoa mimi hapa
Wewe wewe wewe..,.nwy ngoja nikusamehe bure!!!Na jinsi ulivyo sema hujui kupenda utazeeka bila mtoto wa kusingiziwa nakwambia
Wewe wewe wewe..,.nwy ngoja nikusamehe bure!!!
Kama ni za nyama nakuja....Njoo upate sambusa za kihindi pilipili nyiiiiiingi
Kama ndo nyie i see Mungu aliwapendelea kwa kuwapa sura nzuri alafu figa zile zile ambazo huwa zinaniharibia siku mimi.[/QUO
Loloooooo!
Mbona wakawaida sana,
Nahsi utakuwa mdhindhi fidel80, kwanini wakuaribie siku mpendwa, usitamani mke asiyekuwa wa kwako dunia imechafuka sana
hahahahaaaaaaa.........asante kwa ku-express ur self,KAZI NI KWAKOkabila ni muhimu. mfano, mtu wa kusini unaweza kuvamia mnyaturu, mmbulu, watu wa mkoa wa arusha etc ukakuta hana harage...sasa ndo mambo gani hayo wakati sie wengine tumezoea kushika pale penye harage...jamani huku singida nimejaribu kutafuta kila mwanamke, tena wazuri sana wa sura, lakini ukienda chini kuna kovu...nitashikashika wapi? kwahiyo no katerero?....duh.
Na hayo yapo?kabila ni muhimu. mfano, mtu wa kusini unaweza kuvamia mnyaturu, mmbulu, watu wa mkoa wa arusha etc ukakuta hana harage...sasa ndo mambo gani hayo wakati sie wengine tumezoea kushika pale penye harage...jamani huku singida nimejaribu kutafuta kila mwanamke, tena wazuri sana wa sura, lakini ukienda chini kuna kovu...nitashikashika wapi? kwahiyo no katerero?....duh.
sawa,mnyamwez si mbaya,but sam tym anahusishwa na mambo ya ushrkinaKuna mtu alinipa offer ya kua Mnyamwezi....ngoja nifikirie maana hali si tete!Ila bado itabidi unisaidie vyeti hivyo...
Dawa yake maombi tu.....sawa,mnyamwez si mbaya,but sam tym anahusishwa na mambo ya ushrkina
to be honest ingawa tunasema sio muhimu
so far ..
ukikuta wa machame original...mhhhhhhhhh
au mhaya wa bukoba kabisa mhhhhhhhhh
au mzaramo wa kisamvulechole kabisa mhhhhhhhhhhh
nimeipenda hiiMimi si mnyakyusa ila usiconclude kuwa wanyakyusa wote ni desparate na kuolewa. Inawezekana dada uliyekutana nae alishaona ana kila dalili ya kudoda hence akajiwekea mkakate wa kukuganda.Otherwise mimi sielewi mtu akinambia natafuta msichana/mvulana wa kumuoa. Unamtafuta wapi? Ndio maana nashauri watu mnapokuwa college msikazanie vitabu tu, smart people do more than one thing at a time, na wanaweza ku balance. Sasa kama ndio unasoma tu mpaka PhD ndio unakumbuka kuna kuoa ndio hayo ya dada nitamfutie mke.Mke atafutwi kaka mnaanza kama marafiki bila hata wazo la ndoa baadae wote mnajisikia kuwa you can not leave without one another basi mnaamua kuoana. Sasa nyie mnaotafuta wake kama shilingi sijuhi kama ndoa zenu zitakuwa normal. Maana ni obvious utaja oa stranger, kila siku unagundua tabia mpya ya mwenza wako na ndo ushaoa ufanyeje.
Hebu fafanua zaidi basi BOSS...usiishie njiani namna hii.