Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,752
- 7,861
Wabishi kupitiliza.....lolzz!
LOL!....
lizzy umeniwahi aisee
wamanyema tatizo lao hasa wanaume ni wabishi sana
na wanajifanya wanajua mno
wana gubu na kupenda kukosoa kosoa kutwa
HA HA HA, The Boss hapoo sasa unakufuru bana....Wamanyema 'ni kama' mkusanyiko wa makabila haya;
Wabangubangu, Wagenya, Wagoma, Wakusu, Warege, Wahoholo, Wambwari nakadhalika...najiita Mmanyema kwakuwa ndilo linafahamika zaidi, kiukweli natokea katika kabila mojawapo hayo niloyataja.
wamanyema wanawake watamu lakini lol
E bana wewe, acha kuwasanifu dada zangu bana, he he!!
Hahahhha Mbu unalo!!Boss embu niambie kabila lako na wewe nikuchambue!!
Ninalo nini ilhali weye ndio umelianzisha hili timbwili?
Heri sijasema ni 'mmanyema' wa wapi, ishakuwa soo hapa!...LOL