Je kabila la msichana ni muhimu kuzingatia wakati natafuta wakumwoa

Wabishi kupitiliza.....lolzz!

LOL!....


lizzy umeniwahi aisee

wamanyema tatizo lao hasa wanaume ni wabishi sana
na wanajifanya wanajua mno

wana gubu na kupenda kukosoa kosoa kutwa

HA HA HA, The Boss hapoo sasa unakufuru bana....Wamanyema 'ni kama' mkusanyiko wa makabila haya;
Wabangubangu, Wagenya, Wagoma, Wakusu, Warege, Wahoholo, Wambwari nakadhalika...najiita Mmanyema kwakuwa ndilo linafahamika zaidi, kiukweli natokea katika kabila mojawapo hayo niloyataja.


wamanyema wanawake watamu lakini lol

E bana wewe, acha kuwasanifu dada zangu bana, he he!!


Hahahhha Mbu unalo!!Boss embu niambie kabila lako na wewe nikuchambue!!

Ninalo nini ilhali weye ndio umelianzisha hili timbwili?
Heri sijasema ni 'mmanyema' wa wapi, ishakuwa soo hapa!...LOL
 
mkuu mbu
ukisema tu ni mmanyema hiyo ndo profile ya wamanyema lol

but kweli wadada wanasifika pia kwa kutulia...

mbu am i the first to say this?????????

lizzy anajua mi mnyamwezi yet ananiuliza kila siku the same swalli
 
Yani kwa kuwasema Wapare ni wabahili ntabishana na wewe leo mpaka kesho asubuhi.Wapare ni wabahili na sio wabinafsi sijui wachoyo.Najua hili kwasababu bibi yangu alikua Mpare na kwa bahati nzuri nawajua na niko karibu na upande wake wa familia...sijawahi kushuhudia unayosema hapa hata siku moja!!!
 
Mbu unaona ulivyo mbishi/mjuaji....yani hii ndo sifa yenu.Lolzzz...we siunalijua kabila lako...sasa hili ndo timbwili lenu.Na kwa jinsi usivyopenda kushindwa nasubiria jibu la kukataa madai!! Hehhehehheh...
 
mkuu mbu
ukisema tu ni mmanyema hiyo ndo profile ya wamanyema lol

but kweli wadada wanasifika pia kwa kutulia...

mbu am i the first to say this?????????

lizzy anajua mi mnyamwezi yet ananiuliza kila siku the same swalli

ha ha, The Boss kwakuwa wewe ni mtani ndio maana umetubondea namna hiyo duuhh!
aisee hii ni kali sana bana. Anyway, kuna kabila mojawapo hapo kigoma ni wabishi balaa,
hata sisi tunawajua.

Acha tu niwahifadhi japo wanatuharibia sifa zetu wazee wa Ujiji!
ManCity, karibu Ujiji bana...
 

but ubishi unawasaidia
mkiingia kwenye siasa lol
si unamuona zitto na kafulila?????
wewe si wenzio hawa???????lol
 
Reactions: Mbu
Mbu unaona ulivyo mbishi/mjuaji....yani hii ndo sifa yenu.Lolzzz...we siunalijua kabila lako...sasa hili ndo timbwili lenu.Na kwa jinsi usivyopenda kushindwa nasubiria jibu la kukataa madai!! Hehhehehheh...

lahaula! aha ha ha!...

aaah, nikijibu hoja utaniambia mbishi. Acha ni 'mute' kwanza.
Endelea na huyu Mnyamwezi wako aka mkulima aka The Boss!
 
Wanyamwezi wana akili sana....and this i know for shur!!!Hehehehehe..posa mi napokea mwenyewe!

wewe kweli ni mmachame lol
kichwa kimeanza kuvimba hapa nimesahau pre nup lol
 
Reactions: Mbu
lahaula! aha ha ha!...

aaah, nikijibu hoja utaniambia mbishi. Acha ni 'mute' kwanza.
Endelea na huyu Mnyamwezi wako aka mkulima aka The Boss!


hahahaa
mkuu unaona wamachame walivyo?lol
ameshaniambia nna akili,what next?
ataniambia kuna shamba moshi linauzwa lol
sitaweza kataa,nisionekane sina akili lol
 
Reactions: Mbu
Wanyamwezi wana akili sana....and this i know for shur!!!Hehehehehe..posa mi napokea mwenyewe!

...na mahodari wa kulima vile vile, lol!
The Boss si unamuona mikono yake ilivyokomaa?

Akimshika mlimbwende shavuni si ajabu akaacha majeraha
utadhani kapitishiwa steel wire!

Naskia raha ya mke wa Kinyamwezi hamfi njaa,...yaani hata kama mnaishi Police Quarters
atalima kabustani! lol...
 
hahahaa
mkuu unaona wamachame walivyo?lol
ameshaniambia nna akili,what next?
ataniambia kuna shamba moshi linauzwa lol
sitaweza kataa,nisionekane sina akili lol

Kabisa kaka, nishaona dalili za wewe kupewa uraia huko...
jilipue tu! he he..he.
 
wewe kweli ni mmachame lolkichwa kimeanza kuvimba hapa nimesahau pre nup lol
Hahahha sasa jamani kama muolewaji ni mimi kwanini na posa isiwe yangu?!Ntawagawia wazee nikipenda!!Hahhahhha we subiri...pre nup utakuja kuikumbuka baadae wakati mambo yameshakua mambo!!!
 
hahahaamkuu unaona wamachame walivyo?lolameshaniambia nna akili,what next?ataniambia kuna shamba moshi linauzwa lolsitaweza kataa,nisionekane sina akili lol
Hahhahah utaanzia wapi kukataa baba..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…