Kabisa kaka, nishaona dalili za wewe kupewa uraia huko...
jilipue tu! he he..he.
Embu taja kabila nikupigie debe mpenzi.`Eh!!! Haya mkimaliza niambieni nikamilishe taratibu za kutafuta mchumba!!
Mbu hiyo ya mikono sio ishu...miezi mitatu tu itabaki kua historia maana hatolima tena atakua anasimamia vibarua wakilima!!Kwa y...na mahodari wa kulima vile vile, lol!The Boss si unamuona mikono yake ilivyokomaa?Akimshika mlimbwende shavuni si ajabu akaacha majeraha utadhani kapitishiwa steel wire!Naskia raha ya mke wa Kinyamwezi hamfi njaa,...yaani hata kama mnaishi Police Quarters atalima kabustani! lol...
Hahhahah utaanzia wapi kukataa baba..
kaka
hii inaitwa never say never
niliambiwa usiioe mmachame,
but nikimuona lizzy.roho inanipasuka lol
na sasa anasema nna akili lol
nanasa taratibu lol
Mbu hiyo ya mikono sio ishu...miezi mitatu tu itabaki kua historia maana hatolima tena atakua anasimamia vibarua wakilima!!Kwa y
Embu taja kabila nikupigie debe mpenzi.`
dah, nahisi ndio tushakupoteza hivyo...kila la heri kaka!
'Sikio la kufa!'
mnh, acha tu nijikalie kimya tu, nisijeitwa mbishi na mjuaji mie...lol!
The Boss, ....unapakwa mafuta kwa mgongo wa chupa hapa, unachukuliwa msukule ndugu yangu!
Hhahah Lizzy ndo nachagua wajua..........so far mpaka sasa lenye 'afadhali' ni wanyamwezi........
Hhahah Lizzy ndo nachagua wajua..........so far mpaka sasa lenye 'afadhali' ni wanyamwezi........
mkuu wanasema mzigo mzito tupewe sisi wanyamwezi tunauweza
sasa huyu lizzy nitamuweza tu.
wanyamwezi hatushindwi kitu lol
Hhahah Lizzy ndo nachagua wajua..........so far mpaka sasa lenye 'afadhali' ni wanyamwezi........
Mwj1 hakuna kabila baya wala lenye unafuu bana, wewe taja tu...lol!
au nawe mmanyema kama mimi, maana nakuona tu ujuaji wako...he he he!
bila kusahau kuwa n mafundi wa kuruka na ndege usiku.Wanyamwezi wana akili sana....and this i know for shur!!!Hehehehehe..posa mi napokea mwenyewe!
Jamani tumeshakubaliana tayari kwahiyo -ve zote naziweka kando!!bila kusahau kuwa n mafundi wa kuruka na ndege usiku.
Mbu sifa yako nyingine ni kuharibu...why cant you let my Mnyamwezi smile just for one day?!Kwani mafuta yanayopakwa kwa mgongo wa chupa huwa hayakolei?!Hayaondoi mpauko!?Badilika bana....lolz!dah, nahisi ndio tushakupoteza hivyo...kila la heri kaka!'Sikio la kufa!'mnh, acha tu nijikalie kimya tu, nisijeitwa mbishi na mjuaji mie...lol!The Boss, ....unapakwa mafuta kwa mgongo wa chupa hapa, unachukuliwa msukule ndugu yangu!
Kwa wanavyotusema ehhhh...ngoja nifanye mpango wa kubadili kabila!!
Yan hapo kwa wamachame ni kweli tupu.hawana mapenzi ya kweli wanachojali wao ni pesa tumkuu wa machame wanasifika kwa kujali mali tu,no lovewahaya kwa umalayawazaramo wana culture ya mafiga matatu,bwana mmoja sokoni.mwingine buchani na mume nyumbani