Je kabila la msichana ni muhimu kuzingatia wakati natafuta wakumwoa


Kabisa kaka, nishaona dalili za wewe kupewa uraia huko...
jilipue tu! he he..he.

kaka
hii inaitwa never say never
niliambiwa usiioe mmachame,
but nikimuona lizzy.roho inanipasuka lol
na sasa anasema nna akili lol
nanasa taratibu lol
 
Reactions: Mbu
Mbu hiyo ya mikono sio ishu...miezi mitatu tu itabaki kua historia maana hatolima tena atakua anasimamia vibarua wakilima!!Kwa y
 
kaka
hii inaitwa never say never
niliambiwa usiioe mmachame,
but nikimuona lizzy.roho inanipasuka lol
na sasa anasema nna akili lol
nanasa taratibu lol

dah, nahisi ndio tushakupoteza hivyo...kila la heri kaka!
'Sikio la kufa!'

Mbu hiyo ya mikono sio ishu...miezi mitatu tu itabaki kua historia maana hatolima tena atakua anasimamia vibarua wakilima!!Kwa y

mnh, acha tu nijikalie kimya tu, nisijeitwa mbishi na mjuaji mie...lol!
The Boss, ....unapakwa mafuta kwa mgongo wa chupa hapa, unachukuliwa msukule ndugu yangu!
 
dah, nahisi ndio tushakupoteza hivyo...kila la heri kaka!
'Sikio la kufa!'





mnh, acha tu nijikalie kimya tu, nisijeitwa mbishi na mjuaji mie...lol!
The Boss, ....unapakwa mafuta kwa mgongo wa chupa hapa, unachukuliwa msukule ndugu yangu!

mkuu wanasema mzigo mzito tupewe sisi wanyamwezi tunauweza
sasa huyu lizzy nitamuweza tu.
wanyamwezi hatushindwi kitu lol
 
Reactions: Mbu
Hhahah Lizzy ndo nachagua wajua..........so far mpaka sasa lenye 'afadhali' ni wanyamwezi........

dahhh, sijui namimi nibadili kabila?


mkuu wanasema mzigo mzito tupewe sisi wanyamwezi tunauweza
sasa huyu lizzy nitamuweza tu.
wanyamwezi hatushindwi kitu lol

naona bana, mnafagiliwa kweli wakulima nyie!
 
Hhahah Lizzy ndo nachagua wajua..........so far mpaka sasa lenye 'afadhali' ni wanyamwezi........

Mwj1 hakuna kabila baya wala lenye unafuu bana, wewe taja tu...lol!
au nawe mmanyema kama mimi, maana nakuona tu ujuaji wako...he he he!
 

Mwj1 hakuna kabila baya wala lenye unafuu bana, wewe taja tu...lol!
au nawe mmanyema kama mimi, maana nakuona tu ujuaji wako...he he he!

Lol umenishtukia Mbu.unaona ? ndo mana nakukimbia maana tukikutana na tulivyo wabishi..................ah hapatakalika!
 
dah, nahisi ndio tushakupoteza hivyo...kila la heri kaka!'Sikio la kufa!'mnh, acha tu nijikalie kimya tu, nisijeitwa mbishi na mjuaji mie...lol!The Boss, ....unapakwa mafuta kwa mgongo wa chupa hapa, unachukuliwa msukule ndugu yangu!
Mbu sifa yako nyingine ni “kuharibu“...why can‘t you let my Mnyamwezi smile just for one day?!Kwani mafuta yanayopakwa kwa mgongo wa chupa huwa hayakolei?!Hayaondoi mpauko!?Badilika bana....lolz!
 
mkuu wa machame wanasifika kwa kujali mali tu,no lovewahaya kwa umalayawazaramo wana culture ya mafiga matatu,bwana mmoja sokoni.mwingine buchani na mume nyumbani
Yan hapo kwa wamachame ni kweli tupu.hawana mapenzi ya kweli wanachojali wao ni pesa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…