Mwabhleja
JF-Expert Member
- Jan 27, 2016
- 1,351
- 2,061
Binafsi kuna kosa ambalo laiti kama ningehojiwa Leo basi ningepata Taabu sana kujitetea.
Kuna Fundi nimebeba kichwa cha cherehani kisa deni LA 50000 ila amekomboa
Pamoja na hayo nikakumbuka kale kamsemo ka Yesu, "KOPESHENI PASIPO KUTAZAMIA KULIPWA" nikagundua kuna kosa nimetenda.
Je, wewe ndugu yangu unadhani kosa gani lingekupa wakati mgumu kiama kingekuwa Leo.
[emoji216] [emoji216] [emoji216] [emoji216] [emoji216] [emoji216]
Kuna Fundi nimebeba kichwa cha cherehani kisa deni LA 50000 ila amekomboa
Pamoja na hayo nikakumbuka kale kamsemo ka Yesu, "KOPESHENI PASIPO KUTAZAMIA KULIPWA" nikagundua kuna kosa nimetenda.
Je, wewe ndugu yangu unadhani kosa gani lingekupa wakati mgumu kiama kingekuwa Leo.
[emoji216] [emoji216] [emoji216] [emoji216] [emoji216] [emoji216]