Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,168
- 39,118
2, Dsm na Dodoma.Ikulu ya wapi aliyoikimbia?
Tanzania kuna Ikulu ngapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
2, Dsm na Dodoma.Ikulu ya wapi aliyoikimbia?
Tanzania kuna Ikulu ngapi?
SijakuelewaIla akili zingine ngumu kuamini hasa kwa kiongozi mkubwa sijui haangalii TV international news,hasa also kuwaambia watu ni fursa mlimani mihogo na mazao mengine,tumieni vizuri mvua kipindi hiki cha corona inaunyama hapa bado hakuna lockdown mtakufa njaa mkachape kazi
Utashitakiwa na nani zaidi?Tutashtakiwa ndio maana evidence ni vivid haihitaji kwenda eneo la tukio kama MKIRU
Hahahaha hizo ni imani za kichawi ndugu, endelea kujifukiza! Mrudi huko mlikojificha tupambane pamoja.Utashitakiwa na nani zaidi?
Dunia nzima ilishashitakiwa na hukumu imedhapita, sasa hivi inatumikia adhabu. Huelewi hilo?
Wakubwa wa dunia wako bize na raia wao! Tz haijulikani kama mnavyodhani. No impact.Ziko taarifa kuwa upo uchunguzi unaoendelea kuhusu tuhuma kuwa China kwa makusudi ama ilizembea au ilizuia utoaji wa taarifa sahihi kuhusu chanzo na kuenea kwa coronavirus pamoja na idadi ya vifo vilivyotokana na janga hilo. Ikiwa tuhuma hii itathibitishwa, kuna uwezekano wa China kuchukuliwa hatua kali ikiwa ni pamoja na kutengwa na hata kushtakiwa kwa kukiuka makubaliano ya kimataifa kuhusu mlipuko hatari kama huu wa COVID-19.
Je katika hali kama hii Tanzania itapona?
Kila mkoa tuna Ikulu na mikoa mingine zaidi ya Ikulu moja.Sijui, kwa hiyo hebu nijuze basi ...Tanzania kuna Ikulu ngapi?
Na ndivyo ulivyoijenga familia na ukoo wako pia.Nchi imejengwa kwenye msingi was uongo, uchawi na mauaji
Hakuna sehemu wala mtu alie salama, wanajidanganya tu!Nifanyeje ili nipate uraia wa Chato?
Hahahaha hizo ni imani za kichawi ndugu, endelea kujifukiza! Mrudi huko mlikojificha tupambane pamoja.
Si mkae na ubahili wenu.Sisi ni wabahili wa ukweli tunajulikana
Sema hujayapenda tu siyo hujamuelewa.Sijakuelewa
Hahahaha wachawi wapo zaidi ya ufipa ndio, wàko Lumumba watu wasio na maono. Mwambie Polepole ajitokeze basi arudie tena ule ujinga wake.Hiyo ni fact. Kuna nchi ambayo haipo kwenye kuchezea kichapo cha corona sasa hivi Kwa namna moja au nyingine?
Hata Ufipa corona kishatinga, kuna wachawi zaidi ya Ufipa?
Hamueleweki, jitokezeni na zile tambo zenu tena za kufukiza. Toeni takwimu basi kama mnajiamini. Wachawi wakubwa nyieSema hujayapenda tu siyo hujamuelewa.
yupiKila mkoa tuna Ikulu na mikoa mingine zaidi ya Ikulu moja.
Ikulu maana yake ni "anapoikala Mkuu" siyo "particular location".
Vipi Mbowe yupi Ufipa?
Watu tunajifusha na majisibyq limao na tangawizi Kwa wingi, bila kusahau kusali sana na dua kwa wingi kwa muumba wetu, kama kawaida.Hamueleweki, jitokezeni na zile tambo zenu tena za kufukiza. Toeni takwimu basi kama mnajiamini. Wachawi wakubwa nyie
Wewe sasa ndio mchawi kamili, umejuaje kuwa sijayapenda kama sio mapepo?? Wekeni takwimu za ugonjwa acheni ujinga na uzuri mnaokufa ni Nyie, wekeni takwimu mnaogopa kitu gani?Sema hujayapenda tu siyo hujamuelewa.
Wasio na maono likija boksi la kura wanawachakaza vibaya sana.Hahahaha wachawi wapo zaidi ya ufipa ndio, wàko Lumumba watu wasio na maono. Mwambie Polepole ajitokeze basi arudie tena ule ujinga wake.