Je, kama Taifa, ikigundulika kwamba ama tunaficha au tunatoa takwimu zisizo sahihi kuhusu janga la COVID-19, tunaweza kuwajibishwa kimataifa?

Tutashtakiwa ndio maana evidence ni vivid haihitaji kwenda eneo la tukio kama MKIRU
 
Sijakuelewa
 
2, Dsm na Dodoma.

Sent using Jamii Forums mobile app

Basi kuna sababu muhimu sana yankuzikimbiq.

Bahati nzuri tuna Ikulu nyingi sana Tanzania ambako Rais anaweza kufanya kazi zake kiufanisi zaidi ya Dar na Dodoma kwa wakati huu.

Dar Sana anakuwepo kidiplomasi Kwa sasa. Dodoma anakuwepo kisiasa.

Sasa hivi hakuna mpango mikutano na watu diplomasia wala kisiasa.

Mwacheni Rais achape kazi zake anavyoona yeye siyo nyinyi.

Nyie nani mumpangie kazi zake?
 
Wakubwa wa dunia wako bize na raia wao! Tz haijulikani kama mnavyodhani. No impact.
 
Sijui, kwa hiyo hebu nijuze basi ...Tanzania kuna Ikulu ngapi?
Kila mkoa tuna Ikulu na mikoa mingine zaidi ya Ikulu moja.

Ikulu maana yake ni "anapoikala Mkuu" siyo "particular location".

Vipi Mbowe yupo Ufipa?
 
Hiyo ni fact. Kuna nchi ambayo haipo kwenye kuchezea kichapo cha corona sasa hivi Kwa namna moja au nyingine?

Hata Ufipa corona kishatinga, kuna wachawi zaidi ya Ufipa?
Hahahaha wachawi wapo zaidi ya ufipa ndio, wàko Lumumba watu wasio na maono. Mwambie Polepole ajitokeze basi arudie tena ule ujinga wake.
 
Hamueleweki, jitokezeni na zile tambo zenu tena za kufukiza. Toeni takwimu basi kama mnajiamini. Wachawi wakubwa nyie
Watu tunajifusha na majisibyq limao na tangawizi Kwa wingi, bila kusahau kusali sana na dua kwa wingi kwa muumba wetu, kama kawaida.
 
Hahahaha wachawi wapo zaidi ya ufipa ndio, wàko Lumumba watu wasio na maono. Mwambie Polepole ajitokeze basi arudie tena ule ujinga wake.
Wasio na maono likija boksi la kura wanawachakaza vibaya sana.

Vipi Lowasa hagombei tena huko?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…