Hivi unafikiri kuna.mwana CCM anaezuiliwa kunena kama kule Ufipa? sumaye yuko wapi?Corona imekuja kuweka akili zenu sawa wanalumumba na wewe soon utaanza kunena kwa lugha Kama msando, endelea kupambana hapa jf siku zako za kunena kwa lugha zipo njiani as long corona bado yupo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha.Hilo Bibi Lina stress mwezi mtukufu huu halina uhakika wa futari na daku maana pale Lumumba buku 7 zimeadimika
Sent using Jamii Forums mobile app
Na usidharau tiba zetu mbadala na za asili.Ukiamka salama kuna mambo mawili uongee na Mungu wako. Umshukuru kwa kukuamsha salama na kukulinda mchana kutwa usipate changamoto ya upumuaji.
Yangu ni hayo tu.
Wakati mwingine kuuliza haya maswali yenye majibu kunazua tu hasira na wala hakusaidii.Ikulu ya wapi aliyoikimbia?
Tanzania kuna Ikulu ngapi?
Faida gani ya kuuliza maswali ambayo hayana majibu?Wakati mwingine kuuliza haya maswali yenye majibu kunazua tu hasira na wala hakusaidii.
Sent using Jamii Forums mobile app
Watanzania kwa kweli hatari kubwa iko mbele yetu na wengine tunachoweza ni kutoa tahadhari tu. Jemadari wetu kupitia kaupenyo kadogo anachungulia tu hii vita kutoka mafichoni.Kwa hiyp mmekubali bibi awatoe kwenye mada? Kwa nn msimpuuze?
Sister Safi sana umewahenyesha hawa wapumbavu, wanaamka asubuhi mara tutatengwa mara wanadai wapewe takwimu kama vile hawana kazi ya kufanya. Wakishaambiwa wagonjwa wapya 100, idadi mpya waliokufa 20 ndo itasaidia dawa ya Corona kupatikana?...Faida gani ya kuuliza maswali ambayo hayana majibu?
Haya, tupe majibu na sisi tusiojuwa tupate faida.
Waswahili wanasema "kuuliza si ujinga".
Basi kuna sababu muhimu sana yankuzikimbiq.
Bahati nzuri tuna Ikulu nyingi sana Tanzania ambako Rais anaweza kufanya kazi zake kiufanisi zaidi ya Dar na Dodoma kwa wakati huu.
Dar Sana anakuwepo kidiplomasi Kwa sasa. Dodoma anakuwepo kisiasa.
Sasa hivi hakuna mpango mikutano na watu diplomasia wala kisiasa.
Mwacheni Rais achape kazi zake anavyoona yeye siyo nyinyi.
Nyie nani mumpangie kazi zake?
Ohoooooo!!!!Ziko taarifa kuwa upo uchunguzi unaoendelea kuhusu tuhuma kuwa China kwa makusudi ama ilizembea au ilizuia utoaji wa taarifa sahihi kuhusu chanzo na kuenea kwa coronavirus pamoja na idadi ya vifo vilivyotokana na janga hilo.
Ikiwa tuhuma hii itathibitishwa, kuna uwezekano wa China kuchukuliwa hatua kali ikiwa ni pamoja na kutengwa na hata kushtakiwa kwa kukiuka makubaliano ya kimataifa kuhusu mlipuko hatari kama huu wa COVID-19.
Je, katika hali kama hii Tanzania itapona?
Kila mkoa tuna Ikulu na mikoa mingine zaidi ya Ikulu moja.
Ikulu maana yake ni "anapoikala Mkuu" siyo "particular location".
Vipi Mbowe yupo Ufipa?
Sidhani kama kuna wanaokufa wakaachwa kupimwa labda waliofia nyumbani na taarifa kutotolewa hasa vijijni. Kwa mijini wakazi wake wengi ni waoga akifa mtu mwenye dalili au mojawapo ya dalili hawathubutu kumgusa mpaka waje wenye nguo nyeupe na dawa ya kupulizaKwa Sasa Hakuna namna Tena ambyo Serikali inaweza kutoa taarifa sahihi hasa za Vifo vya korona. Watu wanajifia ovyo baada ya maambukizi ya ndani kuwa makubwa kwa sababu ya uzembe wa serikali na kupenda mapato. Na ikitokea Serikali inaweza kutoa taarifa sahihi, dunia utashangaa why Tanzania Tena Afrika
Kinamnufaisha jiwe.Hivi kitendo cha kuficha takwimu za vifo na maambukizi mapya kinamnufaisha nani hasa?
Labda wanacompile maambukizi ya week ndio watupe taarifaKwa Sasa Hakuna namna Tena ambyo Serikali inaweza kutoa taarifa sahihi hasa za Vifo vya korona. Watu wanajifia ovyo baada ya maambukizi ya ndani kuwa makubwa kwa sababu ya uzembe wa serikali na kupenda mapato. Na ikitokea Serikali inaweza kutoa taarifa sahihi, dunia utashangaa why Tanzania Tena Afrika
JokaKuu anayemfanyia figisu Dr. Tedros ni kichaa moja tu, Donald Trump na Wamarekani walio wengi hawamuungi mkono. Kumbuka ushahidi upo kwamba awali Trump alimsifia sana Rais wa China. Ili kujinusuru ndio akamrukia Dr. Tedros.
Nenda msibani kwa Mbunge Ndasa ameshakata Moto.Hahahaha.
Corona hajawa turufu bado. Mnajihangaisha tu.
Vipi familia za Mbowe zipo salama?
Waambieni Watanzania, ukweli siyo porojo, mtawafanyia nini ndiyo turufu pekee.